Je ataweza kuningojea??Najiuliza Sana.

Je ataweza kuningojea??Najiuliza Sana.

Hii ndiyo JF mkuu ambayo kila mtu ana-claim ni msomi.. mtu yupo abroad lakin muda wa kulala (kwa hapa TZ) ukifika na yeye amelala then asubuhi tupo naye hapa kama kawaida..

(just saying) hii haina uhusiano na mleta mada!!

Imebidi nihamie desktop ili nibonyeze like.
 
Yani anakula anashiba na vyakula vyenyewe hiv vya siku hizi chipsi mayai na viwaliwali watakua wamekula kitambo we jipange tu kwa matokeo yoyote.....

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yani anakula anashiba na vyakula vyenyewe hiv vya siku hizi chipsi mayai na viwaliwali watakua wamekula kitambo we jipange tu kwa matokeo yoyote.....

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kwa lolote???mi natafuta kuliondoa ilo lolote lisiwepo.
 
Dah,,inachanganya sana mkuu.

mkuu wala usichanganyikie, give it 50/50 as anything can happen. We concentrate kwenye shule yako hadi upate kilichokupeleka huko, hayo mengine yatajiseti yenyewe, au umeambiwa akiolewa ndo hutapata mwanamke mwingine? au jamaa wakipitia wataweka alama?

Muhimu: huna haja ya kujilaumu eti ooh hamkufunga ndoa, ooh sikuweka ujauzito, ndg yangu hivyo vyote havisaidii. Kuna watu wanasalitiwa na wake itakuwa mchumba? halafu hata ukiweka ujauzito si atajifungua na kuwa fresh tena, so kama ni kugawa atagawa tu!

Mambo ya relationship ni magumu sana ndg yangu usione watu wanajadili hapa ukadhani ni rahisi kiihivyo. Muhimu ni kumtegemea Mungu lakini kwa akili zetu ni ngumu asikwambie mtu. Wenzio tunaombea tusijue tu na jamaa wasiingize virusi, wala sina muda wa kuwaza eti mke wangu atanisaliti, afterall kuwaza kutasaidia nini sasa!

We shukuru Mungu umepata nafasi ya kwenda kupiga shule abroad, hayo mengine ni matter of time tu. Zidi kumuombea, kuwa mwaminifu kwake, in short do your part! Vinginevyo utapata kichaa bure, unapiga simu haipokelewi au haipatikani unaanza kuhisi yuko kwa jamaa anagonga! tena usipoangalia ndo utaharibu zaidi kwa kumuhisi hisi kila wakati.
 
mkuu wala usichanganyikie, give it 50/50 as anything can happen. We concentrate kwenye shule yako hadi upate kilichokupeleka huko, hayo mengine yatajiseti yenyewe, au umeambiwa akiolewa ndo hutapata mwanamke mwingine? au jamaa wakipitia wataweka alama?

Muhimu: huna haja ya kujilaumu eti ooh hamkufunga ndoa, ooh sikuweka ujauzito, ndg yangu hivyo vyote havisaidii. Kuna watu wanasalitiwa na wake itakuwa mchumba? halafu hata ukiweka ujauzito si atajifungua na kuwa fresh tena, so kama ni kugawa atagawa tu!

Mambo ya relationship ni magumu sana ndg yangu usione watu wanajadili hapa ukadhani ni rahisi kiihivyo. Muhimu ni kumtegemea Mungu lakini kwa akili zetu ni ngumu asikwambie mtu. Wenzio tunaombea tusijue tu na jamaa wasiingize virusi, wala sina muda wa kuwaza eti mke wangu atanisaliti, afterall kuwaza kutasaidia nini sasa!

We shukuru Mungu umepata nafasi ya kwenda kupiga shule abroad, hayo mengine ni matter of time tu. Zidi kumuombea, kuwa mwaminifu kwake, in short do your part! Vinginevyo utapata kichaa bure, unapiga simu haipokelewi au haipatikani unaanza kuhisi yuko kwa jamaa anagonga! tena usipoangalia ndo utaharibu zaidi kwa kumuhisi hisi kila wakati.

Poa..nimekusoma.
 
chameli: umembonyezea tu "like" kwa upendeleo.Kwani "abroad kote" muda wake unatofautiana na muda wa TZ?

Msamehe mkuu,hakua na kamusi karibu!!uyu ni Mtz mwenzetu Abroad si neno la Kiswahili...weka maoni yako
 
Msamehe mkuu,hakua na kamusi karibu!!uyu ni Mtz mwenzetu Abroad si neno la Kiswahili...weka maoni yako

Anajua sana.Sema tu kwakuwa hapa tupo watu aina tofauti tena tumetawanyika dunia nzima. Nikirudi kwenye hoja yako, binafsi naweza kusema inategemeana:

1. Msimamo wako kwa jinsi unavyomfahamu mkeo mtarajiwa.Mcha Mungu wa kweli anayejitambua?
2.Ulimpataje:kirahisi--au msuli mkubwa uliutumia?
3.Watu wanaomzunguka hasa wafanyakazi wenzake

Yapo mengine mengi ila kwa uchache yawe hayo mazingira yanaweza kusaidia kufanya maamuzi ya mwisho kuvumilia au vinginevyo.

Ushauri wangu:

1.Jenga imani kwamba anakusubiri wewe tu.
2.Sio lazima akusaliti wapo bado katika dunia hii wasichana au wanawake waaminifu kabisa, amini hilo, yawezekana wa kwako ni mmojawapo.
3.Miaka miwili nnakuhakikishia ukishughulika sana ni muda mfupi utashangaa umemaliza na kurejea mkaendelea na maisha.
4.Ukirejea ujipe muda kidogo wa kumchunguza kama kuna mabadiliko yenye athari kwa kulinganisha na jinsi ulivomzoea au ulivomuacha.
5.Hutokuja mpata malaika.Wote tumejaa kasoro nyingi tu.Utamuacha huyu.Unaweza pata mwingine ukakuta yeye ni balaa mara dufu ya uliyemuacha au akawa mwema kabisa na ukafurahia maisha.
6.Mwisho:mshauri mkuu ni nafsi yako.

Ushauri wangu:
 
Anajua sana.Sema tu kwakuwa hapa tupo watu aina tofauti tena tumetawanyika dunia nzima. Nikirudi kwenye hoja yako, binafsi naweza kusema inategemeana:

1. Msimamo wako kwa jinsi unavyomfahamu mkeo mtarajiwa.Mcha Mungu wa kweli anayejitambua?
2.Ulimpataje:kirahisi--au msuli mkubwa uliutumia?
3.Watu wanaomzunguka hasa wafanyakazi wenzake

Yapo mengine mengi ila kwa uchache yawe hayo mazingira yanaweza kusaidia kufanya maamuzi ya mwisho kuvumilia au vinginevyo.

Ushauri wangu:

1.Jenga imani kwamba anakusubiri wewe tu.
2.Sio lazima akusaliti wapo bado katika dunia hii wasichana au wanawake waaminifu kabisa, amini hilo, yawezekana wa kwako ni mmojawapo.
3.Miaka miwili nnakuhakikishia ukishughulika sana ni muda mfupi utashangaa umemaliza na kurejea mkaendelea na maisha.
4.Ukirejea ujipe muda kidogo wa kumchunguza kama kuna mabadiliko yenye athari kwa kulinganisha na jinsi ulivomzoea au ulivomuacha.
5.Hutokuja mpata malaika.Wote tumejaa kasoro nyingi tu.Utamuacha huyu.Unaweza pata mwingine ukakuta yeye ni balaa mara dufu ya uliyemuacha au akawa mwema kabisa na ukafurahia maisha.
6.Mwisho:mshauri mkuu ni nafsi yako.

Ushauri wangu:

Majibu:
1. Kuhusu kumcha Mungu kwake Sio kiviile,ala Mungu anamjua vizuri tu..hata kwao wako ivyo
2. In short,huyu ni mmoja wa mabinti niliyempata kwa kumtokea,wengine mara nyingi walianza wao "Kunichokoza". Hata hivyo nae amezimika vibaya mno,siwezi elezea humu.
3. Yea kazini wapo wanaomtamani kutokana na shape yake,si unajua sisi wanaume ukiona shape tu basi unaita majina mengi
Thanks kwa ushauri.
 
once in a while sio mbaya mkakutana wewe uende au yeye aje,anyway siku hizi mitandao imehairisha kazi..mwaweza kuonana kila siku mkitaka:A S-key:
 
once in a while sio mbaya mkakutana wewe uende au yeye aje,anyway siku hizi mitandao imehairisha kazi..mwaweza kuonana kila siku mkitaka:A S-key:

Sure Jestina!!Thanks,huwa tunaona pitia skype!!but mmhh.
 
Thanks mkuu!!!nitafanyia kazi ushauri wako....ni kweli ananipenda kupitiliza yaani ilifikia wakati alikua anafanya vitu kwangu ambavyo naamini mwanamke mwingine hawezi fanya,ila mi ndio huwa SIMUAMINI HATA KIDOGO hadi kuna wakati huwa ananishangaa kutomuamini kwangu


Kumpenda na Kumuamini ni vitu viwili vinavyotegemeana. Hauwezi kumpenda usiyemuamini na pia hauwezi kumuamini usiyempenda.

Inavyoonyesha Haumpendi ila unalailazimisha nafsi iamini kuwa unampenda.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wakuu,
Niko abroad nimekuja kufanya masters ya miaka mi2,nimemuacha my sweet girl wangu Tz na ana umri wa miaka 26 now!anajitegemea anafanya kazi na nimemuacha anaishi peke yake,kabla sijaja huku tulitamani sana tufunge ndoa ila ilishindikana,kila mara alitamani mtoto maana tulipokua tukiwa pamoja alikua anasema anatamani awe na mtoto kipindi hiki cha umri huu yaani 26yrs,mi pia nilitamani nimuache na ujauzito ila sikumuacha nao. Kwasasa huwa tunawasiliana kwenye simu,Ila tatizo sasa mi nina wivu nahisi kama ndani ya hii miaka miwili anaweza kunisaliti hata mara moja,kuna wakati nikimpigia simu akiwa hapokei nahisi kama yupo na mtu huko. Plizzzz maoni yenu,Can she wait till am back??au na mi nihesabie kama sina kitu nikirudi nianze kutafuta upya?Bcoz I feel like doing that now.
Thanks.....hope to hear from You guys.

achana na masomo rud bongo
 
watu wanamegewa madem zao wakiwa naao.. sembuse wewe abroad!!!!!
 
Back
Top Bottom