Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?

Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?

Ukomavu wa chama cha siasa hususani Tanzania unapimwa kwa vuwango vipi kaka?
Uchaguzi was EALA uligubikwa kisiasa zaidi bila kujali umuhimu wa ushiriki wetu katika shirikisho,kwa kuona hilo wenzetu jirani zetu walionyesha umakini na walichokikusudia tofauti na Tanzania.
Siasa za maagizo na mwingiliano wa mihimili ndiko kunako pelekea nchi kufikiri siasa zaidi kuliko utendaji.

Hata kama CDM wangempeleka malaika kwenye uchaguzi ule,kwa kuwa bunge ilijikita zaidi kwenye ushabiki wa kisiasa kuliko maslahi ya nchi lazima wangedhoofishwa kwa namna moja au nyingine.

Maturity ya upinzani ina sustain daily kutokana na aina ya siasa tunazofanya,serikali kupitia vyombo vyake vya dola inatumia kila njia kuhakikisha Uhuru unaminywa,hata wanahabari mmeambiwa msidhani mna freedom to that extent kwa aina hii utegemea maturity ipi ikiwa pamoja na makando kando haya serikali but they still prevailing.
 
Kwa kweli upinzani uliokuwaga chini ya Slaa niliupaga matumaini kuwa ungekuja kuwa serious zaidi na more credible kuongoza nchi, ila kitendo kilichofuata baada ya lowassa kukatwa sisiemu na kupokelewa kwa shangwe kama ndo mleta mabadiliko kilinipa alama kubwa ya kiulizo uwezo wa upinzani, na baada ya hapo kuna vitu vidogo ambavyo vimekuwa vikitokea, ambavyo kwa kweli vinahitaji busara tu ya viongozi ambayo busara hii huletwa na ukomavu ila wameshindwa kabisa kudili na hivi vitu vidogo, hivyo kuwapa nchi hawatoweza, upande mwingine tuseme wameshinda uchaguzi sababu watu wameichoka sisiemu bado mambo yataenda kuwa mabaya zaidi kuliko yalivyo simply sababu ya immaturity.
CCM licha ya kwamba imechokwa, bado haina mbadala! Mbadala atakapopatikana, tutaiweka pembeni waangalie gemu kwanza wakiwa nje ya ulingo.
 
Chama hakiwezi kuwa komavu kama wananchi ni legelege. Vyama vya upinzani vimefanya mambo mengi yakutosha isipokuwa tatizo ni watanzania tope kichwani
Mambo yapi? Kubadili gia? Kutumia matukio kujinadi? Kuacha kuelezea sera zao kwa wananchi bali kuvizia sisiemu wataenda kukosea wapi? Kurumbana wenyewe kwa wenyewe na kusingizia sisiemu inawavuruga??
Immaturity & hupocrisy are the words here that fit the bill!
 
Sidhani kabisa wala sitaki kuona chadema ikipewa ikulu!!marafiki zako siyo wazuri kwa mstakabali Wa nchi yetu!!eg 2015 liko kundi katika mataifa ya jirani walikuwa wakishangilia nchini mwao kuwa mtu wao (labda ni kabila lao) wanaingia ikulu ya Tanzania!! Sasa unaweza kujiuliza what was the agenda behind!!
Hawa hawaaminiki kabisa na hawasimamii wanayosema!!eg ni the list of shame!!waliwataja watu kwenye list kuwa ni mafisadi papa but still again waliwachukuw ni kuwafanya wagombea wao!!

Wanaopendekezwa kugombea urais 2020 kupitia chama hiki wanajulikana so wasafi kiasi hicho!!eg Mr zero(Ranchi) na richmonduli!!

Hawana watu wakushika nyadhifa serikalini kwa jinsi hiyo lazima wazime watu kutoka CCM!eg yule jamaa Wa Kenya ilikuw awe governor Wa BoT!

Sasa MTU ambaye anataka ikulu ataanzaje kuwatukana majeshi ya nchi Yake?
Hawana mshikamano Wa kizalendo!!eg .wafanyakazi hewa ,watuhumiw wa madawa ya kulevya wanatetewa na wanasheria Wa chama hiki !!sasa hapo kina uzalendo kweli?na utampaje ikulu MTU ambaye anadalili za kutokuwa mzalendo?
"Toka ccm wamechukua utawala wa nchi kugoka kwa chadma mika 54 ili yopita ndio mnagundua leo ufisadi wa serikali iliyokuwa ya cdm ndio mnagundua leo wafanyakazi feki wenye vyeti fake waligushi vyeti na ambao vyeti vyak havikukamilika, miaka 54 umakini uko wapi basi serikali jliyokuwapo na utawala wa chadema haufai lakin zaidi na huu uliopokea ndio haufai zaidi.
 
Asante kwa mada nzuri na ya kufikirisha. Nina swali maswali machache:

Moja- Unaposema kwamba upande wa Zanzibar upinzani (CUF) ni imara na una uwezo wa kuongoza nchi lakini kwa upande wa Tanganyika (ukipenda Tanzania Bara au Jamhuri ya Muungano wa Tanzania), umetumia vigezo gani kufikia hitimisho hilo?

Pili - Kwa mtazamo wako, CCM has a succession plan in place. Je unaweza demonstrate succession plan ya CCM, especially kutoka awamu ya nne kuingia awamu ya Tano?

Hoja yako inaonyesha your t belief kwamba ili Chama cha siasa kiweze kuongoza Taifa, ni lazima kiwe na manpower yenye haiba ya kisiasa zaidi kwa maana ya wanasiasa wengi/makada wenye sifa za kujaza nafasi za uwaziri na manaibu mawaziri, nafasi za wakuu wa mikoa na wilaya, lakini pia nafasi za civil service ambapo chama kitachounda serikali mpya kitatarajiwa kufanya replacement katika mfumo wote kwa kuweka watu wapya. Maswali yanayofuatia:


-Kwa mtazamo wako, kwa nchi yenye population ya 50m, tunahitaji kuwa na mawaziri na manaibu wangapi?

Je tukifuta nafasi zote za wakuu wa mikoa na wilaya tutapungukiwa nini/nchi haitaendesheka?

Je ni nafasi gani muhimu na ngapi ambazo unadhania Chadema/Ukawa wanahitaji kuzijaza kutokana na makada miongoni mwao?

Any modern state huendeshwa na taasisi, na hizi hubakia intact regardless ni Chama gani kimeshinda uchaguzi, na ikibidi kubadili uongozi wa taasisi husika, wateule huwa sio wanachama au makada wa vyama vya siasa.

Ukawa wakifanikiwa kuingia ikulu (maana kushinda sio suala la mjadala sana kwa sasa), watachohitaji ni kuteua watu kwa nafasi zifuatazo na hawa wote hawatokani na ukada na wengi wanaweza kupatikana kwenye mfuko uliopo sasa:

1. Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
2. Jaji Mkuu
3. Katibu Mkuu Kiongozi
4. Makatibu wakuu
5. Wakurugenzi wa idara mbalimbali
6. Wakurugenzi wa miji, majiji na halmashauri.
7. IGP na wengine ngazi za chini.
8. TISS na wengine ngazi za chini.
9. Regulatory authorities
10. Mabalozi

Nk nk nk.

Ukawa haihitaji mawaziri na manaibu hamsini. Isitoshe, sio lazima kuteua mawaziri kutoka miongoni mwa wabunge. Nchi inaweza endeshwa na makatibu wakuu hata kwa mwaka huku sheria mpya ikipitishwa bungeni kuzuia mawaziri kutokana na wabunge Kisha kuteua waziri wazuri tu kutoka miongoni mwa watanzania wazalendo na wenye sifa husika waliopo ndani na nje ya nchi.

Bunge linaweza pitisha sheria ya kufuta nafasi za wakuu wa mikoa na wilaya na kazi zao zikaendeshwa na Nchi Wakurugenzi wa majiji, miji, halmashauri.

Mwisho wa siku utakuta kwamba kumbe ili kuongoza nchi, ukawa/chadema itahitaji wanasiasa au Viongozi wenye sifa za kisiasa wasiozidi Kumi ikijumuisha Rais, makamu wake na Waziri mkuu (iwapo nae atalazimika kuwepo au kuwa mwanasiasa).

Tatizo ni kwamba CCM imetengeneza mfumo wa mazoea ambao wengi kwa kutokufikiria vizuri tunadhania kwamba it's an ideal system of rule. Lakini ni hao hao ambao tumekuwa mbele kujadili kwamba mfumo uliopo ni mbovu na umechangia maendeleo duni nchini na kwa wananchi kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Nmekuwa nikifuatilia sana post zako mkuu...... you are an asset kwakweli kwenye hili taifa

Big up mkuu
 
Mambo yapi? Kubadili gia? Kutumia matukio kujinadi? Kuacha kuelezea sera zao kwa wananchi bali kuvizia sisiemu wataenda kukosea wapi? Kurumbana wenyewe kwa wenyewe na kusingizia sisiemu inawavuruga??
Immaturity & hupocrisy are the words here that fit the bill!
Hakuna aliyesema kuwa CDM is smart!! Labda kama umejito ufahamu, lakini ni muhimu kujua chochote kibaya kwa CDM, kwa CCM kitakuwa kibaya zaidi!!! Hivyo kama CDM in immaturity, CCM itakuwa more Immaturity. Kama CDM itakuwa Hypocrisy CCM itakuwa more hypocrisy. Wenye akili wanachagua chenye unafuu!! "choose the less evil". Wewe unachagua ipi?
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali la tathmini kuihusu Chadema, seriousness yake, its abilities and the capabilities. Hivi CHADEMA, inawezo wa kushinda uchaguzi wa 2020?, na hata ikatokea ikashinda, jee inaweza kuendesha nchi?. Is it a Serious Party?, is it Credible?. Is it Organized?, does it have Succession Plan?. Is it Mature Enough Opposition, Kuweza Kukabidhiwa Nchi yetu 2020?!.

Maswali haya ni kufuatia tathmini yangu jinsi Chadema inadeal na baadhi ya issues mbalimbali ikiwemo the current one ya uteuzi wa wawakilishi wake kwenye Bunge la EALA.

Kutawala nchi sio jambo dogo au jambo la mchezo mchezo. Ikulu yetu haipaswi kugaiwa kwa majaribio bali kwa uhakika, tutakaye mkabidhi ikulu yetu ni lazima kwanza atuthibitishie amekomaa, na anawezo, mature enough with the abilities and capabilities, na sio tuu kumpa mtu ikulu yetu kwa kumjaribishia simply kwa sababu tuu CCM imeshindwa hili na lile na baadhi ya watu wameichoka sana CCM!.

CCM inaendelea kuchaguliwa mwaka hadi mwaka, na itaendelea kuchaguliwa sio kwa sababu CCM is the best, au CCM imeweza au inauwezo kivile!, no!. CCM imeshindwa na ilishindwa siku nyingi na inaendelea kushindwa, kwa kufanya madudu mengi tuu lakini bado imekuwa ikiendelea kushinda kwa kuchaguliwa mwaka hadi mwaka kwa mazoea tuu kwa sababu, Tanzania bado hatuna mbadala muafaka wa kuiondoa CCM!.

Yaani Tanzania bado hatuna any serious and a credible opposition party ya kuwapa wapiga kura wa Tanzania a choice to choose from, hivyo CCM kujikuta ikiendelea kuchaguliwa na kushinda kwa ku sail through na upepo wa mazoea, kwa sababu ndio the only one iliyopo!, we have no any serious credible choice to choose from, hivyo we have no choice. Matokeo yake ni CCM inashinda kwa easy ride ya mazoea na itaendelea kushinda na kushinda tena na tena mpaka tutakapo pata a credible opposition such that we'll have a choice to choose from!.

Kwa Zanzibar hakuna ubishi kuhusu uwezo wa CUF as a credible opposition kuweza kutawala Zanzibar, lakini kwa upande wa huku Tanzania Bara, bado kabisa hatuna any serious and a credible opposition ya kuiondoa CCM na kuikabidhi Ikulu yetu.

CHADEMA ndio angalau angalau wameonyesha nia, na kiukweli wakiamua, wanaweza kabisa, ila natatizwa na haya madudu madogo madogo yanayo onyesha all signs za immaturity kwa upande wa Chadema, such that bado ni chama ambacho hakijaonyesha ukomavu wa kutosha enough to convince Tatanzanians kuikabidhi ikulu yetu comes 2020, waipige chini CCM na kuikabidhi Chadema Ikulu yetu ya Magogoni.

Jee kwa maoni yako, unaiona Chadema as a credible, serious opposition, iliyokomaa na kuwa mature enough with the ability and credibility ya kukabidhiwa ikulu yetu 2020?.

Kwa upande wangu, honestly, I don't think, ila kabla sijasema why I don't think and what should we do, naomba kupata mawazo yako, assuming uchaguzi wa Tanzania utaendeshwa kwa uhuru na haki, na chama kitakacho shinda kimeshinda kwa haki, Jee Chadema hata kikishinda, kinauwezo?. Kimeonyesha uwezo wa utayari wa kutawala nchi endapo kitashinda uchaguzi 2020?. Ila kabla hata hakijashinda huo uchaguzi wa 2020, kwa Chadema hii tunayoiona sasa, jee inao huo uwezo wa kushinda?.

Na hata tukiachana na udhaifu wa upinzani imara, everything has it's limits, suppose CCM imewafikisha Watanzania at their limits wakaamua sasa imetosha, they've had enough of CCM and now they are fed up hivyo kuamua liwalo na liwe, wakaipiga chini CCM kwenye sanduku la kura na kuichagua Chadema, jee CCM itakubali kuachia?. Can you just imagine mtu aliyepo Ikulu kukabidhi madaraka sijui kwa nani hiyo 2020, is it possible?.
Kuna mtu yoyote ameishawahi maandalizi yoyote ya succession plan ya serikali, vyombo vyetu vya dola na vyombo vya ulinzi na usalama kukitumikia chama kingine chochote nje ya CCM?.

Kwanza tuu hata ikatokea Watanzania wengi zaidi wakaichoka CCM na kuipiga chini kwenye sanduku la kura, jee huyo mshindi halali atatangazwa?!. Au inawezekana zoezi zima la uchaguzi wa vyama vingi ni kwenye ubunge tuu na udiwani, lakini kwenye urais, licha ya the playing field kutokuwa level, inawezekana uchaguzi wa rais ni igizo tuu la uchaguzi?!.

Nawatakia Furahi Dai Njema.
Paskali.
Rejea.
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! - jamiiforums.com

CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015 | Page 7 ...

Kuelekea 2020: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...

Kuelekea 2020: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM ...

CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2020, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala ...

Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi ...

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision ...

Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye ...

Watanzania ni ignorants au tumelogwa?

CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga ...

Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
Kushinda uchaguzi huwa ni referendum mbaya dhidi ya watawala siyo kura dhidi ya wapinzani.

Uchaguzi ni kuwapima watawala siyo wanaotaka kuwarithi.

Kwa hiyo huu uchambuzi umeteleza vibaya mno.

CCM hawawezi kuendelea madarakani kwa sababu ya mapungufu ya upinzani bali kwa kutekeleza ilani ya uchaguzi iliyowaweka madarakani.

Jikite juu ya hiyo ilani au kanywe togwa
 
Chama kinachopambana na vyombo vya ulinzi na usalama kinashindaje kwa mfano, haohao wenye dola unaotegemea wakupe Ikulu ndio unaowananga daily, hii ina maana huwaamini sasa kama huwaamini ndio wakupe nchi..sahau. Chama hakishindi Urais kirahisi kama mnavyodhani bila system kusema yes, wee unafanya upuuzi wote alaf utegemee maajabu sahau, nchii hii ni muhimu sana kuliko Mbowe na chama chake
 
Demokrasia ndio inayoamua, ccm na chadema ni vyama tu, majibu ya maswali yako yanajibiwa kwa kura kupitia chaguzi. Kama demokrasia ndo inayoamua kwamba mwenye kura nyingi ndiye mshindi hayo ya kuhoji uwezo wa chadema yanahojiwa kwa taratibu zipi? Kama wananchi watasimama pamoja na chadema bila kujali mapungufu yao nani huyo atakathubutu kupingana na maamuzi ya wananchi?

Uchaguzi mkuu 2015 ingawa tume ya uchaguzi iliwapa ccm ushindi ila wengi hata miongoni mwa wana ccm waliamini ccm haikushinda na kama kungekuwa na kura za wazi ukweli ungejulikana. Kwahiyo kuendelea kwa ccm kuwepo madarakani sio kipimo cha wao kukubalika kwa sababu hata tume ya uchaguzi inaendeshwa na wao kwa mwamvuli wa serikali, kwa namna hiyo nani ataamini kama uwepo wao unategemea kura za kweli au kura hewa?
endelea kuota
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali la tathmini kuihusu Chadema, seriousness yake, its abilities and the capabilities. Hivi CHADEMA, inawezo wa kushinda uchaguzi wa 2020?, na hata ikatokea ikashinda, jee inaweza kuendesha nchi?. Is it a Serious Party?, is it Credible?. Is it Organized?, does it have Succession Plan?. Is it Mature Enough Opposition, Kuweza Kukabidhiwa Nchi yetu 2020?!.

Maswali haya ni kufuatia tathmini yangu jinsi Chadema inadeal na baadhi ya issues mbalimbali ikiwemo the current one ya uteuzi wa wawakilishi wake kwenye Bunge la EALA.

Kutawala nchi sio jambo dogo au jambo la mchezo mchezo. Ikulu yetu haipaswi kugaiwa kwa majaribio bali kwa uhakika, tutakaye mkabidhi ikulu yetu ni lazima kwanza atuthibitishie amekomaa, na anawezo, mature enough with the abilities and capabilities, na sio tuu kumpa mtu ikulu yetu kwa kumjaribishia simply kwa sababu tuu CCM imeshindwa hili na lile na baadhi ya watu wameichoka sana CCM!.

CCM inaendelea kuchaguliwa mwaka hadi mwaka, na itaendelea kuchaguliwa sio kwa sababu CCM is the best, au CCM imeweza au inauwezo kivile!, no!. CCM imeshindwa na ilishindwa siku nyingi na inaendelea kushindwa, kwa kufanya madudu mengi tuu lakini bado imekuwa ikiendelea kushinda kwa kuchaguliwa mwaka hadi mwaka kwa mazoea tuu kwa sababu, Tanzania bado hatuna mbadala muafaka wa kuiondoa CCM!.

Yaani Tanzania bado hatuna any serious and a credible opposition party ya kuwapa wapiga kura wa Tanzania a choice to choose from, hivyo CCM kujikuta ikiendelea kuchaguliwa na kushinda kwa ku sail through na upepo wa mazoea, kwa sababu ndio the only one iliyopo!, we have no any serious credible choice to choose from, hivyo we have no choice. Matokeo yake ni CCM inashinda kwa easy ride ya mazoea na itaendelea kushinda na kushinda tena na tena mpaka tutakapo pata a credible opposition such that we'll have a choice to choose from!.

Kwa Zanzibar hakuna ubishi kuhusu uwezo wa CUF as a credible opposition kuweza kutawala Zanzibar, lakini kwa upande wa huku Tanzania Bara, bado kabisa hatuna any serious and a credible opposition ya kuiondoa CCM na kuikabidhi Ikulu yetu.

CHADEMA ndio angalau angalau wameonyesha nia, na kiukweli wakiamua, wanaweza kabisa, ila natatizwa na haya madudu madogo madogo yanayo onyesha all signs za immaturity kwa upande wa Chadema, such that bado ni chama ambacho hakijaonyesha ukomavu wa kutosha enough to convince Tatanzanians kuikabidhi ikulu yetu comes 2020, waipige chini CCM na kuikabidhi Chadema Ikulu yetu ya Magogoni.

Jee kwa maoni yako, unaiona Chadema as a credible, serious opposition, iliyokomaa na kuwa mature enough with the ability and credibility ya kukabidhiwa ikulu yetu 2020?.

Kwa upande wangu, honestly, I don't think, ila kabla sijasema why I don't think and what should we do, naomba kupata mawazo yako, assuming uchaguzi wa Tanzania utaendeshwa kwa uhuru na haki, na chama kitakacho shinda kimeshinda kwa haki, Jee Chadema hata kikishinda, kinauwezo?. Kimeonyesha uwezo wa utayari wa kutawala nchi endapo kitashinda uchaguzi 2020?. Ila kabla hata hakijashinda huo uchaguzi wa 2020, kwa Chadema hii tunayoiona sasa, jee inao huo uwezo wa kushinda?.

Na hata tukiachana na udhaifu wa upinzani imara, everything has it's limits, suppose CCM imewafikisha Watanzania at their limits wakaamua sasa imetosha, they've had enough of CCM and now they are fed up hivyo kuamua liwalo na liwe, wakaipiga chini CCM kwenye sanduku la kura na kuichagua Chadema, jee CCM itakubali kuachia?. Can you just imagine mtu aliyepo Ikulu kukabidhi madaraka sijui kwa nani hiyo 2020, is it possible?.
Kuna mtu yoyote ameishawahi maandalizi yoyote ya succession plan ya serikali, vyombo vyetu vya dola na vyombo vya ulinzi na usalama kukitumikia chama kingine chochote nje ya CCM?.

Kwanza tuu hata ikatokea Watanzania wengi zaidi wakaichoka CCM na kuipiga chini kwenye sanduku la kura, jee huyo mshindi halali atatangazwa?!. Au inawezekana zoezi zima la uchaguzi wa vyama vingi ni kwenye ubunge tuu na udiwani, lakini kwenye urais, licha ya the playing field kutokuwa level, inawezekana uchaguzi wa rais ni igizo tuu la uchaguzi?!.

Nawatakia Furahi Dai Njema.
Paskali.
Rejea.
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! - jamiiforums.com

CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015 | Page 7 ...

Kuelekea 2020: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...

Kuelekea 2020: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM ...

CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2020, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala ...

Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi ...

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision ...

Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye ...

Watanzania ni ignorants au tumelogwa?

CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga ...

Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...


Mungu asaidie tu Mh achagua RC Wa Kilimanjaro, hizi RIWAYA hamtaziona tena.
 
Wanabodi,
Tanzania bado hatuna any serious and a credible opposition party ya kuwapa wapiga kura wa Tanzania a choice to choose from, hivyo CCM kujikuta ikiendelea kuchaguliwa na kushinda kwa ku sail through na upepo wa mazoea, kwa sababu ndio the only one iliyopo!, we have no any serious credible choice to choose from, hivyo we have no choice. Matokeo yake ni CCM inashinda kwa easy ride ya mazoea na itaendelea kushinda na kushinda tena na tena mpaka tutakapo pata a credible opposition such that we'll have a choice to choose from!.

Paskali.
Kilichotokea Kenya, ni matokeo ya kitu kinachoitwa uwepo wa serious and credible opposition.

Sisi Tanzania safari bado ni ndefu,

Paskali
 
Kilichotokea Kenya, ni matokeo ya kitu kinachoitwa uwepo wa serious and credible opposition.

Sisi Tanzania safari bado ni ndefu,

Paskali
Huku tuna wapiga kelele na wabinafsi tu.
Mtu anapanga mawakili wasuse kwa umakini mkubwa akitambuka siku ambayo anatakiwa kutetewa mahakamni,mtu mbinafsi kama huyo hawezi kutegemewa kuwavusha watu kuelekea nchi ya ahadi
 
Kilichotokea Kenya, ni matokeo ya kitu kinachoitwa uwepo wa serious and credible opposition.

Sisi Tanzania safari bado ni ndefu,

Paskali
Hawa ndio wanasheria wetu na hizi ndio hoja wanazojijenga. Kwa staili hii tusitegemee kuwa na demokrasia kama ya Kenya. Anachomekea maneno ya Kiingereza hapa na pale halafu anahisi kama ametoa hoja? Anashindwa kuzungumzia katiba ambayo inafanya uchaguzi uwe mchezo wa kuigiza! Anashindwa kuongelea Tume ya Uchaguzi ambayo viongozi wanachaguliwa na Rais na wapo pale kwa discretion ya Rais kitu ambacho kinapelekea kuwa na mgongano wa maslahi. Wakati huo huo, sheria ya uchaguzi inayosema matokeo ya uchaguzi yakishatangazwa na tume hakuna,mahakama inayoweza kutengua. Wakili/mwandishi makini angei-attack hii sheria kwani sio constitutional

.
 
Hawa ndio wanasheria wetu na hizi ndio hoja wanazojijenga. Kwa staili hii tusitegemee kuwa na demokrasia kama ya Kenya. Anachomekea maneno ya Kiingereza hapa na pale halafu anahisi kama ametoa hoja? Anashindwa kuzungumzia katiba ambayo inafanya uchaguzi uwe mchezo wa kuigiza! Anashindwa kuongelea Tume ya Uchaguzi ambayo viongozi wanachaguliwa na Rais na wapo pale kwa discretion ya Rais kitu ambacho kinapelekea kuwa na mgongano wa maslahi. Wakati huo huo, sheria ya uchaguzi inayosema matokeo ya uchaguzi yakishatangazwa na tume hakuna,mahakama inayoweza kutengua. Wakili/mwandishi makini angei-attack hii sheria kwani sio constitutional
.
Nimekusoma, nitakutembeza mitaa kadhaa.
P
 
Waona mbali wameangalia majaaliwa ya Chadema 2020, kama yanavyozungumzwa kwenye bandiko hili, wameamua bora wasepe mapema kama hivi.

Mbunge wa jimbo la Serengeti kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Marwa Ryoba Chacha amejivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) muda mfupi uliopita kwa kile alichodai kuunga mkono juhudi za Mhe. John Pombe Magufuli katika kuwaletea wananchi wa Tanzania maendeleo.

Amesema hajashurutishwa na yeyote kuchukua maamuzi haya.

Marwa amewasihi wana Serengeti kumchagua wanayeona anafaa, anayeunga mkono juhudi za Mhe. Rais Magufuli katika kuleta maendeleo.

Akitangaza kujivua uanachama amesema,

Mimi Marwa Ryoba Chacha, mbunge wa jimbo la Serengeti na mwanachama wa CHADEMA, leo tarehe 27/08/2018 nimeamua kwa hiari yangu mwenyewe bila kushinikizwa na mtu yeyote kujivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga na Chama cha Mapinduzi. Nawaomba wananchi wa Serengeti, mlinipa imani kubwa ya kuwatumikia lakini imefikia sehemu kupitia CHADEMA naona kama siwatendei haki.

Nimeamua nijivue uanachama na kujinga na chama cha mapinduzi ili kuunga mkono juhudi za maendeleo ambazo anazifanya Rais Magufuli. Niwaombe wananchi wa Serengeti, nafasi ipo kwenu chagueni mtu mnayemuona anawafaa kuwawakilisha ambaye ataungana na Rais Magufuli kuwaletea maendeleo.
Asanteni sana.


VIDEO:


Naendelea kusisitiza hawa wanaohama wasibezwe, kwanza ni haki yao, pili wanahoja za msingi, na tatu wameona mbali kuwa 2020, hakuna mpinzani atarudi bungeni, hivyo kuliko kusubiri 2020 upotee, wameamua bora wajihakikishie nafasi mapema, na kichocheo cha kuhama ni ile ile rushwa ya ahadi, ukihama, tutakusimamisha wewe.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P.
 
Waona mbali wameangalia majaaliwa ya Chadema 2020, kama yanavyozungumzwa kwenye bandiko hili, wameamua bora wasepe mapema kama hivi.

Naendelea kusisitiza hawa wanaohama wasibezwe, kwanza ni haki yao, pili wanahoja za msingi, na tatu wameona mbali kuwa 2020, hakuna mpinzani atarudi bungeni, hivyo kuliko kusubiri 2020 upotee, wameamua bora wajihakikishie nafasi mapema, na kichocheo cha kuhama ni ile ile rushwa ya ahadi, ukihama, tutakusimamisha wewe.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P.
Kama ni hivi kweli, mawakala wanyimwe vibali, na wakipewa wanaingia saa 6 mchana, jumuisho za kura watolewe kwa mtutu, na wakigoma wawekwe rumande, kwa haya watapita na nna wasiwasi 2020 turnover itakuwa ni ndogo sana, na kura nyingi zitakuwepo za kupandikiza, wangefantia la maana hizo pesa za marudio, wapelekewe vivuko wakerewe, majamha yasizidi kutokea manake visiwa vingi wanatumia mitumbwi ya mbao
 
Back
Top Bottom