SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,923
- 2,003
Wakuu niko huku a town lakini kuna habari zinaendelea kuenea kuwa utapoenda dukani kununua vocha ya buku itakulazimu utoe buku na Mia au vinginevyo ununue kupitia huduma za simu au kama ni vocha ya tsh 2000 itabidi ulipie 2200,imekuwa wiki nzima nikisikia habari hii na kuna jamaa amenidhibitishia jana amenunua vocha kwa bei la ongezeko.Ninaomba wenye taarifa rasmi mnijuze kama swala hili ni kweli au uzushi