Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Tatizo la CHADEMA ni Mbowe
Kile chama kimekuwa kikubwa sana kuliko uwezo wake
Yes..Amefanya mengi..lakini uwezo wake umefika mwisho...Hawezi kufanya kingine kipya ambacho hajawahi kufanya...Tatizo kubwa zaidi ni yeye anaamua kila kitu
Huwezi kufanya jambo lile lile kila siku...kwa namna ile ile na kutegemea majibu tofauti...
CHADEMA ikitaka kutokufa ikubali kufanya mabadiliko ya ndani ya msingi kabisa na kukihuisha chama .
Chama kikijenge katika msingi imara na thabiti ya kitaasisi.....waweke mifumo inayowawezesha kuweka sera imara...tested policies...na mwisho watengeneze demokrasia ya kweli ndani ya chama.
Tatizo la CHADEMA ni CCM ya Magufuli!
Mbowe hawezi na hatakuja kuwa tatizo la CHADEMA!
Kama kuna kitu kinawanyima CCM na Magufuli wao usingizi basi ujue ni CHADEMA chini ya uongozi imara na mahiri wa Mwenyekiti Mbowe! Hii siyo siri na hata Magufuli analijua hilo!