Je ataweza kuningojea??Najiuliza Sana.

Je ataweza kuningojea??Najiuliza Sana.

Duh! Kumber ndo ww nlikua naambiwa, yaani mpaka umekuja JF? Juzi ulipopiga nlikua nae, usijali nitamtunza utamkuta.
Hahaaaa!! Usikufa kwa presha...
Do this my frnd, angalia masomo, kama yy ni wako basi utamkuta na kama si wako basi hutomkuta
 
Hayo mambo hayawezi kuwekwa sawa kati ya sasa na December ukaenda kuoa wakati wa likizo ya Xmas na wakati huo huo kujaribu kumpa ujauzito kama bado anapendelea hili litokee?

Dah!!naweza niko strong naweza kujilinda till am back,nampenda sana!!sikuweza kumuoa kuna mambo yaliingiliana kabla sijaondoka
 
hii inaitwa kamari
anything is possible
kusubiriwa au kutoswa
au kumegewa huku unasubiriwa lol

Ukimtumia tu hela anunue motokali hesabu kama MMEACHANA!Nina uzoefu na maisha ya msichana TZ na ownership ya motokali hasa kama mme yupo mbali!Mwenzenu yalinikuta!
 
Ukimtumia tu hela anunue motokali hesabu kama MMEACHANA!Nina uzoefu na maisha ya msichana TZ na ownership ya motokali hasa kama mme yupo mbali!Mwenzenu yalinikuta!

Kumbeee,yako ilikuaje mkuu...ebu nidokezi ili niwe makini zaidi ktk hili.
 
mkuu, If you love someone you should let her go, if she was made for you, she will come back but if she does not, then she never was. that is my princple.
 
Hayo mambo hayawezi kuwekwa sawa kati ya sasa na December ukaenda kuoa wakati wa likizo ya Xmas na wakati huo huo kujaribu kumpa ujauzito kama bado anapendelea hili litokee?

Mkuu thanks!!I will work on tht.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mkuu, If you love someone you should let her go, if she was made for you, she will come back but if she does not, then she never was. that is my princple.

Sawa mkuu asante,lakini nafahamu kua sio kila principle is applicable in life.
mf. Aliyeko juu mngoje chini utangoja weeee,watu wanazidi kwenda juu tu.
Kuteleza sio kuanguka, wapo wanaoteleza nakuanguka kimoja.
 
hii inaitwa kamari
anything is possible
kusubiriwa au kutoswa
au kumegewa huku unasubiriwa lol

Hili ndilo jibu sahihi tena lililojaa kweli tupu ndani yake. hata hizo option zingine zote zitaanzia kwenye hii option yenye red, hii haiepukiki.
 
Hili ndilo jibu sahihi tena lililojaa kweli tupu ndani yake. hata hizo option zingine zote zitaanzia kwenye hii option yenye red, hii haiepukiki.

One day nitakuja jua,then tht will be the END of our rltnshp...SITAKI USHENZI
 
Uamuzi na msimamo wake tu ndio utaokoa matarajio yenu. Nakushauri umtangulize MUNGU kwenye issue hii, huku first priority ikiwa ni masomo.
 
Kwa nini haukumuoa kabla haujaondoka? Kama shule ilikuwa priority usijute. Hata akiwahiwa utapata mwingine. Kata masters hiyo na uwe macho kuangalia phd scholarships uunganishe kabisa. Wewe mwenyewe nna wasiwasi hautaweza kumngojea!

Kwani kama kaolewa ndo hawezi kugegedwa????????
 
Mmmh! Trust me atakusubiri! Sisi wanawake tukipenda, nothing z impossible.Hapo tatizo ni je! Ukirudi bado utakuwa unamtaka au utaona sio hadhi yako!?...yalinikuta majanga miye sitasahau, nilimsubiri mtu 3 solid yrz! Akaja akanitema kweupee! But duuh! I realy loved him and I still do. But can't complain much coz alinipa hasira ya kutafuta pesa.

Sent from my BlackBerry 9520 using JamiiForums
 
Mmmh! Trust me atakusubiri! Sisi wanawake tukipenda, nothing z impossible.Hapo tatizo ni je! Ukirudi bado utakuwa unamtaka au utaona sio hadhi yako!?...yalinikuta majanga miye sitasahau, nilimsubiri mtu 3 solid yrz! Akaja akanitema kweupee! But duuh! I realy loved him and I still do. But can't complain much coz alinipa hasira ya kutafuta pesa.

Sent from my BlackBerry 9520 using JamiiForums

Sure,,,,,,Dah Siwezi kumwaga!!!yani siwezi........ila kuna tym ananiambia kama nitabadilisha mawazo nimwambie.
 
Back
Top Bottom