Je, asili ya majini ni ipi?

Majini kwa Waislamu ni waumini wa kwanza kabisa kuingia katika uislam.na waliposikia habari ya dini hii walifurah sana na kusilimu kuwa waislam na mpaka leo hii wanasal na waislam bila shida. Kwa wakristo hawa ni waliokuwa malaika wakaasi na lucifer au shetani. Wanaitwa mapepo wabaya. Hawa hakuna mzuri ila wote ni wabaya.walishamuasi Mungu na hakuwasamehe...wapo duniani kushirikiana na shetan ambaye ni baba yao kuwaangusha na kuwatesa binadamu
Muongo mzandiki mkubwa ww muumini wa kwanza kuingia katika uislam ni Abu Bakr (r.a) kwa wanawake ni bi Aisha (r.a) majini walikuja baadae sana baada ya revelations nyingi za Qur'an
 
Muongo mzandiki mkubwa ww muumini wa kwanza kuingia katika uislam ni Abu Bakr (r.a) kwa wanawake ni bi Aisha (r.a) majini walikuja baadae sana baada ya revelations nyingi za Qur'an
Muongo mzandiki mkubwa ww muumini wa kwanza kuingia katika uislam ni Abu Bakr (r.a) kwa wanawake ni bi Aisha (r.a) majini walikuja baadae sana baada ya revelations nyingi za Qur'an
mtu wa kwanza kuingia ktk uislam alikua ni mke wa mtume wa kwanza, bi Khadija, na majini waliumbwa kabla ya binadamu, binadamu ni kiumbe wa mwisho kuumbwa ktk viumbe vyote unavyovijua ww, na majini ndo walianza kuishi ktk dunia hii, baada ya kumuasi Mw. Mungu ndo wakaondolewa nakuletwa binadamu na tunaishi nao lakini hatujapewa uwezo wa kuwaona, ila wao wanatuona na wana wamepewa uwezo wa kutuingia mwilini mwetu kupitia mishipa ya damu.
hapo umekosea ndugu yng, tunarekebishana c nia mbaya,
 
Muongo mzandiki mkubwa ww muumini wa kwanza kuingia katika uislam ni Abu Bakr (r.a) kwa wanawake ni bi Aisha (r.a) majini walikuja baadae sana baada ya revelations nyingi za Qur'an
Safi sana kumbe wewe waijua vizuri din ya khaki huyu alisimishwa na nani na aliingizwa na nan kwenye uisilamu nifafanulie vizur rafiki yangu
 
Tulia ni kupeni SOMO ,naona munadanganyana tu.jinni ni viumbe walikuwepo miaka Mingi sana hata b4 ya kuumbwa mwanadamu,Allah akahitaji aumbe mwanadamu duniani ndio akateremsha Malaika kuja kuwaangamiza na wengine wakauwawa wengi sana na wengine wakakimbia ktk majabali,baharini ,na maeneo mengine mafichoni,then Ndio wakamchukua Mtoto wa jinni wakampeleka mbinguni na akakulia huko lakn baadae akawa very genius kuliko malaika na. Hapo ndio akapewa cheo jina lake ni Azazil au Iblis na aliasi kwa Mungu baada ya kuasi akashushwa duniani na akabandikwa jina la Shetani baada ya kuasi.
Hawa majini asili yao wameumbwa kwa miale ya moto ,ushahidi huu unaopatikana baada ya Iblis kuasi kwa kutaaa kumpa heshima Nabii Adam baada ya kuumbwa.Iblis alisema siwezi kumsujudia kiumbe aliyeumbwa kwa udongo wakati mimi (Iblis)nimeumbwa kwa moto.
Kwa hiyo Iblis au Shetani ni jinni mkuu aliyemuasi Allah,na ameahidi kuwapotosha watu ili akaulingie nao motoni siku ya kiama,isipokuwa wale wanaomcha Mungu (Allah)sio miungu mengine ,
Iblis anashirikiana na majini wengine ktk kusudio Lao hilo la kupotosha watu ,na ameshatengeneza mtandao mkubwa sana hapa duniani anaingia mpk ktk baadhi ya dini hapa duniani lengo ni upotoshaji,(tafakari kwa kina acha ushabiki wingi wa diini zinazozuka kila siku)
Kwa hiyo kuna majini wema na wabaya km ilivyo kwa binaadam kwani lengo La viumbe woote ni kumcha Mungu (Allah)sio miungu wengineo.
Nalogoff ,nitarudi
Umesema kuwa Mungu aliwaumba wamtukuze yet Mungu tena akatuma malaika awaangamize wote then wakakimbilia mapangoni au malaika alikuwa anachagua yupi jini mwema au jini mzuri pindi anawaua?na ikawaje wamchukue huyo mdogo? Na alitumwa kuwaangamiza? Na inakuwaje hiko kijini then ghafla kipate nguvu ya kupimana na Mungu......??? Kidogilo story yako haijakaa sawa
 
wanasema bora kumuelimisha mpumbavu kuliko mjinga, sasa we ni mjinga,
haya tuambie bac huyo shetani wako aliumbwa kutokana na nini? km binadamu tunajua tuliumbwa kwa udongo...
Ni bora mjinga kuliko mpumbvu, ujinga yaweza kuwa mtu anajua tofauti na ulivyokaririshwa.

Sasa tuanze kuuchambua ubata ulio nao.

Roho inaumbwa kwa kutumia material gani????
 
Ntajaribu kijibu, =Majini ni viumbe kma ss na hawaonekani ila ukiwataka kwa sababu zako mwenyewe utawaona na wala hawna nguvu yoyote ukijisimamia,pia wanaishi maisha kama haya ya kwetu wanaona na wanazaana na wapo kikoo na wana dini zao tofauti na hizi wanatawala zao kama serikali pia wapo matajiri na maskini kama sisi na mavazi yao ni kama muundo Wa joho(kanzu) kwa wanaume na wanawake uvaa juba(baibui) hayo ni mavazi ya watu Wa kale waliokua wakitumia Ila rangi za mavazi utofautiana,wameubwa kwa miale ya moto ,,niishie hapo.
Duuuuu chanzo please
 
Ni bora mjinga kuliko mpumbvu, ujinga yaweza kuwa mtu anajua tofauti na ulivyokaririshwa.

Sasa tuanze kuuchambua ubata ulio nao.

Roho inaumbwa kwa kutumia material gani????
hujaelewa huo msemo ndo mana umekuchanganya, mjinga anaweza kuelimishwa lakini kwa kibri, jeuri au upeo mdogo, atataka kuleta ubishi na ushindani na kujifanya mjuaji, lakini mpumbavu atasikiliza na kukaa kimya ili akafanye utafiti zaidi na kuelimika.
hakuna ayeijua roho zaidi ya Mw. Mungu mwenyewe, coz elimu ya roho Mw. Mungu anayo ye mwenye, imeumbwa kwa material gn, anajua yeye, na ndo mana mzungu katengeneza kila kitu lakini roho imemshinda.
labda na haya maneno kwenye attachment itakusaidia kidogo, fungua hii picha, post ya mmoja wetu kwenye hii mada.
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    15.4 KB · Views: 34
hujaelewa huo msemo ndo mana umekuchanganya, mjinga anaweza kuelimishwa lakini kwa kibri, jeuri au upeo mdogo, atataka kuleta ubishi na ushindani na kujifanya mjuaji, lakini mpumbavu atasikiliza na kukaa kimya ili akafanye utafiti zaidi na kuelimika.
hakuna ayeijua roho zaidi ya Mw. Mungu mwenyewe, coz elimu ya roho Mw. Mungu anayo ye mwenye, imeumbwa kwa material gn, anajua yeye, na ndo mana mzungu katengeneza kila kitu lakini roho imemshinda.
labda na haya maneno kwenye attachment itakusaidia kidogo, fungua hii picha, post ya mmoja wetu kwenye hii mada.
Acha mfumo wa kukariri katika maisha yako, kwanini useme sijaelewa!!!!mimi nimemaanisha ulichosoma unayedhani mjinga, anaweza asiwe mjinga ila tu anajua tofauti na unavyojua wewe.

Elimu ya roho anayejua ni Mungu pekee.hili halina ubishi, ingawa waislam wanasema shetani aliumbwa kwa moto.na tunajua shetani\jini ni kiumbe roho.sasa sjui roho yenye mwili wa udongo(binaadam) iliumbwa na nini???
 
Acha mfumo wa kukariri katika maisha yako, kwanini useme sijaelewa!!!!mimi nimemaanisha ulichosoma unayedhani mjinga, anaweza asiwe mjinga ila tu anajua tofauti na unavyojua wewe.

Elimu ya roho anayejua ni Mungu pekee.hili halina ubishi, ingawa waislam wanasema shetani aliumbwa kwa moto.na tunajua shetani\jini ni kiumbe roho.sasa sjui roho yenye mwili wa udongo(binaadam) iliumbwa na nini???
DOGO ACHA UBISHI WA KIJINGA, HAKUNA KIUMBE KINACHOITWA SHETANI, SHETANI NI NENO LA KIARABU NA MAANA YAKE NI UCHAFU AU UOVU AU ADUI, SO KITU CHOCHOTE KIBAYA KWA BINADAMU NDIPO LINAPOTUMIKA NANO SHETANI,
HATA HYO ATTACHMENT HAIJAKUSAIDIA NGUGU YANGU, TAFUTA MWINGINE WA KUBISHANA NAE. SIPO HUMU KWA AJILI YA UBISHI WA KIJINGA.
 
Acha mfumo wa kukariri katika maisha yako, kwanini useme sijaelewa!!!!mimi nimemaanisha ulichosoma unayedhani mjinga, anaweza asiwe mjinga ila tu anajua tofauti na unavyojua wewe.

Elimu ya roho anayejua ni Mungu pekee.hili halina ubishi, ingawa waislam wanasema shetani aliumbwa kwa moto.na tunajua shetani\jini ni kiumbe roho.sasa sjui roho yenye mwili wa udongo(binaadam) iliumbwa na nini???
NENO SHETANI LINATUMIKA KWA JINI/IBILISI COZ YE NI MUOVU NA NI ADUI KWA BINADAMU.
 
DOGO ACHA UBISHI WA KIJINGA, HAKUNA KIUMBE KINACHOITWA SHETANI, SHETANI NI NENO LA KIARABU NA MAANA YAKE NI UCHAFU AU UOVU AU ADUI, SO KITU CHOCHOTE KIBAYA KWA BINADAMU NDIPO LINAPOTUMIKA NANO SHETANI,
HATA HYO ATTACHMENT HAIJAKUSAIDIA NGUGU YANGU, TAFUTA MWINGINE WA KUBISHANA NAE. SIPO HUMU KWA AJILI YA UBISHI WA KIJINGA.

NENO SHETANI LINATUMIKA KWA JINI/IBILISI COZ YE NI MUOVU NA NI ADUI KWA BINADAMU.
 
WE MWENYEWE UNAWEZA KUWA SHETANI KWA BINADAMU WENZAKO, USHETANI UNATOKANA NA MATENDO YAKO, NASIO MAJINI WOTE NI MASHETANI, COZ WAPO MAJINI WEMA AMBAO WANAMCHA MW. MUNGU.
UPO HAPO.......
HAYA ENDELEA NA UBISHI WAKO.......................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

NIMEKUACHI NAFASI HYO.
 
Kwanza Isaya 14:14 ni maneno ya mfalme wa Babeli Nebukadreza,ila wakristo wengi wanaambiwa ni maneno ya Ibilisi.

Yani ni story za kuunga unga tu katika hili suala.
 
Ibilisi huyohuyo ndiyo aliyewafanya watu waamini miungu watu,na ndiyo maana hata wewe leo hii unaamini kuna mtu aliwahi kuwa Mungu.

Shetani kawafanya baadhi ya wajinga fulani kudhani Mungu hana uwezo wa kuwa binaadam.
 
WE MWENYEWE UNAWEZA KUWA SHETANI KWA BINADAMU WENZAKO, USHETANI UNATOKANA NA MATENDO YAKO, NASIO MAJINI WOTE NI MASHETANI, COZ WAPO MAJINI WEMA AMBAO WANAMCHA MW. MUNGU.
UPO HAPO.......
HAYA ENDELEA NA UBISHI WAKO.......................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

NIMEKUACHI NAFASI HYO.
Siwezi kuwa shetani ila mwenye ushetani.upo???
 
Shetani kawafanya baadhi ya wajinga fulani kudhani Mungu hana uwezo wa kuwa binaadam.
Kama ni hivyo mbona mnakataa kuwa Mungu wenu ana uwezo hadi wa kufa na ndiyo maana alikufa?

Kwahiyo unakubali kuwa Mungu wenu aliwahi kupatwa na mauti kama ambavyo Mimi na wewe tutakuja kupatwa na umauti?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom