vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,799
- 2,177
kama mtu wa darasa la saba anaweza kuongoza jimbo nini chadema kuongoza nchi?ambapo kuna wasomi kibao
Jambo hili la elimu Bajaj lipo kikatiba lakini limepitwa na wakati na ndio maana watu wanaomba katiba ibadilishwe kupitia kwa haohao akina Bajaj lakini nao wamegoma kumwaga kitumbua chao wakiwa wanaangalia na ukichunguza huko kwao ndio kumejaa watu wa type hiyo ya vibajaj?