abdel lio
Member
- May 20, 2013
- 99
- 74
Muongo mzandiki mkubwa ww muumini wa kwanza kuingia katika uislam ni Abu Bakr (r.a) kwa wanawake ni bi Aisha (r.a) majini walikuja baadae sana baada ya revelations nyingi za Qur'anMajini kwa Waislamu ni waumini wa kwanza kabisa kuingia katika uislam.na waliposikia habari ya dini hii walifurah sana na kusilimu kuwa waislam na mpaka leo hii wanasal na waislam bila shida. Kwa wakristo hawa ni waliokuwa malaika wakaasi na lucifer au shetani. Wanaitwa mapepo wabaya. Hawa hakuna mzuri ila wote ni wabaya.walishamuasi Mungu na hakuwasamehe...wapo duniani kushirikiana na shetan ambaye ni baba yao kuwaangusha na kuwatesa binadamu