Je, Captain Tesha ni nani?

Wewe jichanganye tarehe 29/ 10 ndiyo utaijuwa nembo halisi ya JWTZ
Sioni tofauti kati yake na wewe kwa kila mtu upande wake. Hapo ulipo sasa huna hakika na hiyo tarehe 29 Oktoba!

Tofauti kubwa iliyopo, wewe na Samia sasa hivi hamna amani kabisa ndani ya mioyo yenu.
 
sare za jeshi si ata ukimaliza form 6 unapewa aisee kijana
Hahaha.. nacheka kwa dharau nikiona machawa mnavyotapa tapa manina zenu...

Hebu tuambie ni sheria ipi hiyo inayoelekeza mtu akimaliza form six akapita JKT anazawadiwa nguo za Jeshi?

Kwa hiyo unataka kutuambia yawezekana Captain Tesha ni muhitimu wa form six aliyezawadiwa nguo za jeshi tena zenye badge ya nyota tatu au?

Wajinga nyie mwisho wenu ndio umefika. Wewe jiandae kurudisha pesa zote za uma mlizopora kwa hii miaka minne.
 
acha ushamba umesahau mpaka wakaanza kutafuta watu wanaovaa sare za jeshi mtaani?
 
sare za jeshi si ata ukimaliza form 6 unapewa aisee kijana
Wee jamaaa acha ufala ,,,utatiwa mwiko nyuma ,,,,,,.etii hata ukimaliza form six unapewa?.. na mashaka hata kama hiyo form six umefika !... Tuliza kipwinto
 
Wee jamaaa acha ufala ,,,utatiwa mwiko nyuma ,,,,,,.etii hata ukimaliza form six unapewa?.. na mashaka hata kama hiyo form six umefika !... Tuliza kipwinto
tulia dogo huezi elewa chochote saahv
 
Huwa nakubali sana michango yako kaka, halafu huwa inatokea coincidence tu tunakuwa tunafanana kimawazo..

Siku chache nyuma hata mimi kuna uzi nilicomment humu kwamba kwa hatua tuliyofikia kuna haja ya Samia kuacha kiburi cha dola na kisha kuliaddress taifa tena kwa speech isiyopungua masaa mawili, ambapo ataongelea kwa kina sana matatizo yooote yanayowafanya wanainchi wanung'unike na kutoa wayfoward atayatatua vipi mambo hayo, hili watu watulize hasira zao na hata kurejesha imani kwa serikali yao... na zaidi ya hilo huu uchaguzi ausogeze mbele ufanyike hata december.

Lakini badala yake Samia ameendelea kuweka pamba maskioni na kutoa kauli za vitisho tu kwa wanainchi.. sasa hivi kwenye kila mkutano lazima arudie hii kauli ya "vyombo vyetu vya dola viko imara"... "vyombo vyetu vya dola viko imara"

Yaan yeye amejianda kutumia mabavu kukabiliana na tatizo ambalo kama akiliwahi mapema wala hata halitakuwa na gharama zozote.

Nadhani akiona jinsi machawa wanavyomsifia anaamini bado anapendwa na watanzania wengi.

Na asichokijua ni kwamba endapo kama ikitokea hiyo tarehe 29 akapita salama, atakuwa ndio amezidisha chuki sana kwa wanainchi kiasi kwamba yeye mwenyewe atakuwa halali usingizi, maana mpaka hapo adui yake namba moja atakuwa ni mwanainchi wa kawaida..

Sijajua wanamtandao wanamshauri nini Samia, ila duniani hapa hakuna raisi ambaye aliyeweza kutawala kwa amani ilihali idadi kubwa ya wanainchi wanamchukia, unless labda aamue sasa na yeye awe Museven tu, kila anapoenda anaenda na jeshi na walinzi binafsi wasiopungua 500.
 
Tarehe 29 Capt C.J Traore Tesh apewe nchi kuongoza kipindi cha mpito.
 
Shukran sana mkuu, na huu ndio ukweli taifa liko vipande vipande chawa na wapambe wanamdanganya Samia hali ni shwari sababu wanapata handouts kama ujira , kinachoshangaza ni Samia kuwahi kukiri pia anaingia mitandaoni yeye kama yeye je hayaoni haya?

Leo ukipita mitandaoni aina ya uungwaji mkono wa Cpt Tesha ambaye pengine mimi na wewe ndio leo mara ya kwanza tunamuona na kumsikia inatoa alarm kuwa hali tuliyopo ni mbaya.
Lakini badala yake Samia ameendelea kuweka pamba maskioni na kutoa kauli za vitisho tu kwa wanainchi.. sasa hivi kwenye kila mkutano lazima arudie hii kauli ya "vyombo vyetu vya dola viko imara"... "vyombo vyetu vya dola viko imara"
Hili la vyombo kuwa imara kila nchi lazima iseme ni aina fulani tu ya hadhi na sifa ila kwa kusema ukweli vyombo vyote vya ulinzi duniani ni imara ila sio kwa wananchi wake waliogadhabishwa , mfano mingi ipo tu na wala haina shaka tumeona watawala wakiachwa kwenye mataa na walinzi wao huku wakishughulikiwa na wananchi wenye hasira kali.
Yaan yeye amejianda kutumia mabavu kukabiliana na tatizo ambalo kama akiliwahi mapema wala hata halitakuwa na gharama zozote.
Na bahati mbaya nguvu hii ya mabavu kwa hatua aliyofika haitasaidia leo umeonekana mpasuko wa wazi je tutajuaje kama hakuna polisi naye atajitokeza kuitisha press yake kutoa ya moyoni?

Je wale wazee na wanaccm wengine wangapi hawaungi mkono sasa wakijitokeza wazi wazi .?
Uchawa inabidi tuuongeze kama maadui wa taifa.
Hawa ndio wanampotosha kwa maslahi yao ila watashangaa sana kuwa nchi ni kubwa kuliko mtu mmoja au kikundi cha watu.

Wamechelewa sana kujua wako nyuma ya wakati na watanzania wa sasa sio wa 1960-1970.
 
huyo sio mwanajeshi na pia ccm haiwezi toka madarakani leo wala kesho, infact ccm ndo chama kikuu afrika
Haaha.. endelea kutoa kauli za kishujaaa wakati huo hapo ulipo tumbo joto.

Eti ccm haiwezi kutoka madarakan leo wala kesho, kwa hiyo nyie licha ya kuingia kwenye uchaguzi ila hamjajiandaa kushindwa sio?

Kwa maana nyingine unatwambia mko tayari kumwaga damu za mamilioni ya watu, hili tu msitoke madarakani?

Sasa kauli kama hizi ndio zimemuibua Captain Tesha, maana ameona nyie wahuni mmeamua kujimilikisha nchi na kuibagaza mnavyotaka
 
upigaji ni hulka ya binadam sio swala la ccm, na sio kitu cha kukufanya wewe ushindwe kuendelea, huezi sema umekua maskini kwa sababu ya upigaji
Mseng..e kweli wewe, unajua kuna miradi mingapi imeshindwa kukamilika ndani ya awamu hii hii ya samia kwa sababu ya upigaji?

Na unajua kutokamilika kwake kumeathiri vipi maisha ya watu?

Hapo hospitali ya General dodoma, kuna siku tulimpeleka dogo alipata ajali ya piki piki, tukaambiwa CT scanner ya mid range ambayo ingeweza kubaini kama amevunjika uti wa mgongo haipo twende sehemu nyingine, na bei ya hiyo scanner ni $700,000 tu... sasa hebu ona Hospitali kubwa ya serikali kama General inakosa kifaa muhimu chenye thamani ya tsh 1.8b tu wakati huo Abdul amejaza magari ya 20B uwani kwake ambayo kihalisia ameyanunua kwa pesa alizofisadi taifa hili...

Mpaka hapo hujaona kuwa upigaji unaathiri maisha ya watanzania kwa ujumla?

Yaani nyie mafisadi sijui huwa mnatumia nini kufikiri... ni kwamba mkishakula manyama choma kwa hela za ufisadi mlizogawana, basi mkija huku ni kuandika utumbo tu kama hamna vichwa.
 
Amejifukuzisha kazi leoleo ,wanamshabikia wamemponza

USSR
Ona hii kenge..

Kwani yeye anajali hilo la kufukuzwa kazi?

Unafikiri kula mtu anaangalia tumbo lake tu kama nyie machawa?

Ulifikiri kila mwanajeshi atavumilia tu kuona nchi ikichezewa na wahuni, kisa analinda kibarua chake!?

Kuna watu bado wanalipenda taifa hili na wako tayari kufa na njaa kuliko kufumbia macho uovu.
 
acha ushamba umesahau mpaka wakaanza kutafuta watu wanaovaa sare za jeshi mtaani?
Kubwa jinga wewe, haujui hata unachokiandika... wewe umesema huwa wanapewa sare za jeshi wakishahitimu program ya JKT.... sasa na mimi nakuuliza wanapewa sare za jeshi kwa misingi kwa misingi ipi?

Naona ulishaanza kutapa tapa, maana zile hela chafu ulizozoea kuzivuna bila jasho zinaelekea kufika tamati, hapo sasa hivi unawaza vile vijumba vyako ambavyo sasa hivi viko kwenye renta kule chanika, hautakuwa na hela tena ya kuvimalizia.. manina, mafisadi kwisha habari yenu
 
umemeza dawaa zaako?
 
Ni Mimi Mzalendo wa kweli. Msinijadili sana, subirini majibu kabla ya tarehe 29.
 
ha
Hapo kwanini aliacha chuo akajibu Sikumbuki
Jibu ni kwamba ali disco chuo hukatizi kama unavyosoma primary na secondary mradi ufike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…