Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,470
- Thread starter
- #141
Miaka miwili ni mingi saaana,tena Ughaibuni,Kaka huyo siyo wako tena,Komaa na na ELIMU TU. Mkasa kama huu ulimtokea kaka yangu wa damu,kuna binti alisomameshwa na family yetu kwa njozi za kuja kuwa mwanafamily.
Brother alipotoka kwenda S.A kuongeza elimu kama wewe,na kashemeji kakiwa Mtaani kamemaliza,wanawasiliana na mipango ya ndoa juu bt Mwaka mmoja na nusu Ulitosha kwa binti KUPATA KA ZYGOTE.
Duh mkuu,kwa case yako sio kwamba uyo binti hakumpenda bro wako ila alikua anataka huduma mlizokua mkipatia as future wife wa bro wako?maana hii ipo nayo wapo ambao hawajazimika hawa utazama wanapata maslahi gani,then mwisho wanakimbia,kuna jamaa alisomesha O-level yote,alafu binti alipomaliza akasema "samahani kusema kweli mi sikukupenda"