Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,513
- 113,643
- Thread starter
- #301
natatizwa na haya madudu yao madogo madogo yanayo onyesha all signs za immaturity kwa upande wa Chadema, such that bado ni chama ambacho hakijaonyesha ukomavu wa kutosha enough to convince Tanzanians kuikabidhi ikulu yetu comes 2020, waipige chini CCM na kuikabidhi Chadema Ikulu yetu ya Magogoni.
Jee kwa maoni yako, unaiona Chadema as a credible,capable na serious opposition, iliyokomaa na kuwa mature enough with the ability, capability and credibility ya kukabidhiwa ikulu yetu 2020?.
Kwa upande wangu, honestly, I don't think,
Mkuu Ikitota, nadhani sio ikitota bali imeisha tota nzila! Ikitotanzila , ni Chadema ipi hiyo ya kushika dola?, ni Chadema hii hii inayozungumzwa kwenye bandiko hili, au kuna Chadema nyingine inakuja ndio itaweza kuwa mbadala wa CCM?.Wewe siyo ni opportunist Kama Zitto. Ikitokea chadema wakashika dola utahamia chadema
P