Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?

natatizwa na haya madudu yao madogo madogo yanayo onyesha all signs za immaturity kwa upande wa Chadema, such that bado ni chama ambacho hakijaonyesha ukomavu wa kutosha enough to convince Tanzanians kuikabidhi ikulu yetu comes 2020, waipige chini CCM na kuikabidhi Chadema Ikulu yetu ya Magogoni.

Jee kwa maoni yako, unaiona Chadema as a credible,capable na serious opposition, iliyokomaa na kuwa mature enough with the ability, capability and credibility ya kukabidhiwa ikulu yetu 2020?.

Kwa upande wangu, honestly, I don't think,
Wewe siyo ni opportunist Kama Zitto. Ikitokea chadema wakashika dola utahamia chadema
Mkuu Ikitota, nadhani sio ikitota bali imeisha tota nzila! Ikitotanzila , ni Chadema ipi hiyo ya kushika dola?, ni Chadema hii hii inayozungumzwa kwenye bandiko hili, au kuna Chadema nyingine inakuja ndio itaweza kuwa mbadala wa CCM?.

P
 
Mkuu Ikitota, nadhani sio ikitota bali imeisha tota nzila! Ikitotanzila , ni Chadema ipi hiyo ya kushika dola?, ni Chadema hii hii inayozungumzwa kwenye bandiko hili, au kuna Chadema nyingine inakuja ndio itaweza kuwa mbadala wa CCM?.

P
Ngoja time huru ije ndo utajua chadema ipi Mana ile kutekana ukiwa unarudisha form havitakuwepo Tena. Chadema ni motto wa kuotea mbali hata ccm eanalijua Hilo. Ndiyo Mana jpm aliishia kuwatandika masasi ili wafuasi wake waogope.
 
Mkuu Ikitota, nadhani sio ikitota bali imeisha tota nzila! Ikitotanzila , ni Chadema ipi hiyo ya kushika dola?, ni Chadema hii hii inayozungumzwa kwenye bandiko hili, au kuna Chadema nyingine inakuja ndio itaweza kuwa mbadala wa CCM?.

P
Tatizo lako unapenda kupangia maisha wengine nakumsahau Mungu aliyenamipango zaidi.

Unapozungunzia kutoshindwa kwa ccm sifikirii kama unazongumzia kutokana na kukubalika kwao bali unamaanisha wataua, kupiga kura feki kwa mamilioni ili ishinde sawa twende huko unakotaka lakini ujue Mungu ndiye mpangaji na utakuja kukana kila neno lako hapa.

Mlimpangia magufuli kuongoza milele na milele na kujisahau kwmba Mungu ndiye muweza wa kila kitu.

Leo jiwe limeshaondoka na ccm itaondoka.

Vamos ver o que vai acontecer lá à frente.
 
Kama Chadema walikuwa wanaheshimu mawazo ya wanachama wao basi wangefata taratibu za vikao na kumteua mgombea urais badala ya watu wachache kukaa na kuja na jina lao hii ilionyesha wazi Chadema sio chama cha kidemokrasia kama kinavyojiita ila ni kikundi cha watu wachache wenye malengo maalumu.
Mkuu rodrick alexander, kwanza asante sana kwa kuwa very objective, na kama wewe ni member, mshabiki, mfuasi au mpenzi wa Chadema, watu objective kama nyinyi ndio mnaweza kuisaidia Chadema ikae kwenye mstari!. Wengi wa members, wafuasi na washabiki ni ma nyumba!.

Naomba kukuuliza, jee unaijua katiba ya Chadema?, uliwahi kuisoma?, unazijua taratibu za kufukuza wanachama na mamlaka ya nidhamu kwa mujibu wa katiba ya Chadema?. Katika timua timua zote, ni lini Chadema waliwahi kuheshimu mawazo ya wanachama wao na kufuata taratibu za vikao vya mamlaka ya nidhamu kwenye timua timua zote?.
Mimi nilifuatilia timua timua hizi

Hakuna hata mara moja Chadema wamefuata katiba yao!.

Nashukuru baadhi ya watu ndio mnaanza kutambua kuwa Chadema sio chama cha kidemokrasia kama kinavyojiita ila ni kikundi cha watu wachache wenye malengo maalumu!.
Angalia tarehe ya bandiko hili Kufuatia Madudu na Maroroso ya CHADEMA, Je, bado kuna imani na matumaini na CHADEMA kwa 2015?

P.
 
Mkuu rodrick alexander, kwanza asante sana kwa kuwa very objective, na kama wewe ni member, mshabiki, mfuasi au mpenzi wa Chadema, watu objective kama nyinyi ndio mnaweza kuisaidia Chadema ikae kwenye mstari!. Wengi wa members, wafuasi na washabiki ni ma nyumba!.

Naomba kukuuliza, jee unaijua katiba ya Chadema?, uliwahi kuisoma?, unazijua taratibu za kufukuza wanachama na mamlaka ya nidhamu kwa mujibu wa katiba ya Chadema?. Katika timua timua zote, ni lini Chadema waliwahi kuheshimu mawazo ya wanachama wao na kufuata taratibu za vikao vya mamlaka ya nidhamu kwenye timua timua zote?.
Mimi nilifuatilia timua timua hizi

Hakuna hata mara moja Chadema wamefuata katiba yao!.

Nashukuru baadhi ya watu ndio mnaanza kutambua kuwa Chadema sio chama cha kidemokrasia kama kinavyojiita ila ni kikundi cha watu wachache wenye malengo maalumu!.
Angalia tarehe ya bandiko hili Kufuatia Madudu na Maroroso ya CHADEMA, Je, bado kuna imani na matumaini na CHADEMA kwa 2015?

P.
Mimi sio mfuasi wa chama chochote ila napenda tuwe na vyama vyenye nguvu kwa manufaa ya Taifa, bahati mbaya Chadema kama kilichokuwa kinafikiliwa kuwa chama mbadala kiimeonyesha madhaifu makubwa yanayoacha maswali mengi kama kweli kikipewa dola kinaweza kutawala.
 
Mimi sio mfuasi wa chama chochote ila napenda tuwe na vyama vyenye nguvu kwa manufaa ya Taifa, bahati mbaya Chadema kama kilichokuwa kinafikiliwa kuwa chama mbadala kiimeonyesha madhaifu makubwa yanayoacha maswali mengi kama kweli kikipewa dola kinaweza kutawala.
Mkuu Rodi, tusiongee zaidi, wenyewe hawapendi kuambiwa ukweli, hawachelewi, kukufungulia bomba la mitusi!.
P
 
Back
Top Bottom