GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,882
Nimekuwa nikisikia sehemu mbalimbali (hasa hasa hapa nchini Herzegovina) yalipo Makazi yangu Siku zote kuwa licha ya Wanadamu wote kuwa na Five ( 5 ) Senses, ila kwa wale Majasusi (Manjagu) wao wanatakiwa kuwa na ya Sita (6) pia.
Je, hii ( hiyo ) Sixth ( 6 ) Sense anayotakiwa hasa kuwa nayo Jasusi (Ngagu) hasa wa CIA na MOSSAD ni ipi?
Na kwanini huko CIA na MOSSAD hata kama ukiwa Umefuzu Mafunzo yote ya Kimedani (Kijeshi) ila ukiwa huna hii (hiyo) Sixth (6) Sense huwezi kuwa katika hayo Mashirika yao ya Ujasusi?
Mwisho ni Swali tu je, katika Mashirika mengine ya Kijasusi (Kinjagu) duniani kote nao Watendaji wao wanayo hii Sixth (6) Sense ambayo inawafanya wawe 'Competent' kama hawa wa CIA na MOSSAD?
Na je, huwa inakuwa ni ya Kuzaliwa nayo au labda ni ya Kufundishwa tu huko Vyuoni Kwao nchini Marekani na Israel?
Nasubiri kwa hamu tu 'Utaalamu' wenu.
Je, hii ( hiyo ) Sixth ( 6 ) Sense anayotakiwa hasa kuwa nayo Jasusi (Ngagu) hasa wa CIA na MOSSAD ni ipi?
Na kwanini huko CIA na MOSSAD hata kama ukiwa Umefuzu Mafunzo yote ya Kimedani (Kijeshi) ila ukiwa huna hii (hiyo) Sixth (6) Sense huwezi kuwa katika hayo Mashirika yao ya Ujasusi?
Mwisho ni Swali tu je, katika Mashirika mengine ya Kijasusi (Kinjagu) duniani kote nao Watendaji wao wanayo hii Sixth (6) Sense ambayo inawafanya wawe 'Competent' kama hawa wa CIA na MOSSAD?
Na je, huwa inakuwa ni ya Kuzaliwa nayo au labda ni ya Kufundishwa tu huko Vyuoni Kwao nchini Marekani na Israel?
Nasubiri kwa hamu tu 'Utaalamu' wenu.