Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Kwa hiyo ulitaka nikujibu suala dogo kama hilo, ambalo hata mtoto wa darasa 1 anajua!Unadhihirisha kiwango cha ufahamu & uelewa wako boss. kama hukuelewa suala dogo km hilo; sina la kukusaidia. Sidhani km inahitajika elimu kubwa kunielewa.
Ila nashukuru pia kunipa ripoti kua tangazo linasomeka
SAJILI KAMPUNI; LTD, JINA LA KAMPUNI, PARTNERSHIP, HESABU ZA KAMPUNI, PROFORMA INVOICES ETC 0652411402 -0684205039