Je, CHADEMA hawaelewi maana ya Lockdown?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,125
142,222
Nadhani Chadema hawaelewi maana ya lockdown ndio maana wanaishabikia bila kutafakari kwa mapana.

Tanzania haina uwezo wa kuwafungia watu ndani na kuwafanya waendelee kula ugali na maharage huku wakikosa uhuru wa kutoka nje pekee.
Huko Ulaya kwenye lockdown raia wanahakikishiwa kupata mkate wa kila siku baada ya kupoteza kipato kwa kutokwenda kazini, je hapa tutaweza?

Viongozi wanaweza kukaa ndani hata mwaka kwa sababu akaunti zao zimenona, je wamachinga wanajua hata akaunti ya benki.

Afrika inaweza kutafuta namna yake ya kuwatuliza watu majumbani ili kuepuka mikusanyiko lakini siyo lazima tuige utaratibu wa wazungu wale serikali zao zimeachilia matrilioni ya fedha kuwezesha hizo lockdown.

Hapa Karantini tu inatusumbua hiyo " standard" lockdown tutaiweza kweli?

Niwatakie Pasaka yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama.
 
Chadema awajasema wanataka Lockdown isipokuwa wamesema Kuwa Jambazi mkuu atangaze taarifa sahii..za wagonjwa pia afunge mipaka na watu wapimwe mass testing

Una vifaa vya kufanya hiyo mass testing? Je, ukishafahamu nani ana ugonjwa na nani hana utafanya nini? Hata nchi kama UK hawajaweza kufanya hiyo mass testing! Upo ulimwengu upi mkuu?
 
johnthebaptist tangu asubuhi nauliza kwani "lock down" ni nini mpaka sasa sijapa jibu!!

Huwezi kupata jibu kwa sababu akili zao zimeshikiliwa na mabeberu. Hawa jamaa ni bure kabisa na ni aibu kwenye jamii yetu.

Hivi wanaomba ugonjwa huu uwamalize Watanzania lakini Mungu ni mwema. Sweden hawana lock down na wanaendelea na maisha na raia wake wameaminiwa kufuata kanuni za self hygiene.
 
Una vifaa vya kufanya hiyo mass testing? Je, ukishafahamu nani ana ugonjwa na nani hana utafanya nini? Hata nchi kama UK hawajaweza kufanya hiyo mass testing! Upo ulimwengu upi mkuu?
Sasa kama hatuwezi kuwapima hata watu wetu, inakuwaJe tunatamba kwamba maambukizi ni machache ?!

Umeona juzi watu wanagundulika na kufariki siku hiyo hiyo !!. Maanake mitaani ameacha amechakaza

Odhis *
 
Nadhani Chadema hawaelewi maana ya lockdown ndio maana wanaishabikia bila kutafakari kwa mapana.

Tanzania haina uwezo wa kuwafungia watu ndani na kuwafanya waendelee kula ugali na maharage huku wakikosa uhuru wa kutoka nje pekee.
Huko Ulaya kwenye lockdown raia wanahakikishiwa kupata mkate wa kila siku baada ya kupoteza kipato kwa kutokwenda kazini, je hapa tutaweza?

Viongozi wanaweza kukaa ndani hata mwaka kwa sababu akaunti zao zimenona, je wamachinga wanajua hata akaunti ya benki.

Afrika inaweza kutafuta namna yake ya kuwatuliza watu majumbani ili kuepuka mikusanyiko lakini siyo lazima tuige utaratibu wa wazungu wale serikali zao zimeachilia matrilioni ya fedha kuwezesha hizo lockdown.

Hapa Karantini tu inatusumbua hiyo " standard" lockdown tutaiweza kweli?

Niwatakie Pasaka yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama.
Bwashee unajua nini maana kutofautiana kiitikadi? Msimamo wa chama tawala katka kuendesha mambo ya kitaifa na kimataifa si lazima yawe ndiyo muongozo na msimamo pekee na wa vile vya upinzani. Kuwa na mawazo mbadala ni haki iliyowekwa kikatiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani Chadema hawaelewi maana ya lockdown ndio maana wanaishabikia bila kutafakari kwa mapana.

Tanzania haina uwezo wa kuwafungia watu ndani na kuwafanya waendelee kula ugali na maharage huku wakikosa uhuru wa kutoka nje pekee.
Huko Ulaya kwenye lockdown raia wanahakikishiwa kupata mkate wa kila siku baada ya kupoteza kipato kwa kutokwenda kazini, je hapa tutaweza?

Viongozi wanaweza kukaa ndani hata mwaka kwa sababu akaunti zao zimenona, je wamachinga wanajua hata akaunti ya benki.

Afrika inaweza kutafuta namna yake ya kuwatuliza watu majumbani ili kuepuka mikusanyiko lakini siyo lazima tuige utaratibu wa wazungu wale serikali zao zimeachilia matrilioni ya fedha kuwezesha hizo lockdown.

Hapa Karantini tu inatusumbua hiyo " standard" lockdown tutaiweza kweli?

Niwatakie Pasaka yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama.
Uhuru wa kuzurula utakupa uhuru wa kupata Corona, maisha yako yako mikononi mwako CCM na Chadema hazitakuwa pembeni mwa kitanda chako.
 
Nadhani Chadema hawaelewi maana ya lockdown ndio maana wanaishabikia bila kutafakari kwa mapana.

Tanzania haina uwezo wa kuwafungia watu ndani na kuwafanya waendelee kula ugali na maharage huku wakikosa uhuru wa kutoka nje pekee.
Huko Ulaya kwenye lockdown raia wanahakikishiwa kupata mkate wa kila siku baada ya kupoteza kipato kwa kutokwenda kazini, je hapa tutaweza?

Viongozi wanaweza kukaa ndani hata mwaka kwa sababu akaunti zao zimenona, je wamachinga wanajua hata akaunti ya benki.

Afrika inaweza kutafuta namna yake ya kuwatuliza watu majumbani ili kuepuka mikusanyiko lakini siyo lazima tuige utaratibu wa wazungu wale serikali zao zimeachilia matrilioni ya fedha kuwezesha hizo lockdown.

Hapa Karantini tu inatusumbua hiyo " standard" lockdown tutaiweza kweli?

Niwatakie Pasaka yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama.

Tatizo lenu mnadhani Corona ni siasa na eti ni vita vya chadema dhidi ya CCM.

Mawazo duni kabisa. Yaani uzi dhoofu bin hohahahe kabisa kuwahi kuwekwa hapa jamvini.

Hawa wanaopinga lockdown serikali ikitangaza lockdown wataunga mkono juhudi hiyo kwa namna ambayo haijapata kutokea.

JPM alione hili: "Tangaza lockdown mikoa yote iliyothibitika kuwa na wagonjwa utapata 100% ya support nchini".

Najiandaa kumpa mkuu ushauri wa bure: go lockdown, in return you have total support of the nation.

Zawadi ipi kuu kuliko hiyo mkuu unaweza kupata?
 
Nadhani Chadema hawaelewi maana ya lockdown ndio maana wanaishabikia bila kutafakari kwa mapana.

Tanzania haina uwezo wa kuwafungia watu ndani na kuwafanya waendelee kula ugali na maharage huku wakikosa uhuru wa kutoka nje pekee.
Huko Ulaya kwenye lockdown raia wanahakikishiwa kupata mkate wa kila siku baada ya kupoteza kipato kwa kutokwenda kazini, je hapa tutaweza?

Viongozi wanaweza kukaa ndani hata mwaka kwa sababu akaunti zao zimenona, je wamachinga wanajua hata akaunti ya benki.

Afrika inaweza kutafuta namna yake ya kuwatuliza watu majumbani ili kuepuka mikusanyiko lakini siyo lazima tuige utaratibu wa wazungu wale serikali zao zimeachilia matrilioni ya fedha kuwezesha hizo lockdown.

Hapa Karantini tu inatusumbua hiyo " standard" lockdown tutaiweza kweli?

Niwatakie Pasaka yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama.
Ccm ni chama bora Africa na kipo madarakani Tanzania toka uhuru.je ubora wa ccm ni kwenye nini? Kama Rwanda pamoja na Vita na kuuana wanaweza Mambo mengi kuliko sisi,sasa huo ubora wa ccm upo kwenye nini hasa?Kuiba kura au ufisadi?
 
Huwezi kupata jibu kwa sababu akili zao zimeshikiliwa na mabeberu. Hawa jamaa ni bure kabisa na ni aibu kwenye jamii yetu. Hivi wanaomba ugonjwa huu uwamalize Watanzania lakini Mungu ni mwema. Sweden hawana lock down na wanaendelea na maisha na raia wake wameaminiwa kufuata kanuni za self hygiene.
Unaongelea Sweden ipi mkuu? Ebu kaangalie takwimu uone, maambukizi zaidi ya watu 10,000 na vifo zaidi ya 800 halafu hao unawaona wako salama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom