We nae hamna kitu. Sasa wangesaini harafu wakawafukuza,Hacha mihemko mkuu,kama sio siri Tena twambie nani aliwasainia hao akina Mdee na wenzake,mana kama wasingekuwa chadema walio saini hii ngoma ingekuwa ishaisha.
Chadema mnajifanya MNA umoja kumbe umoja anao aliyesaini majina ya akina mdee na kuweka muhuri ili wakaapishwe kuwa wabunge viti maalum!