Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,653
Panua.
Panua.
Endelea kupanua.
Nakuambia panua, husikii?
#johnthebaptist tangu asubuhi nauliza kwani "lock down" ni nini mpaka sasa sijapa jibu!!
Panua wewe acha kujibaraguza.
Hahahaaaaa........ Wapi hiyo bwashee?
Mkuu please usifanyie Siasa hili Janga. Usisubiri ndugu zako waondoke ndio ujuwe ili ni janga la dunia.
Una vifaa vya kufanya hiyo mass testing? Je, ukishafahamu nani ana ugonjwa na nani hana utafanya nini? Hata nchi kama UK hawajaweza kufanya hiyo mass testing! Upo ulimwengu upi mkuu?
Tatizo cdm furaha yao ni kuona watanzania wanapata maafa.Nadhani Chadema hawaelewi maana ya lockdown ndio maana wanaishabikia bila kutafakari kwa mapana.
Tanzania haina uwezo wa kuwafungia watu ndani na kuwafanya waendelee kula ugali na maharage huku wakikosa uhuru wa kutoka nje pekee.
Huko Ulaya kwenye lockdown raia wanahakikishiwa kupata mkate wa kila siku baada ya kupoteza kipato kwa kutokwenda kazini, je hapa tutaweza?
Viongozi wanaweza kukaa ndani hata mwaka kwa sababu akaunti zao zimenona, je wamachinga wanajua hata akaunti ya benki.
Afrika inaweza kutafuta namna yake ya kuwatuliza watu majumbani ili kuepuka mikusanyiko lakini siyo lazima tuige utaratibu wa wazungu wale serikali zao zimeachilia matrilioni ya fedha kuwezesha hizo lockdown.
Hapa Karantini tu inatusumbua hiyo " standard" lockdown tutaiweza kweli?
Niwatakie Pasaka yenye baraka!
Maendeleo hayana vyama.
Unajua maana yake?
Freeman karantini imemshinda kakimbilia posho mjengoni.......wewe kapuku si ndio utafia nyumbani kwa wazazi kabisa!
Naona umepigilia kabisa msumari.Chadema Wana undumilakuwilijohnthebaptist, Hata serikali ingetangaza total lockdown hao hao Chadema wangepinga na kusema wananchi watapata tabu. Hao jamaa ni wa kuwasikiliza na kuwapuuza tu.
Kwa hasira hizi utaweza kweli kufungiwa ndani manka?!Freeman Mbowe ndiyo nani? Wewe unayejidhania ati kuwa ni Yohana Mbatizaji wakati ni likapuku wahedi hujihurumii?
Unadhani kila mtu ni wa siasa siasa kama likapuku wewe?
Ama kweli wewe katika makapuku wewe ni baba lao.
TWAWEZA eeh kuna jingine huku eti linadhani ndio lililombatiza Yesu.
Jinga kabisa!
Umeongea ukweli kwa asilimia 💯Yohana hiki chama kinatatizo kubwa la kuwa na watu wasio uelewa. Wengi wao ni wahuni wahuni tu na walichobakiza sasa hivi ni matusi tu.
Hili janga ni baya sana linahitaji umakini na mikakati madhubuti kulidhibiti.
Wao wamekalili tu funga mipaka, weka lockdown, hawajui kuwa social distancing ni mojawapo ya njia ambayo mkiitumia vizuri mnaweza kufanikiwa. Waulize Mama lishe ambaye anapik vitumbua na mtaji wa elfu tano,ukimfungia ndani siku 30 ataishi vipi?
Sasa badala ya kuonyesha umoja na mshikamano wao wanaleta political conspiracy wakati ni janga la dunia.
Kuna mbunge alitoa hoja labda ikibidi hili li chama lifungiwe kabisa. Any way bora waliache life kwa kupigwa na wananchi mwezi October.
😃😃😃😃😃😃😃😃Hao ni kula kulala mkuu, achana nalo hilo hata hilo bando analotumia kucoment hapa amelipata baada ya kubana jero alipokuwa ametumwa gengeni kununua nyanya na dadake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanataka mtazamo wako ufanane na chama Chao (Chadema) wapuuze tu unapoteza muda wako kubishana nao.Yaani mtu kusema ukweli wa mambo tu kosa? By the way CCM hii awamu imebadilika sana, watu hawasikii wapigaji kama Harbinder Seth. Kinachosikika ni miradi kama Sgr,JNHHP,barabara kujengwa, Madaraja kama busisi na wami,Zahanati,vituo vya afya na hospital kwa maelfu. Shule zimekarabatiwa. Kwa ujumla mambo yamebadilika sana.