Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?

kama mtu wa darasa la saba anaweza kuongoza jimbo nini chadema kuongoza nchi?ambapo kuna wasomi kibao

Jambo hili la elimu Bajaj lipo kikatiba lakini limepitwa na wakati na ndio maana watu wanaomba katiba ibadilishwe kupitia kwa haohao akina Bajaj lakini nao wamegoma kumwaga kitumbua chao wakiwa wanaangalia na ukichunguza huko kwao ndio kumejaa watu wa type hiyo ya vibajaj?
 
Waona mbali wameangalia majaaliwa ya Chadema 2020, kama yanavyozungumzwa kwenye bandiko hili, wameamua bora wasepe mapema kama hivi.

Naendelea kusisitiza hawa wanaohama wasibezwe, kwanza ni haki yao, pili wanahoja za msingi, na tatu wameona mbali kuwa 2020, hakuna mpinzani atarudi bungeni, hivyo kuliko kusubiri 2020 upotee, wameamua bora wajihakikishie nafasi mapema, na kichocheo cha kuhama ni ile ile rushwa ya ahadi, ukihama, tutakusimamisha wewe.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P.
Kwa nini wasibezwe wakati wanalisababishia taifa hasara ya mamilioni? Nenda kawaambie watu wa Ukerewe ambao wamepoteza ndugu zao simply kwa kuwa waokoaji walikosa taa za kuokolea usiku kwamba hawa watu wasibezwe. Watoto wengi hawana madawati, wakinama wanajifungulia kwenye sakafu halafu huyu mla rushwa anataka turudi uchaguzi...
 
Kama ni hivi kweli, mawakala wanyimwe vibali, na wakipewa wanaingia saa 6 mchana, jumuisho za kura watolewe kwa mtutu, na wakigoma wawekwe rumande, kwa haya watapita na nna wasiwasi 2020 turnover itakuwa ni ndogo sana, na kura nyingi zitakuwepo za kupandikiza, wangefantia la maana hizo pesa za marudio, wapelekewe vivuko wakerewe, majamha yasizidi kutokea manake visiwa vingi wanatumia mitumbwi ya mbao
Tangu siasa za vyama vingi zianze sijawahi sikia uchaguzi usiokuwa na figisu wala malalamiko.
Lakini, upinzani wamekuwa wakishinda na kuendelea kujikusanyia majimbo mengi uchaguzi hadi uchaguzi.

Hivi sasa kinachoendelea ni dalili za upinzani kushindwa kuhimili vishindo. Inaonekana hatari ya kupoteza majimbo ya upinzani 2020 ni kubwa saaaana.
Sasa tunajiuliza kulikoni? Sababu za figisu kuwepo hilo sio jipya..swala la tume hilo sio jipya...ni nini kipya awamu hii?

Na kuhusu 'tume huru' na kuhoji matokeo mahakamani nakupa mfano wa nchi ya kenya. Wanayo katiba mpya (waliyoisifu sana), kisha wakaunda 'tume huru' (waliyoitaka wao) na kisha wanaouwezo wa kupinga matokeo mahakamani.
Uchaguzi wa 2017 umetoa funzo kubwa. Wamelia tume si huru...wapinzani wameipinga sana na mishipa ikawasimama, wanasema wazi kupinga matokeo ya urais mahakamani ni upuuzi (kindumbwendumbwe cha Mzee Maraga kimewarudi) na mapengo ya katiba yamechomoza wazi na sasa kampeni za refferendum ya kurekebisha katiba imeanza.

Swali tunalojiuliza hivi sasa ni kulikoni?
Kulikoni hatari ya kufutika hivi sasa katika majimbo ya upinzani ni kubwa sana ilhali changamoto ni zilezile?
 
Kwa nini wasibezwe wakati wanalisababishia taifa hasara ya mamilioni? Nenda kawaambie watu wa Ukerewe ambao wamepoteza ndugu zao simply kwa kuwa waokoaji walikosa taa za kuokolea usiku kwamba hawa watu wasibezwe. Watoto wengi hawana madawati, wakinama wanajifungulia kwenye sakafu halafu huyu mla rushwa anataka turudi uchaguzi...
Kinachosababisha hasara ya kurudia uchaguzi sio wahamaji bali ni sheria mbovu ya uchaguzi. Mbunge huchaguliwa na watu, aliopaswa kuwa huru kuhama na ubunge wake kama Kenya.
Rushwa ya ahadi kwenye sheria zetu sio kosa.
Sheria ya Uchaguzi Ni Bad Law!, Kuendelea Kuitumia ni Ujinga?, Kuwabebesha Masikini Gharama za Uchaguzi ni Dhambi!. - JamiiForums
P
 
Kutokuwa na sheria kama Kenya hakuhalalishi hawa watu kufanya huu ujinga. Tanzania ni nchi maskini tuna matatizo mengi ya msingi yanayohitaji kila senti tunayoyapata. Haingii akilini kutumia mamilioni ya shilingi kufanya uchaguzi wakati watoto wetu wanasoma kwenye mazingira magumu.
 
Zanzibar hakuna ubishi kuhusu uwezo wa CUF as a credible opposition kuweza kutawala Zanzibar, lakini kwa upande wa huku Tanzania Bara, bado kabisa hatuna any serious, capable and a credible opposition ya kuiondoa CCM na kuikabidhi Ikulu yetu.
Kwanza tuu hata ikatokea Watanzania wengi zaidi wakaichoka CCM na kuipiga chini kwenye sanduku la kura, jee huyo mshindi halali atatangazwa?!, na Tume hii hii?!, Au inawezekana zoezi zima la uchaguzi wa vyama vingi ni kwenye ubunge tuu na udiwani, lakini kwenye urais, licha ya the playing field kutokuwa level, inawezekana uchaguzi wa rais ni igizo tuu la uchaguzi?!.
Hapa naona umeshatupa mwelekeo (clue) kwamba chama chochote cha upinzani hakitopkabidhiwa madaraka hata kama kitashinda, na ndivyo ilivyo!! Sasa hili swali wala halikuhiotajika, yaani jawabu tayari unalo mkuu. sisi twende tu.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali la tathmini kuihusu Chadema, seriousness yake, its abilities and the capabilities kuelekea uchaguzi wa 2020. Hivi CHADEMA, hii, hivi ilivyo, inawezo wa kushinda uchaguzi wa 2020?, na hata ikatokea ikashinda kwa muujiza tuu kama wa Kenya, Zambia na Malawi, jee inaweza kuendesha nchi?. Is it a Serious Party?, is it Capable, is it Credible?. Is it Organized?, does it have Succession Plan?. Is it Mature Enough Opposition, Kuweza Kukabidhiwa Nchi yetu 2020?!.

Maswali haya ni kufuatia tathmini yangu jinsi Chadema inavyo deal na baadhi ya issues mbalimbali na ndogo ndogo tuu ikiwemo the current one ya uteuzi wa wawakilishi wake kwenye Bunge la EALA. Chadema kuna wakati ina behave childish na ikikwama kwa kutofuata sheria, taratibu na kanuni, ina pandisha na kupaza loud noises za baby cry kuwa inaonewa!.

Kutawala nchi sio jambo dogo au jambo la mchezo mchezo. Ikulu yetu haipaswi kugaiwa kwa majaribio bali kwa uhakika, tutakaye mkabidhi ikulu yetu ni lazima kwanza atuthibitishie amekomaa, na anawezo, mature enough with the abilities and capabilities, na sio tuu kumpa mtu ikulu yetu kwa kumjaribishia simply kwa sababu tuu CCM imeshindwa hili na lile na baadhi ya watu wameichoka sana CCM mpaka basi!.

CCM inaendelea kushinda na kuchaguliwa mwaka hadi mwaka, na itaendelea kuchaguliwa sio kwa sababu CCM is the best party, au CCM imeweza au inauwezo kivile!, no!. CCM has failed this nation, since then, CCM imeshindwa na ilishindwa siku nyingi na inaendelea kushindwa, kwa kufanya madudu mengi tuu ya ajabu ajabu, lakini bado imekuwa ikiendelea kushinda kwa kuchaguliwa mwaka hadi mwaka kwa mazoea tuu kwa sababu, Tanzania bado hatuna mbadala muafaka wa kuiondoa CCM!.

Yaani Tanzania bado hatuna any serious, capable and a credible opposition party ya kuwapa wapiga kura wa Tanzania a choice to choose from, hivyo CCM kujikuta ikiendelea kuchaguliwa na kushinda kwa ku sail through na upepo wa mazoea, kwa sababu ndio the only one iliyopo!, we have no any serious, capable na credible choice to choose from, hivyo we have no choice. Matokeo yake ni CCM inashinda kwa an easy ride ya mazoea na itaendelea kushinda na kushinda tena na tena mpaka tutakapo pata a credible opposition such that we'll have a choice to choose from!.

Kwa Zanzibar hakuna ubishi kuhusu uwezo wa CUF as a credible opposition kuweza kutawala Zanzibar, lakini kwa upande wa huku Tanzania Bara, bado kabisa hatuna any serious, capable and a credible opposition ya kuiondoa CCM na kuikabidhi Ikulu yetu.

CHADEMA ndio angalau angalau wameonyesha nia na dalili za kuweza kuaminiwa, na kiukweli wakiamua, wanaweza kabisa, ila natatizwa na haya madudu yao madogo madogo yanayo onyesha all signs za immaturity kwa upande wa Chadema, such that bado ni chama ambacho hakijaonyesha ukomavu wa kutosha enough to convince Tanzanians kuikabidhi ikulu yetu comes 2020, waipige chini CCM na kuikabidhi Chadema Ikulu yetu ya Magogoni.

Jee kwa maoni yako, unaiona Chadema as a credible,capable na serious opposition, iliyokomaa na kuwa mature enough with the ability, capability and credibility ya kukabidhiwa ikulu yetu 2020?.

Kwa upande wangu, honestly, I don't think, ila kabla sijasema why I don't think and what should we do, naomba kupata mawazo yako, assuming uchaguzi wa Tanzania utaendeshwa kwa uhuru na haki, na chama kitakacho shinda kimeshinda kwa haki, Jee Chadema hata kikishinda, kinauwezo?. Kimeonyesha uwezo wa utayari wa kutawala nchi endapo kitashinda uchaguzi 2020?. Ila kabla hata hakijashinda huo uchaguzi wa 2020, kwa Chadema hii tunayoiona sasa, jee inao huo uwezo wa kushinda?.

Na hata tukiachana na udhaifu wa upinzani imara, everything has it's limits, suppose CCM imewafikisha Watanzania at their limits wakaamua sasa imetosha, they've had enough of CCM and now they are fed up hivyo kuamua liwalo na liwe, wakaipiga chini CCM kwenye sanduku la kura na kuichagua Chadema, jee CCM itakubali kuachia?. Can you just imagine mtu aliyepo Ikulu kukabidhi madaraka sijui kwa nani hiyo 2020, is it possible?.
Kuna mtu yoyote ameishawahi kusikia maandalizi yoyote ya succession plan ya changing arms kwa vyombo vya serikali, na vyombo vyetu vya dola na vyombo vya ulinzi na usalama, kujiandaa kukitumikia chama kingine chochote nje ya CCM?.

Kwanza tuu hata ikatokea Watanzania wengi zaidi wakaichoka CCM na kuipiga chini kwenye sanduku la kura, jee huyo mshindi halali atatangazwa?!, na Tume hii hii?!, Au inawezekana zoezi zima la uchaguzi wa vyama vingi ni kwenye ubunge tuu na udiwani, lakini kwenye urais, licha ya the playing field kutokuwa level, inawezekana uchaguzi wa rais ni igizo tuu la uchaguzi?!.

Nawatakia Furahi Dai Njema.
Paskali.
Rejea.
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! - jamiiforums.com

CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015 | Page 7 ...

Kuelekea 2020: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...

Kuelekea 2020: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM ...

CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2020, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala ...

Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi ...

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision ...

Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye ...

Watanzania ni ignorants au tumelogwa?

CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga ...

Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
Is CCM credible anyway? It has a succession plan anyway but CCM itself isn't confident apart from it being older than opposition parties.
 
Mkuu yanayoendelea kuna 'state of denial' kwamba hawaamini kuna tatizo.
Katika matibabu, mgonjwa akiwa katika state of denial ni ngumu kwa tiba na huishia pabaya

Laiti wangekuwa na mfumo imara wa uongozi uliojengwa katika mazingira halali,
Kilichofanyika jana ni busara mbovu. Kwamba ni busara yenye ubovu kwasababu imefunika matatizo haikuondoa matatizo. Ili kuwa na busara njema, lazima waende katika mzizi wa tatizo

1. Wakubali kuna tatizo linalohitaji suluhu ya kudumu na si dawa ya kutuliza maumivu

2. Wasikilize hoja wasizotaka kuzisikia ili kuelewa, grievance, grudge, concern and reservations zinazosababisha tatizo kujirudia

3. Watengeneze mazingira ambayo mtu atakaposhindwa kuyafuata hakuna vikao vya masaa mengi bila kujali wanahitaji masaa mengi kuhangaika na mfumo unaowanyima haki

Ni lazima wawe na uongozi legit ukiwa na mandate na support ya kila mmoja
Mkuu Nguruvi3, asante kwa hii. Hii ni dalili ya Chadema angalau kuanza kuonyesha maturity, japo not for 2020, its too little too late.

P
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali la tathmini kuihusu Chadema, seriousness yake, its abilities and the capabilities kuelekea uchaguzi wa 2020. Hivi CHADEMA, hii, hivi ilivyo, inawezo wa kushinda uchaguzi wa 2020?, na hata ikatokea ikashinda kwa muujiza tuu kama wa Kenya, Zambia na Malawi, jee inaweza kuendesha nchi?. Is it a Serious Party?, is it Capable, is it Credible?. Is it Organized?, does it have Succession Plan?. Is it Mature Enough Opposition, Kuweza Kukabidhiwa Nchi yetu 2020?!.

Maswali haya ni kufuatia tathmini yangu jinsi Chadema inavyo deal na baadhi ya issues mbalimbali na ndogo ndogo tuu ikiwemo the current one ya uteuzi wa wawakilishi wake kwenye Bunge la EALA. Chadema kuna wakati ina behave childish na ikikwama kwa kutofuata sheria, taratibu na kanuni, ina pandisha na kupaza loud noises za baby cry kuwa inaonewa!.

Kutawala nchi sio jambo dogo au jambo la mchezo mchezo. Ikulu yetu haipaswi kugaiwa kwa majaribio bali kwa uhakika, tutakaye mkabidhi ikulu yetu ni lazima kwanza atuthibitishie amekomaa, na anawezo, mature enough with the abilities and capabilities, na sio tuu kumpa mtu ikulu yetu kwa kumjaribishia simply kwa sababu tuu CCM imeshindwa hili na lile na baadhi ya watu wameichoka sana CCM mpaka basi!.

CCM inaendelea kushinda na kuchaguliwa mwaka hadi mwaka, na itaendelea kuchaguliwa sio kwa sababu CCM is the best party, au CCM imeweza au inauwezo kivile!, no!. CCM has failed this nation, since then, CCM imeshindwa na ilishindwa siku nyingi na inaendelea kushindwa, kwa kufanya madudu mengi tuu ya ajabu ajabu, lakini bado imekuwa ikiendelea kushinda kwa kuchaguliwa mwaka hadi mwaka kwa mazoea tuu kwa sababu, Tanzania bado hatuna mbadala muafaka wa kuiondoa CCM!.

Yaani Tanzania bado hatuna any serious, capable and a credible opposition party ya kuwapa wapiga kura wa Tanzania a choice to choose from, hivyo CCM kujikuta ikiendelea kuchaguliwa na kushinda kwa ku sail through na upepo wa mazoea, kwa sababu ndio the only one iliyopo!, we have no any serious, capable na credible choice to choose from, hivyo we have no choice. Matokeo yake ni CCM inashinda kwa an easy ride ya mazoea na itaendelea kushinda na kushinda tena na tena mpaka tutakapo pata a credible opposition such that we'll have a choice to choose from!.

Kwa Zanzibar hakuna ubishi kuhusu uwezo wa CUF as a credible opposition kuweza kutawala Zanzibar, lakini kwa upande wa huku Tanzania Bara, bado kabisa hatuna any serious, capable and a credible opposition ya kuiondoa CCM na kuikabidhi Ikulu yetu.

CHADEMA ndio angalau angalau wameonyesha nia na dalili za kuweza kuaminiwa, na kiukweli wakiamua, wanaweza kabisa, ila natatizwa na haya madudu yao madogo madogo yanayo onyesha all signs za immaturity kwa upande wa Chadema, such that bado ni chama ambacho hakijaonyesha ukomavu wa kutosha enough to convince Tanzanians kuikabidhi ikulu yetu comes 2020, waipige chini CCM na kuikabidhi Chadema Ikulu yetu ya Magogoni.

Jee kwa maoni yako, unaiona Chadema as a credible,capable na serious opposition, iliyokomaa na kuwa mature enough with the ability, capability and credibility ya kukabidhiwa ikulu yetu 2020?.

Kwa upande wangu, honestly, I don't think, ila kabla sijasema why I don't think and what should we do, naomba kupata mawazo yako, assuming uchaguzi wa Tanzania utaendeshwa kwa uhuru na haki, na chama kitakacho shinda kimeshinda kwa haki, Jee Chadema hata kikishinda, kinauwezo?. Kimeonyesha uwezo wa utayari wa kutawala nchi endapo kitashinda uchaguzi 2020?. Ila kabla hata hakijashinda huo uchaguzi wa 2020, kwa Chadema hii tunayoiona sasa, jee inao huo uwezo wa kushinda?.

Na hata tukiachana na udhaifu wa upinzani imara, everything has it's limits, suppose CCM imewafikisha Watanzania at their limits wakaamua sasa imetosha, they've had enough of CCM and now they are fed up hivyo kuamua liwalo na liwe, wakaipiga chini CCM kwenye sanduku la kura na kuichagua Chadema, jee CCM itakubali kuachia?. Can you just imagine mtu aliyepo Ikulu kukabidhi madaraka sijui kwa nani hiyo 2020, is it possible?.
Kuna mtu yoyote ameishawahi kusikia maandalizi yoyote ya succession plan ya changing arms kwa vyombo vya serikali, na vyombo vyetu vya dola na vyombo vya ulinzi na usalama, kujiandaa kukitumikia chama kingine chochote nje ya CCM?.

Kwanza tuu hata ikatokea Watanzania wengi zaidi wakaichoka CCM na kuipiga chini kwenye sanduku la kura, jee huyo mshindi halali atatangazwa?!, na Tume hii hii?!, Au inawezekana zoezi zima la uchaguzi wa vyama vingi ni kwenye ubunge tuu na udiwani, lakini kwenye urais, licha ya the playing field kutokuwa level, inawezekana uchaguzi wa rais ni igizo tuu la uchaguzi?!.

Nawatakia Furahi Dai Njema.
Paskali.
Rejea.
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! - jamiiforums.com

CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015 | Page 7 ...

Kuelekea 2020: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...

Kuelekea 2020: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM ...

CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2020, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala ...

Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi ...

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision ...

Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye ...

Watanzania ni ignorants au tumelogwa?

CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga ...

Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
Kwa hyo we una akili kumzidi msajili wa vyama vya siasa ambae amekisajili na anaamini kinaweza kuongoza nchi?maswali yako kamuulize msajili wa vyama.hata goliati alikuwa na dharau sana kwa kijana daudi.
 
Huu ndio ukweli wenyewe. Hebu tuchangie bila povu wajameni.


Mkuu Magonjwa Mtambuka, asante sana kwa hii kitu. Huyu ni mmoja wa ma Prof wa ukweli ninao waaminia, hivyo naunga mkono hoja ya Prof. Safari.

Tulisema humu akina sisi,

Kuna kitu hapa kilisemwa na Masha

Kikapuuzwa, sasa leo kusema Prof. Safari, haya sasa manazi wa Chadema, njooni mumponde kama kawaida yenu.

Mkiambiwa
Mnakasirika

P.
 
Uchaguzi wa kesho wa Mwenyekiti wa Chadema ni very instrumental kwenye mustakabali wa 2020, kama mtajichagulia tuu kwa ule ule utaratibu wenu wa mazoea ya as usual, matokeo ya uendeshaji wa Chadema pia utakuwa as usual, lakini kama mtaamua kufanya changes, then things will change hata Uchanguzi Mkuu wa 2020 mnaweza angalao kuambulia ambulia.

P
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali la tathmini kuihusu Chadema, seriousness yake, its abilities and the capabilities kuelekea uchaguzi wa 2020. Hivi CHADEMA, hii, hivi ilivyo, inawezo wa kushinda uchaguzi wa 2020?, na hata ikatokea ikashinda kwa muujiza tuu kama wa Kenya, Zambia na Malawi, jee inaweza kuendesha nchi?. Is it a Serious Party?, is it Capable, is it Credible?. Is it Organized?, does it have Succession Plan?. Is it Mature Enough Opposition, Kuweza Kukabidhiwa Nchi yetu 2020?!.

Maswali haya ni kufuatia tathmini yangu jinsi Chadema inavyo deal na baadhi ya issues mbalimbali na ndogo ndogo tuu ikiwemo the current one ya uteuzi wa wawakilishi wake kwenye Bunge la EALA. Chadema kuna wakati ina behave childish na ikikwama kwa kutofuata sheria, taratibu na kanuni, ina pandisha na kupaza loud noises za baby cry kuwa inaonewa!.

Kutawala nchi sio jambo dogo au jambo la mchezo mchezo. Ikulu yetu haipaswi kugaiwa kwa majaribio bali kwa uhakika, tutakaye mkabidhi ikulu yetu ni lazima kwanza atuthibitishie amekomaa, na anawezo, mature enough with the abilities and capabilities, na sio tuu kumpa mtu ikulu yetu kwa kumjaribishia simply kwa sababu tuu CCM imeshindwa hili na lile na baadhi ya watu wameichoka sana CCM mpaka basi!.

CCM inaendelea kushinda na kuchaguliwa mwaka hadi mwaka, na itaendelea kuchaguliwa sio kwa sababu CCM is the best party, au CCM imeweza au inauwezo kivile!, no!. CCM has failed this nation, since then, CCM imeshindwa na ilishindwa siku nyingi na inaendelea kushindwa, kwa kufanya madudu mengi tuu ya ajabu ajabu, lakini bado imekuwa ikiendelea kushinda kwa kuchaguliwa mwaka hadi mwaka kwa mazoea tuu kwa sababu, Tanzania bado hatuna mbadala muafaka wa kuiondoa CCM!.

Yaani Tanzania bado hatuna any serious, capable and a credible opposition party ya kuwapa wapiga kura wa Tanzania a choice to choose from, hivyo CCM kujikuta ikiendelea kuchaguliwa na kushinda kwa ku sail through na upepo wa mazoea, kwa sababu ndio the only one iliyopo!, we have no any serious, capable na credible choice to choose from, hivyo we have no choice. Matokeo yake ni CCM inashinda kwa an easy ride ya mazoea na itaendelea kushinda na kushinda tena na tena mpaka tutakapo pata a credible opposition such that we'll have a choice to choose from!.

Kwa Zanzibar hakuna ubishi kuhusu uwezo wa CUF as a credible opposition kuweza kutawala Zanzibar, lakini kwa upande wa huku Tanzania Bara, bado kabisa hatuna any serious, capable and a credible opposition ya kuiondoa CCM na kuikabidhi Ikulu yetu.

CHADEMA ndio angalau angalau wameonyesha nia na dalili za kuweza kuaminiwa, na kiukweli wakiamua, wanaweza kabisa, ila natatizwa na haya madudu yao madogo madogo yanayo onyesha all signs za immaturity kwa upande wa Chadema, such that bado ni chama ambacho hakijaonyesha ukomavu wa kutosha enough to convince Tanzanians kuikabidhi ikulu yetu comes 2020, waipige chini CCM na kuikabidhi Chadema Ikulu yetu ya Magogoni.

Jee kwa maoni yako, unaiona Chadema as a credible,capable na serious opposition, iliyokomaa na kuwa mature enough with the ability, capability and credibility ya kukabidhiwa ikulu yetu 2020?.

Kwa upande wangu, honestly, I don't think, ila kabla sijasema why I don't think and what should we do, naomba kupata mawazo yako, assuming uchaguzi wa Tanzania utaendeshwa kwa uhuru na haki, na chama kitakacho shinda kimeshinda kwa haki, Jee Chadema hata kikishinda, kinauwezo?. Kimeonyesha uwezo wa utayari wa kutawala nchi endapo kitashinda uchaguzi 2020?. Ila kabla hata hakijashinda huo uchaguzi wa 2020, kwa Chadema hii tunayoiona sasa, jee inao huo uwezo wa kushinda?.

Na hata tukiachana na udhaifu wa upinzani imara, everything has it's limits, suppose CCM imewafikisha Watanzania at their limits wakaamua sasa imetosha, they've had enough of CCM and now they are fed up hivyo kuamua liwalo na liwe, wakaipiga chini CCM kwenye sanduku la kura na kuichagua Chadema, jee CCM itakubali kuachia?. Can you just imagine mtu aliyepo Ikulu kukabidhi madaraka sijui kwa nani hiyo 2020, is it possible?.
Kuna mtu yoyote ameishawahi kusikia maandalizi yoyote ya succession plan ya changing arms kwa vyombo vya serikali, na vyombo vyetu vya dola na vyombo vya ulinzi na usalama, kujiandaa kukitumikia chama kingine chochote nje ya CCM?.

Kwanza tuu hata ikatokea Watanzania wengi zaidi wakaichoka CCM na kuipiga chini kwenye sanduku la kura, jee huyo mshindi halali atatangazwa?!, na Tume hii hii?!, Au inawezekana zoezi zima la uchaguzi wa vyama vingi ni kwenye ubunge tuu na udiwani, lakini kwenye urais, licha ya the playing field kutokuwa level, inawezekana uchaguzi wa rais ni igizo tuu la uchaguzi?!.

Nawatakia Furahi Dai Njema.
Paskali.
Rejea.
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! - jamiiforums.com

CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015 | Page 7 ...

Kuelekea 2020: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...


Kuelekea 2020: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM ...

CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2020, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala ...

Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi ...

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision ...

Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye ...

Watanzania ni ignorants au tumelogwa?


CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga ...

Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola!, Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?


Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hakuna Chama kinaweza kushinda kwasababu mmoja kubwa uchaguzi Tanzania kwenye level ya Uraisi sio wa haki. Angalia mfano mdogo Zanzibar uchaguzi ulivyokuwa.
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom