Je ataweza kuningojea??Najiuliza Sana.

Je ataweza kuningojea??Najiuliza Sana.

Wakuu,
Niko abroad nimekuja kufanya masters ya miaka mi2,nimemuacha my sweet girl wangu Tz na ana umri wa miaka 26 now!anajitegemea anafanya kazi na nimemuacha anaishi peke yake,kabla sijaja huku tulitamani sana tufunge ndoa ila ilishindikana,kila mara alitamani mtoto maana tulipokua tukiwa pamoja alikua anasema anatamani awe na mtoto kipindi hiki cha umri huu yaani 26yrs,mi pia nilitamani nimuache na ujauzito ila sikumuacha nao. Kwasasa huwa tunawasiliana kwenye simu,Ila tatizo sasa mi nina wivu nahisi kama ndani ya hii miaka miwili anaweza kunisaliti hata mara moja,kuna wakati nikimpigia simu akiwa hapokei nahisi kama yupo na mtu huko. Plizzzz maoni yenu,Can she wait till am back??au na mi nihesabie kama sina kitu nikirudi nianze kutafuta upya?Bcoz I feel like doing that now.
Thanks.....hope to hear from You guys.

Nina wasiwasi na hiyo Masters yako unayochukua kutokana na namna unavyoandika pamoja na jinsi ya kujenga hoja.
Nina wasiwasi na elimu yako!
But, nimependa punctuation yako ktk uzi huu.
Asante.
 
Ushaur Wangu,tafta Kiburudsho Huko Uliko,vingnevyo Utakufa Na Pressure Cku C Zako!!! Hv Aliko Ana Do Na Mwngne Ndo Utakufa Na Pressure Cku C Zako,km Vp Tafta Kiburudsho Huko Cha Tempo,hapo Ndo Wvu Utapungu

Mkuu!!sijalifikiria kabisa hilo,akili yangu inawaza hiki kitabu tu.
 
Thanks mkuu!!!nitafanyia kazi ushauri wako....ni kweli ananipenda kupitiliza yaani ilifikia wakati alikua anafanya vitu kwangu ambavyo naamini mwanamke mwingine hawezi fanya,ila mi ndio huwa SIMUAMINI HATA KIDOGO hadi kuna wakati huwa ananishangaa kutomuamini kwangu

Hili ndio tatizo sasa, wewe kusema uko mbali wala sio kitu.. kwa kuwa huna imani naye basi wewe piga shule then ukirudi tarajia lolote..
 
Nina wasiwasi na hiyo Masters yako unayochukua kutokana na namna unavyoandika pamoja na jinsi ya kujenga hoja.
Nina wasiwasi na elimu yako!
But, nimependa punctuation yako ktk uzi huu.
Asante.

Mkuu,am not an artist....I ddn't mean to decorate my thread!then kabla ujakosoa check wht u a'v written.
Toa maoni.
 
Mkuu story yako imenipa majonzi..kuna Dr. mmoja UDSM alikuwa anatufundisha sasa akatupa simulizi kuwa alipokuwa kwenye masomo yake ya masters South Africa wakaja wajanja wakamuopoa mke wake aliyemuacha tz alikuwa hajampa effect e.g mimba..jamaa alirudi na akaanza maisha upya..Naona the same thing kitatokea kwako kama hutokuwa makini!! Amua moja ili upomye moja!!!!!!!

Dah..aisee
 
Nina wasiwasi na hiyo Masters yako unayochukua kutokana na namna unavyoandika pamoja na jinsi ya kujenga hoja.
Nina wasiwasi na elimu yako!
But, nimependa punctuation yako ktk uzi huu.
Asante.

Hii ndiyo JF mkuu ambayo kila mtu ana-claim ni msomi.. mtu yupo abroad lakin muda wa kulala (kwa hapa TZ) ukifika na yeye amelala then asubuhi tupo naye hapa kama kawaida..

(just saying) hii haina uhusiano na mleta mada!!
 
miaka 2 siyo mingi kama watu wanafungwa jela miaka 10 wanatoka.

iliwai kunitokea hiyo lakin ndani ya miez 6 mdogo wake uyo bint akaniambia kuna vikao vya harus dada yao anaolewa iliniuma nikazoea.

baadae akaachika akaniomba msamaha niligoma kurudiana naye ikawa mwisho sasa hiv ni rafik tu tunachat.

Pole mkuu,naomba sana isije kunitokea
 
Hii ndiyo JF mkuu ambayo kila mtu ana-claim ni msomi.. mtu yupo abroad lakin muda wa kulala (kwa hapa TZ) ukifika na yeye amelala then asubuhi tupo naye hapa kama kawaida..

(just saying) hii haina uhusiano na mleta mada!!

I like this uncle Wi-Fi! I remove my cap for you!
 
Last edited by a moderator:
Ushaur Wangu,tafta Kiburudsho Huko Uliko,vingnevyo Utakufa Na Pressure Cku C Zako!!! Hv Aliko Ana Do Na Mwngne Ndo Utakufa Na Pressure Cku C Zako,km Vp Tafta Kiburudsho Huko Cha Tempo,hapo Ndo Wvu Utapungu
:shock::shock::shock: ama kweli akili ni nywele kila mtu ana zake!
 
Hii ndiyo JF mkuu ambayo kila mtu ana-claim ni msomi.. mtu yupo abroad lakin muda wa kulala (kwa hapa TZ) ukifika na yeye amelala then asubuhi tupo naye hapa kama kawaida..

(just saying) hii haina uhusiano na mleta mada!!

Kwi kwi kwi!!dah hapa imenibidi nicheke kumbe kuna mijitu ikiwa na masters tu ina-claim misomi.
 
Kaka situation yako inasikitisha.


Mwanamke akiwa mwenyewe anapata sana vishawishi. Ex-boyfriends, mabosi etc.

Ila mwanamke anaweza kumudu hali hii iwapo TU, anampenda kwa DHATI mpenzi wake. Hii hata iweje piga ua msichana ataendelea kusubiri TU.

Kama sivyo basi kama ana marafiki wa kike wanaweza kumuinfluence na matokeo yake akakutana na njemba zikachukua kimoja.

Social networks zinaongoza kwa kutongozwa wanawake. FACEBOOK!!

Ila pia hata wewe ulipo huko unaweza kushawishika kumuacha solemba mwenzi wako. Group discussion na akina dada usiku hatari sana.

CHA KUFANYA

Sijui mpenzi wako mnaishi vipi kwenye ukweli, uwazi na mawasiliano ila nakushauri yafuatayo:

1. Mpenzi wako asiwe kabisa FACEBOOK

2. Mawasiliano kati ya wewe na mpenzi wako yawe ni ya kila saa/kila baada ya muda/kila siku. Hakuna ubusy kwenye mawasiliano. Mimi hapa nilipo ungejua niko wapi lakini nawasiliana na mke wangu KILA wakati. Kwa siku mara 50+ labda.

3. Mkeep busy awe anawasiliana na ndugu zako, dada, mama, kaka, shangazi, etc. Maana umesema ilikuwa mfunge ndoa so anafahamika

4. Jaribu pia kufahamu muda gani anakuwa free/fahamu ratiba yake(nadhani unafahamu). Mfano kama anafanya kazi unajua kabisa kuanzia labda saa mbili mpaka muda fulani(lunch) atakuwa busy. Unaweza kumtumia message moja mbili ukamuacha aendeleze taifa. Unafahamu anarudi saa ngapi, anarudi na usafiri gani etc. Kama ilikuwa karibu mfunge ndoa vyote hivi unafahamu

5. Punguza wivu utadata. Kuwa na wasiwasi tu iwapo unaona si kawaida kutowasiliana nawe. Jaribu kuwaza labda simu kwenye charge au chochote kingine. Wanawake si rahisi kucheat kama wako IN LOVE

6. Mpe majukumu mengine labda kufuatilia harusi fulani, kiwanja, biashara etc.

7. HAKIKISHA kutokuwepo kwako inakuwa ni PHYSICAL TU ila MENTALLY uko nae. Unajua amekula nini, amevaa nini amefika kazini saa ngapi, amekutana na challenges gani. Pia na wewe share nae unayojifunza.

8. Si vibaya ukijitutumua ukamtumia kinauli akaja kukutembelea au wewe ukarudi likizo. Miaka miwili ni mingi ingawa narudia tena kama ANAKUPENDA ATASUBIRI TU.

Yako mengi sana sana sana ila mimi ninajitahidi kudeal na long distance relationship na honestly namshukuru Mungu naimudu.
 
Kwi kwi kwi!!dah hapa imenibidi nicheke kumbe kuna mijitu ikiwa na masters tu ina-claim misomi.

Sasa unacheka nini Mr. Wise? Mkuu Wi-Fi anakuambia wewe kuwa, pamoja na na kuwa uko abroad, kesho asubuhi kwa saa za Bongo, si ajabu tukawa nawe hapa hapa jukwaani tukijadili mada yako wakti weye ungekuwa umelala kwa saa za uko kwenu abroad! Get it right?
 
Back
Top Bottom