Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Maislam ndiyo akina nani hao?

Huwa naona ulivyo na chuki juu ya dini ya Uislam.

Toa maoni yako ila usidhihaki imaan za watu ukijua wewe umeshaipata Pepo, kustarabika ni nguzo muhimu kwa muumini yeyote wa dhehebu lolote hasa wewe sijui una imaan gani na wapo unafata maamrisho ya Yesu yanakusaidia nini
Nani ana chuki na uislam wewe!!!, mimi niuchukie uislam kwa kip???

Siuchukii uislam, nachukia logic za kipuuzi za waislam.mfano angalia hapa.
Mmeamua kuwa na mtume wenu mliyeamua kumpa jina issah, mkampa na sifa zake mlizoona zinamtosha kabisa.hakuna mkristo mwenye kujishughulisha na hizo pumba, wote kimya tu.

MPUMBAVU mmoja anakuja kusema Yesu ndio issah .unajiuliza huyu anatafuta kitu gani, jibu hupati.

Any way hicho ulichonukuu ni ndio ikweli wenyewe.nilimjibu mwenzako aliyekuwa ameanza kuniparua kwamba majini hayajatajwa katika bible, sasa angalia mtu anagombania mpaka majini .
 
Maislam ndiyo akina nani hao?

Huwa naona ulivyo na chuki juu ya dini ya Uislam.

Toa maoni yako ila usidhihaki imaan za watu ukijua wewe umeshaipata Pepo, kustarabika ni nguzo muhimu kwa muumini yeyote wa dhehebu lolote hasa wewe sijui una imaan gani na wapo unafata maamrisho ya Yesu yanakusaidia nini
Anaposema maislamu ana maana wale radical Muslim au terrorist groups.
 
Mkuu sijawahi ona jini lina mwamuru mtu kufanya mambo maovu majini au mashetan yote huwa amuru wafu kufanya ibada kuwa swala tano na kuongea lugha la allah pamoja na kuvaa kanzu na hijabu na kusilimu dini yaan kuwa mwisilamu hilo jin la mambo maovu sijawahi kuliona kwakweli aisee acha uongo jamaa yangu

majin ni mashetani ambayo baba yao ni lucifer hawana utofaut na allah maana mashetan humwabudu allah na kuwalazimisha watu kwenda kuswali msikitin
ni bora utafute watu wanaojua zaidi wakueleweshe na si kuandika kitu ambacho hukijui. la pili ni kuwa hata maana ya shetani huijui, tafuta wanaojua lugha wakuelimishe, hakuna kiumbe kinachoitwa shetani, shetani ni binadani au jini muovu. kasome ndugu yangu.
 
ni bora utafute watu wanaojua zaidi wakueleweshe na si kuandika kitu ambacho hukijui. la pili ni kuwa hata maana ya shetani huijui, tafuta wanaojua lugha wakuelimishe, hakuna kiumbe kinachoitwa shetani, shetani ni binadani au jini muovu. kasome ndugu yangu.

Hakuna kiumbe kinachoitwa shetani!!!!!.

Tunawaambia waislam ni kundi la kwanza ambalo licifer amefanikiwa kulihadaa.mpo kwenye shimo msilojua mmeingiaje.

Unadhani shetani huko alipo anajisikiaje anapotajwa kwamba hayupo????
 
Naona unajitaid sana kutetea ushetan wenu
Ushetani wetu niupi na tulishawai kumfanyia nani huo ushetani? Au nyie ushetani mnaoufanya makanisani mnajifanya mnatenda miujiza kwa kutumia uchawi na majini ili kuwaaminisha watu kwa lengo la kupata waumini wengi na lengo hasa kukusanya sadaka na kujinufaisha au ulishawai kuona wapi shekhee akafungisha ndoa ya jinsia moja mbona kwenye makanisa yenu mashoga wanafungishwa ndoa huo sio ushetani? Mbona mapatrii wengi mashoga na wanawalawiti watoto huo sio ushetani eti hawaoi kumbe mashoga
 
Ufunuo 12:9
Neno shetani lina maana 'adui' kiebrania,na ndiyo hata huyo malaika wako mkuu aliitwa hivyo baada ya kuasi.

Hakunà kiumbe kilichoumbwa jina lake ni shetani bali kuna viumbe vyenye sifa za kishetani,hivyo hata wewe unaweza ukaitwa shetani Kama alivyoitwa Petro.
 
Kwenye uislamu malaika hawamuasi Mungu kwa vyovyote vile.
Ebu wacha Qur'an ijibu Ibilisi/Shetani alikuwa nani kulingana na Al-Kahf 18:50. " Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu."
Hapo ni wazi "tuliwaambia Malaika" siyo tuliwaambia Malaika na Ibilisi! Kwahiyo Ibilisi ni miongoni mwa malaika alikataa kumsujudia Adam. Ibilisi huyohuyo hiyo aya inaeleza ni "miongoni mwa majini."

Ibilisi alivunja amri ya Mungu kama mlezi wake, ina maana kabla Ibilisi alimtii Mungu! 18:50 "Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi." Mungu alikuwa anamlea Ibilisi kama nani?

Al-Hijr 15:30,
Basi Malaika wote pamoja walimsujudia,
Al-Hijr 15:31.
Isipo kuwa Iblisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio sujudu.
Al-Hijr 15:32.
(Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Iblisi! Una nini hata hukuwa pamoja na walio sujudu?

Katika Sura 15 kuanzia aya 30 mpaka 32. Wote malaika walisujudu, isipo kuwa Ibilisi alikataa. Inaonyesha Malaika Ibilisi hakuwa na kawaida ya kumkatalia Mungu. Ndiyo maana Allah anashangaa Ibilisi amepatwa na kitu gani kwa kuto kuwa pamoja na Malaika wenzake walio sujudu.

Je Mungu angeruhusu kuwepo kwa Ibilisi kumsujudia Adam kama alishakuwa muasi?
Mtu aliye kuibia au kutembea na mke wako, utamkaribisha aje nyumbani kwako?

Kama Ibilisi angekuwa muasi sidhani kama angekuwa pamoja miongoni mwa malaika!

Kwahiyo Ibilisi ni Jini na malaika aliyekataa kusujudia Adam. Na Ibilisi kwa tafsiri za kiingereza ni Satan/Shetani.
 
Neno shetani lina maana 'adui' kiebrania,na ndiyo hata huyo malaika wako mkuu aliitwa hivyo baada ya kuasi.

Hakunà kiumbe kilichoumbwa jina lake ni shetani bali kuna viumbe vyenye sifa za kishetani,hivyo hata wewe unaweza ukaitwa shetani Kama alivyoitwa Petro.

Kumbe yupo shetani mwenyewe, ambaye yeye ndiye asili ya huo uasi, uadui,mlengo kushoto na Mungu.

Hakuna sehemu nimekwambia Mungu aliumba shetani, lucifer, ibilisi.ila baada ya mgawanyiko huyu anabatizwa jina lake jipya.

Maana ni kama unataka kusema jina halina mwenyewe.
 
Neno shetani lina maana 'adui' kiebrania,na ndiyo hata huyo malaika wako mkuu aliitwa hivyo baada ya kuasi.

Hakunà kiumbe kilichoumbwa jina lake ni shetani bali kuna viumbe vyenye sifa za kishetani,hivyo hata wewe unaweza ukaitwa shetani Kama alivyoitwa Petro.
Kwenye Qur'an neno Shetani ni nini?
 
Kwenye uislamu malaika hawamuasi Mungu kwa vyovyote vile.

Al-Hijr 15:30,31,32
Basi Malaika wote pamoja walimsujudia,
Isipo kuwa Iblisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio sujudu.
(Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Iblisi! Una nini hata hukuwa pamoja na walio sujudu?

Basi Wanafunzi wote pamoja walitii, Isipo kuwa UHURU JR. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio tii.
(Mwalimu) akasema: Ewe UHURU JR! Una nini hata hukuwa pamoja na walio tii?

Je UHURU JR ni mmoja wa wanafunzi au kiumbe kingine?

Kama UHURU JR ni mmoja wa wanafunzi basi Ibilisi ni mmoja wa Malaika.
 
Ebu wacha Qur'an ijibu Ibilisi/Shetani alikuwa nani kulingana na Al-Kahf 18:50. " Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu."
Hapo ni wazi "tuliwaambia Malaika" siyo tuliwaambia Malaika na Ibilisi! Kwahiyo Ibilisi ni miongoni mwa malaika alikataa kumsujudia Adam. Ibilisi huyohuyo hiyo aya inaeleza ni "miongoni mwa majini."

Ibilisi alivunja amri ya Mungu kama mlezi wake, ina maana kabla Ibilisi alimtii Mungu! 18:50 "Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi." Mungu alikuwa anamlea Ibilisi kama nani?

Al-Hijr 15:30,
Basi Malaika wote pamoja walimsujudia,
Al-Hijr 15:31.
Isipo kuwa Iblisi. Yeye alikataa kuwa pamoja na walio sujudu.
Al-Hijr 15:32.
(Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Iblisi! Una nini hata hukuwa pamoja na walio sujudu?

Katika Sura 15 kuanzia aya 30 mpaka 32. Wote malaika walisujudu, isipo kuwa Ibilisi alikataa. Inaonyesha Malaika Ibilisi hakuwa na kawaida ya kumkatalia Mungu. Ndiyo maana Allah anashangaa Ibilisi amepatwa na kitu gani kwa kuto kuwa pamoja na Malaika wenzake walio sujudu.

Je Mungu angeruhusu kuwepo kwa Ibilisi kumsujudia Adam kama alishakuwa muasi?
Mtu aliye kuibia au kutembea na mke wako, utamkaribisha aje nyumbani kwako?

Kama Ibilisi angekuwa muasi sidhani kama angekuwa pamoja miongoni mwa malaika!

Kwahiyo Ibilisi ni Jini na malaika aliyekataa kusujudia Adam. Na Ibilisi kwa tafsiri za kiingereza ni Satan/Shetani.
Mbona unajichanganya!

Ushaambiwa ibilisi alikuwa miongoni mwa majini,sasa hata sijui hayo maelezo yako uliyojaza yanaeleza nini.

Sina muda wa kubishana na mambo yaliyo wazi kabisa.
 
Kumbe yupo shetani mwenyewe, ambaye yeye ndiye asili ya huo uasi, uadui,mlengo kushoto na Mungu.

Hakuna sehemu nimekwambia Mungu aliumba shetani, lucifer, ibilisi.ila baada ya mgawanyiko huyu anabatizwa jina lake jipya.

Maana ni kama unataka kusema jina halina mwenyewe.
Sasa ndiyo umeeleza nini?
 
Mbona unajichanganya!

Ushaambiwa ibilisi alikuwa miongoni mwa majini,sasa hata sijui hayo maelezo yako uliyojaza yanaeleza nini.

Sina muda wa kubishana na mambo yaliyo wazi kabisa.
Lazima uchanganyikiwe maana wewe ni muabudu mizimu

Q 6:41 makafiri wa zama hizo walikua afadhali katika itikad zao kuliko waisilamu wa sasa wanaoabudu mizimu na makaburi na majini

Ndugu yangu hakuna uisilamu pasibo kuabudu majin na kuyatolea sadaka uisilamu ni kuabudu mizimu na makabuli

Kila siku tunawaambia kuwa allah ni luccifer na huo ndo ukweli uisilamu ni ushetan

Q12:106 japo tunafata uisilamu lakini tunatia ushirikina
Kwahiyo bas uisilamu hauwez kukamilika bila uchawi wa lucifer akishilikiana na allah

Hayo sio maneno yangu mimi msinitukane Hayo ni maneno ya kitabu chenu mlichoshushiwa na ibilis mnayemuitaga allah
 
Lazima uchanganyikiwe maana wewe ni muabudu mizimu

Q 6:41 makafiri wa zama hizo walikua afadhali katika itikad zao kuliko waisilamu wa sasa wanaoabudu mizimu na makaburi na majini

Ndugu yangu hakuna uisilamu pasibo kuabudu majin na kuyatolea sadaka uisilamu ni kuabudu mizimu na makabuli

Kila siku tunawaambia kuwa allah ni luccifer na huo ndo ukweli uisilamu ni ushetan

Q12:106 japo tunafata uisilamu lakini tunatia ushirikina
Kwahiyo bas uisilamu hauwez kukamilika bila uchawi wa lucifer akishilikiana na allah

Hayo sio maneno yangu mimi msinitukane Hayo ni maneno ya kitabu chenu mlichoshushiwa na ibilis mnayemuitaga allah
Haya bana maana naona dini ya Paulo imekukamata kweli kweli.

Na inaelekea Ibilisi huyo huyo ndiyo aliyemtokea Paulo ila yeye akadai Yesu.
 
Haya bana maana naona dini ya Paulo imekukamata kweli kweli.

Na inaelekea Ibilisi huyo huyo ndiyo aliyemtokea Paulo ila yeye akadai Yesu.
Yesu aliyashinda mauti ibilis hana chake
 
Kama binadamu tulivyo(wasafi na wachafu kiroho) ndivyo ilivyo katika ulimwengu wa kiroho.Roho chafu ambao kwa imani yangu Ni malaika walioasi(fallen angels),wanazunguka duniani kuangamiza roho za binadamu.Kutokana na makabila na imani tofauti za binadamu..roho chafu zinajidhihirisha kutokana na imani yako.Kama waarabu wanavyoamini majini Basi hizi roho chafu huja kama wanavyoaminiwa kuwa(yani wazuri kupita Maelezo na wanaishi baharini).Basi kwa baadhi ya waafrika wanaoamini vibwengo Basi watajidhihirisha hivyo,kwa wakristo ni mapepo wachafu,au kama Ww unaamini utatokewa na Bibi yako aliyekufa Basi roho chafu zitakuja kwa njia hiyo n.k
Kwaiyo vyote kwa vyote Ni suala la imani aliyonayo mwanadamu,mazingira au sehemu alipokulia na udhaifu wake kiroho.vyote hivi roho chafu hutumia kama milango ya roho yako.Mfano ushaskia mlevi anashuhudia kaokoka pepo la ulevi limemtoka,haimaanishi pepo lilimuingia halafu ndo akaanza kunywa,alianza kdogodogo Mungu ndo ajuaye ila hapo ndo alipofungua mlango kuruhusu roho chafu.Au kama umeua mfano na unaogopa aliyekuua atakutokea basi shetani hufurahi na hutuma roho chafu wakutese wakikutokea kama Marehemu. Inakuwa hatari zaidi ukiwa addicted na kitu chochote(pornography n.k),Maana Ni udhaifu muhimu kwa roho chafu.Kila kitu kwa kiasi.Tumtangulize Mungu na kumwamini kwa kila jambo.
This is what I believe.
 
d57077b7eb448a04658d67a6c20dd44b.jpg
 
Hakuna kiumbe kinachoitwa shetani!!!!!.

Tunawaambia waislam ni kundi la kwanza ambalo licifer amefanikiwa kulihadaa.mpo kwenye shimo msilojua mmeingiaje.

Unadhani shetani huko alipo anajisikiaje anapotajwa kwamba hayupo????
wanasema bora kumuelimisha mpumbavu kuliko mjinga, sasa we ni mjinga,
haya tuambie bac huyo shetani wako aliumbwa kutokana na nini? km binadamu tunajua tuliumbwa kwa udongo...
 
Back
Top Bottom