Je, Hayati Mkapa hakuwa na Chawa? Sioni wanaomkumbuka

Magufuli alikuwa tofauti na hao wote...Magufuli alipenda sana lakini pia alichukia sana.

Magufuli alikuwa mkali sana lakini pia alipenda utani sana.

Alikuwa na misimamo isiyotetereka..kwake yeye rafiki ni yule aliyependa kufanya kazi na kutanguliza mbele maslahi ya nchi..kinyume na hapo hata ungekuwa mtoto wake angekutengua tu kiuno tena bila unafiki, waziwazi.

Aliamini katika kuweza na kujiamini..alikuwa mtu mwenye uthubutu bila kujali watu wanasemaje au watamuonaje lakini ukijichanganya ukaingia kwenye kumi na nane zake anakutandika haswa..hapa anakuwa totally animal.



Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.

Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani.

Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.

Hayati Benajamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia.

Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?

Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini?

Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Hata wampotezee siyo mbaya mimi kwangu ndiye Rais bora wa muda wote.
 
Kwani unadhani maza watu wanamkubali au wanataka madaraka pekee?
Huyu mama hata wanawake wenzie wanavyomsifia unaona kabisa ya usoni tu.

Wanawake wenzie wanakuambia mama samia hoyee.. wakati nyumbani maji hayatoki, sukari hamna, umeme hakuna, vyakula havishikiki si vitunguu wala nyanya. Na hapa muathirika wa kwanza ni mwanamke mwenyewe.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli alikuwa tofauti na hao wote...Magufuli alipenda sana lakini pia alichukia sana.

Magufuli alikuwa mkali sana lakini pia alipenda utani sana.

Alikuwa na misimamo isiyotetereka..kwake yeye rafiki ni yule aliyependa kufanya kazi na kutanguliza mbele maslahi ya nchi..kinyume na hapo hata ungekuwa mtoto wake angekutengua tu kiuno tena bila unafiki, waziwazi.

Aliamini katika kuweza na kujiamini..alikuwa mtu mwenye uthubutu bila kujali watu wanasemaje au watamuonaje lakini ukijichanganya ukaingia kwenye kumi na nane zake anakutandika haswa..hapa anakuwa totally animal.



Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Ndiyo wakati Wasukuma wameingia kwa pupa kwenye sekta nyeti kuliko wakati wowote ule.
 
Huyu mama hata wanawake wenzie wanavyomsifia unaona kabisa ya usoni tu.

Wanawake wenzie wanakuambia mama samia hoyee.. wakati nyumbani maji hayatoki, sukari hamna, umeme hakuna, vyakula havishikiki si vitunguu wala nyanya. Na hapa muathirika wa kwanza ni mwanamke mwenyewe.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
wanamfurahisha lakini hawapo pamoja naye, ni hawa akina Lucas Mwashambwa na Johnthebatist n.k
 
Magu ni ajili ya kura za kanda ya ziwa maana kifo chake ni cha ghafla sn mkuu, pia ukabila ujue lile ni kabila kubwa sn lazima uendelee kulibebabeba, 2015 angekuwa Membe kura za kanda ya ziwa zote zingeenda kwa Lowasa na kusingekuwa na namna ya kumshinda Lowasa hata kuiba ingekuwa ni aibu lakini kupitia Magu upepo uligeuka sn, Makonda na Dotto wapo pale kusaka kura za kanda ya Ziwa wala maza hawakubali hata kidogo. Asante
Kanda ya Ziwa hàwana Ukabila kama ile jamii ya akina Mbowe,Lema,Mnyika nk KANDA ya ziwa wanamchagua mtu kwà sifa zake na si kwà kabila lake niko Chato kwenye kumbukizi ya Shujaa MAGUFULI RIP Magufuli
 
Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.

Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani.

Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.

Hayati Benajamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia.

Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?

Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini?

Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Ameshasahaulika !
Kinachofanya mtu akumbukwe ni legacy yake sio habari ya Chawa wala kunguni ! 🙏
 
Neno chawa limeanzishwa na mama Samia,,harafu haya mam I yakusifuwa kijingajinga yamelewt na watu wa pwani,,kikwete zaidi na sasa Samia
 
Mkapa alikufa akiwa kama nani ? ( Jibu ni Raia uki-stretch sana Rais Mstaafu)

JPM alikufa akiwa sitting president....; hii ni very rare...; sisemi kwamba akumbukwe au asikumbukwe huo ni utashi wa mtu binafsi na hauna shida kama Kodi hazitumiki katika kumbukizi.... Lakini kusema kifo cha Mkapa (Mstaafu) na JPM (Kiongozi wa Taasisi) havipo sawa...
 
Ndio maana tunawashauri viongozi wa Nchi yetu wajikite kutimiza malengo na uzalendo kwa Taifa lao waachane na vipaumbele vya vyama vyao.

Chawa huwa wanakuzunguka na kukupigia makofi pale tu unapokuwa Madarakani. Ukiondoka wanakutupa wanahamia kwa mwingine mwenye uwezo wa kuwapa vyeo, fursa na favor mbali mbali.

Hayati Benjamin Mkapa Rais wa Awamu ya Tatu sioni watu wakikumbuka siku yake ya kuaga dunia. Ndio kusema yeye hakuwa na kundi la chawa wake?

Je, tarehe yake ya maombolezo ni lini? Hata Chama nacho kinapotezea mtu muhimu kwao?
Mlala kwangu mimi alikuwa raisi bora kabisa ambaye aliijeshimisha ikulu na nchi kwa ujumla.hakuwa na uchawa wala hata akina Mondi walikuwa hawagusi ikulu.yeye alipigiwa kampeni JKN tu basi.uchawa umeanza awamu ya tano na hii ya sita ila ya tano pamoja na kuwa na chawa ilikuwa haitabiliki.umaweza kuwa chawa na ukatumbuliwa.
 
Yaani aisee.....people ziko kimaslahi sana.

Jamaa aliwapa favour sana watu wakateuliwa ubalozi, ukurugenzi, uwaziri, ubunge, umakamu n.k lakini woote wamemtupa
Ndoa ujue watz ni wanafiki hasa hawa wa kijani mpaka wanakera sana wananchi.mama kajaza machawa subiri muda ukifika atajua chawa si watu
 
Back
Top Bottom