FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,066
- 40,725
Ni vyema tukaliweka hili sawa, je, mtu yupo kichwani au moyoni?
Mfano mtoto mdogo wa miaka 12, mwenye tabia nzuri kama malaika, tukaamua kunyonya memory yake na kuifuta kabisa kichwani kwake, kisha tukamjaza memory za gaidi la katili.
Je, huyo mtoto atakuwa yule gaidi kwa kila namna au moyo wa ule mtoto unaweza ukapambana na zile kumbukumbu moya za kimauaji?
Sasa je, mtu yupo wapi hasa, kichwani au moyoni? Na endapo mtoto huyu atafanya mauaji ya kujitoa muhanga, dhambi zitakuwa za nani? Za mwenye kumbukumbu au za mwenye mwili?
Maana inabidi tuassume mwili ni hardware na mawazo/akili/ utashi ni software tu.
Mfano mtoto mdogo wa miaka 12, mwenye tabia nzuri kama malaika, tukaamua kunyonya memory yake na kuifuta kabisa kichwani kwake, kisha tukamjaza memory za gaidi la katili.
Je, huyo mtoto atakuwa yule gaidi kwa kila namna au moyo wa ule mtoto unaweza ukapambana na zile kumbukumbu moya za kimauaji?
Sasa je, mtu yupo wapi hasa, kichwani au moyoni? Na endapo mtoto huyu atafanya mauaji ya kujitoa muhanga, dhambi zitakuwa za nani? Za mwenye kumbukumbu au za mwenye mwili?
Maana inabidi tuassume mwili ni hardware na mawazo/akili/ utashi ni software tu.