Salaam, Shalom!
Swali hili nimekuwa nikujiuliza kitambo sasa kuwa, Ulipoasisiwa mfumo wa Vyama vingi July 1, mwaka 1992, CCM iliyokuwa chama pekee katika mfumo wa chama kimoja, ilipata usajili UPYA na kujitenga na kujishikamanisha na system?
Maana ukikiangalia chama hiki Kwa nje ni kama chama Cha siasa, lakini Kwa ndani, nionavyo ni zaidi ya hapo.
Wajuzi wa mambo watujuze ikiwa CCM ilipata usajili mpya Ili kuwa sawa na vyama vingine vya siasa, au walifanya Yale mambo ya KINYONGA kujibadili RANGI ilhali ni kinyonga yule yule?
Waonaji katika Ulimwengu Ule, Kila wakikitafuta, kinasoma kitu kingine, tuambieni mlifanyaje fanyaje? Pascal Mayalla
Karibuni🙏
Swali hili nimekuwa nikujiuliza kitambo sasa kuwa, Ulipoasisiwa mfumo wa Vyama vingi July 1, mwaka 1992, CCM iliyokuwa chama pekee katika mfumo wa chama kimoja, ilipata usajili UPYA na kujitenga na kujishikamanisha na system?
Maana ukikiangalia chama hiki Kwa nje ni kama chama Cha siasa, lakini Kwa ndani, nionavyo ni zaidi ya hapo.
Wajuzi wa mambo watujuze ikiwa CCM ilipata usajili mpya Ili kuwa sawa na vyama vingine vya siasa, au walifanya Yale mambo ya KINYONGA kujibadili RANGI ilhali ni kinyonga yule yule?
Waonaji katika Ulimwengu Ule, Kila wakikitafuta, kinasoma kitu kingine, tuambieni mlifanyaje fanyaje? Pascal Mayalla
Karibuni🙏