Je, CHADEMA hawaelewi maana ya Lockdown?

Je, CHADEMA hawaelewi maana ya Lockdown?

Katika watu niliowadharau na waliojionesha rangi yao ni upinzani.. hawa jamaa ni wabinafsi kwakweli..

Wao wanawaza kupinga tu bila kuangalia wananchi wanataka nini.. shenz kabisa
Unataka kusema wananchi wa Tanzania wanataka corona au?
 
Nadhani Chadema hawaelewi maana ya lockdown ndio maana wanaishabikia bila kutafakari kwa mapana.

Tanzania haina uwezo wa kuwafungia watu ndani na kuwafanya waendelee kula ugali na maharage huku wakikosa uhuru wa kutoka nje pekee.
Huko Ulaya kwenye lockdown raia wanahakikishiwa kupata mkate wa kila siku baada ya kupoteza kipato kwa kutokwenda kazini, je hapa tutaweza?

Viongozi wanaweza kukaa ndani hata mwaka kwa sababu akaunti zao zimenona, je wamachinga wanajua hata akaunti ya benki.

Afrika inaweza kutafuta namna yake ya kuwatuliza watu majumbani ili kuepuka mikusanyiko lakini siyo lazima tuige utaratibu wa wazungu wale serikali zao zimeachilia matrilioni ya fedha kuwezesha hizo lockdown.

Hapa Karantini tu inatusumbua hiyo " standard" lockdown tutaiweza kweli?

Niwatakie Pasaka yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama.
Kweli akaunti benki hatuna lakini tunazo mpesa, tigopesa n.k. Rais alisema nchi ina akiba ya miezi 6 ambapo anaweza kulisha nchi nzima bila hata mjusi kufanya kazi.

Sasa ni wakati wa vitendo. Apige lockdown na aturushie milioni 6 kila mtu kwenye mpesa, ttcl pesa, airtel money yake.

Natoa angalizo hiyo akiba ni ya Watanzania wote asije akawatumi Lumumba peke yao
 
Yohana hiki chama kinatatizo kubwa la kuwa na watu wasio uelewa. Wengi wao ni wahuni wahuni tu na walichobakiza sasa hivi ni matusi tu.
Hili janga ni baya sana linahitaji umakini na mikakati madhubuti kulidhibiti.
Wao wamekalili tu funga mipaka, weka lockdown, hawajui kuwa social distancing ni mojawapo ya njia ambayo mkiitumia vizuri mnaweza kufanikiwa. Waulize Mama lishe ambaye anapik vitumbua na mtaji wa elfu tano,ukimfungia ndani siku 30 ataishi vipi?
Sasa badala ya kuonyesha umoja na mshikamano wao wanaleta political conspiracy wakati ni janga la dunia.
Kuna mbunge alitoa hoja labda ikibidi hili li chama lifungiwe kabisa. Any way bora waliache life kwa kupigwa na wananchi mwezi October.
Hao wahuni ambao wakija ccm wanapewa uongozi hivi unaachoandika hapa unakielewa kwei wewe fuko?
 
Ona maswali mnayouliza sasa.. upelekwe mirembe ulalamike.
Kwani wewe hapo juu umeandika nini? Au kwa akili zako za kushikiwa hujui Kama lockdown ni kinga ya kuambukizwa corona
 
Kwani wewe hapo juu umeandika nini? Au kwa akili zako za kushikiwa hujui Kama lockdown ni kinga ya kuambukizwa corona
Hivi hata shule ulienda?? Nani alikwambia lockdown ni kinga ya corona😂😂
Kumbe napoteza muda kujibu jitu linalojua eti lockdown ni KINGA ya corona..

Nisamehe chief sitakujibu tena🙌🙌
 
Hivi hata shule ulienda?? Nani alikwambia lockdown ni kinga ya corona😂😂
Kumbe napoteza muda kujibu jitu linalojua eti lockdown ni KINGA ya corona..

Nisamehe chief sitakujibu tena🙌🙌
Lockdown ni nini mkuu,wewe msomi?
 
Bwashee unajua nini maana kutofautiana kiitikadi? Msimamo wa chama tawala katka kuendesha mambo ya kitaifa na kimataifa si lazima yawe ndiyo muongozo na msimamo pekee na wa vile vya upinzani. Kuwa na mawazo mbadala ni haki iliyowekwa kikatiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi watu wa nchi zinazojitambua huwa kwa majanga kama hayanwanafocus kwenye common solution ila tu nchi twetu mawazo mbadala hayana national issues hata chanjo ikipatikana ya gonjwa hili mawazo mbadala yatakuwa ni kutotumia chanjo aghalabu hata nchi ikiingia vitani mawazo mbadala yatakuwa kuwa upande wa adui . Hizo ndo akili za siasa za kiafrika.
 
Nadhani Chadema hawaelewi maana ya lockdown ndio maana wanaishabikia bila kutafakari kwa mapana.

Tanzania haina uwezo wa kuwafungia watu ndani na kuwafanya waendelee kula ugali na maharage huku wakikosa uhuru wa kutoka nje pekee.
Huko Ulaya kwenye lockdown raia wanahakikishiwa kupata mkate wa kila siku baada ya kupoteza kipato kwa kutokwenda kazini, je hapa tutaweza?

Viongozi wanaweza kukaa ndani hata mwaka kwa sababu akaunti zao zimenona, je wamachinga wanajua hata akaunti ya benki.

Afrika inaweza kutafuta namna yake ya kuwatuliza watu majumbani ili kuepuka mikusanyiko lakini siyo lazima tuige utaratibu wa wazungu wale serikali zao zimeachilia matrilioni ya fedha kuwezesha hizo lockdown.

Hapa Karantini tu inatusumbua hiyo " standard" lockdown tutaiweza kweli?

Niwatakie Pasaka yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama.
Mwana lumumba akiwa makao makuu ya chama,akitoa maana ya lockdown
IMG_20200403_132101.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukianze kupukutika kama kuku wenye kideri uje utupe na uwezo wa Serikali yetu kututibu...
Nadhani Chadema hawaelewi maana ya lockdown ndio maana wanaishabikia bila kutafakari kwa mapana.

Tanzania haina uwezo wa kuwafungia watu ndani na kuwafanya waendelee kula ugali na maharage huku wakikosa uhuru wa kutoka nje pekee.
Huko Ulaya kwenye lockdown raia wanahakikishiwa kupata mkate wa kila siku baada ya kupoteza kipato kwa kutokwenda kazini, je hapa tutaweza?

Viongozi wanaweza kukaa ndani hata mwaka kwa sababu akaunti zao zimenona, je wamachinga wanajua hata akaunti ya benki.

Afrika inaweza kutafuta namna yake ya kuwatuliza watu majumbani ili kuepuka mikusanyiko lakini siyo lazima tuige utaratibu wa wazungu wale serikali zao zimeachilia matrilioni ya fedha kuwezesha hizo lockdown.

Hapa Karantini tu inatusumbua hiyo " standard" lockdown tutaiweza kweli?

Niwatakie Pasaka yenye baraka!

Maendeleo hayana vyama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom