Mdigokhan
JF-Expert Member
- May 2, 2022
- 843
- 1,923
Nimechomeka tu pwaaaaah pwaaah
Nimechoka, nimechokaa nimechokaa..
Mwenzenu Nahisi Kuchoka Katika mapenzi. Siijui raha ya mbususu Kitambo sana. Nikichomeka tu pwaah Pwaah. Mademu niliwahi wapitiaga wananitaga 2 minutes.
Nahisi nahitaji dawa au ushauri wa kina. Nawahi kufika kileleni siinjoi sex hata kidogo. Hata huyu nilienae ananivumilia tu hilo nalijua japo ananisifia kuwa mi hodari ila ni uwongo anakula tu vijisent vyangu.
Miaka ya nyuma nilikuwa mpiga nyeto mzuri sana na muangalia X kwa zaidi ya miaka 14 yaani mpaka mwaka jana. Mwaka huu tangu umeingia sijapiga nyeto ila kwenye vijivideo huko TELEGRAM hunikosi (Napambana kuacha). Tena hao malaya wa telegram washakula hela zangu sana sitaki hata kuwazungumzia.
Nikisema nimuandae mwanamke basi ndio naharibu kabisaa mana nikichomeka tu ni pwaaaah basi ntajizugisha zugishaa kuvuta muda ili nivute hisia ya bao la pili japo mpaka nipate hisia basi ni lisaa limoja mbele tena ntapiga dakika 5 yani hapo ndio ntainjoi kwa izo dakika 5 (Sometimes nakosa hata hamu ya bao la pili kabisaa navaa kadeti langu naondoka)
Niliwahi ingiaga kwenye Uraibu wa kunywa konyagi ili nichelewe kufika kileleni na ni kweli nachelewa ila ndio nishalewa hata sihisi raha. Niliachaga baada ya kulewa na demu mmoja akaniibia waleti yangu Ikiwa na hela zangu. Nikaona pombe basi.
Nikaingia kwenye mkongo mpako, nafunga remba angu aiseee dudu inakufa ganzi nakula mbususu mpaka sikojoi, hakuna raha zaidi ya mateso, yaani dudu Iiko ndani ya Mbususu ila huhisi kitu cuz imekufa ganzi.
Sasa nataka kuwa natural nipige mbususu walau dakika 15 bila mambo ya konyagi au mkongo nipeni mbinu.
Nina kilo 92, umri miaka 29. Nina kitambi cha kufutia simu.
Kuhusu mazoezi nalipa mpaka gym ila mie mvivu sana ntaenda siku mbili naacha. Nikaanza kukimbia barabarani kupunguza kilo ila nilikoswa na bodaboda nikaona nitakufa.
Ushauri.
Nimechoka, nimechokaa nimechokaa..
Mwenzenu Nahisi Kuchoka Katika mapenzi. Siijui raha ya mbususu Kitambo sana. Nikichomeka tu pwaah Pwaah. Mademu niliwahi wapitiaga wananitaga 2 minutes.
Nahisi nahitaji dawa au ushauri wa kina. Nawahi kufika kileleni siinjoi sex hata kidogo. Hata huyu nilienae ananivumilia tu hilo nalijua japo ananisifia kuwa mi hodari ila ni uwongo anakula tu vijisent vyangu.
Miaka ya nyuma nilikuwa mpiga nyeto mzuri sana na muangalia X kwa zaidi ya miaka 14 yaani mpaka mwaka jana. Mwaka huu tangu umeingia sijapiga nyeto ila kwenye vijivideo huko TELEGRAM hunikosi (Napambana kuacha). Tena hao malaya wa telegram washakula hela zangu sana sitaki hata kuwazungumzia.
Nikisema nimuandae mwanamke basi ndio naharibu kabisaa mana nikichomeka tu ni pwaaaah basi ntajizugisha zugishaa kuvuta muda ili nivute hisia ya bao la pili japo mpaka nipate hisia basi ni lisaa limoja mbele tena ntapiga dakika 5 yani hapo ndio ntainjoi kwa izo dakika 5 (Sometimes nakosa hata hamu ya bao la pili kabisaa navaa kadeti langu naondoka)
Niliwahi ingiaga kwenye Uraibu wa kunywa konyagi ili nichelewe kufika kileleni na ni kweli nachelewa ila ndio nishalewa hata sihisi raha. Niliachaga baada ya kulewa na demu mmoja akaniibia waleti yangu Ikiwa na hela zangu. Nikaona pombe basi.
Nikaingia kwenye mkongo mpako, nafunga remba angu aiseee dudu inakufa ganzi nakula mbususu mpaka sikojoi, hakuna raha zaidi ya mateso, yaani dudu Iiko ndani ya Mbususu ila huhisi kitu cuz imekufa ganzi.
Sasa nataka kuwa natural nipige mbususu walau dakika 15 bila mambo ya konyagi au mkongo nipeni mbinu.
Nina kilo 92, umri miaka 29. Nina kitambi cha kufutia simu.
Kuhusu mazoezi nalipa mpaka gym ila mie mvivu sana ntaenda siku mbili naacha. Nikaanza kukimbia barabarani kupunguza kilo ila nilikoswa na bodaboda nikaona nitakufa.
Ushauri.