Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Kama ni hivyo mbona mnakataa kuwa Mungu wenu ana uwezo hadi wa kufa na ndiyo maana alikufa?

Kwahiyo unakubali kuwa Mungu wenu aliwahi kupatwa na mauti kama ambavyo Mimi na wewe tutakuja kupatwa na umauti?

mkristo gani anakataa Mungu wake hakuwahi kufa!!!hili ndilo fumbo la imani ya mkristo mzee.
 
Unaweza kuthibitisha majini yapo?
Unataka utmiweu LA kudhuru au?
wewe mimi nadhani hata bible ya haswa huisomi, unasikia na wewe unasema bila ya hata kutumia akili yako hata chembe.

Ngoja nikupe shule kidogo.

Mwenyezi Mungu aliumba Malaika, majini na binaadamu. Na wote hawa kawaumba kwa ajili ya kumtumikia yeye.

Malaika waliumbwa kwa nuru, Majini kwa moto na binaadamu kwa udongo.
Katika Malaika hawa ni special wameumbwa na hawamuasi Mwenyezi Mungu kamwe, ni wenye kuabudu tuu.

Binaadamu na Majini sisi ndio tulokuwa na Mitihani maana ndio tupo hapa ulimwenguni,

Tulichoumbiwa ni kumuabudu Mwenyezi Mungu. Na atakaemuasi ikiwa jini au binaadamu basi Mwenyezi Mungu hatamuacha siku ya mwisho atamuingiza motoni, na ikiwa atafuata maarisho ya Mungu ikiwa jini au binaadamu akitaka mwenyewe Mungu atamuingiza peponi.

Sasa ikiwa jini au binaadamu atamuasi Mwenyezi Mungu huyo ndio anakuwa shaytani. Maisha yao ya kuzaliana kama sisi tunavyozaliana ila tumetofautiana na vyakula vyao na makaazi yao wanayoishi.

Na hawana nguvu yoyote ile ya kusema kuwaogopa, Mtume Suleiman yeye alipewa ufalme wa watu, majini, wanyama, ndege, upepo N.k Ni ulfalme ambao alimuomba Mwenyezi Mungu asijempa yoyote badala yake.

Na walikuwa chini ya amri ya Mtume Suleiman aliwadhibiti sawa sawa.
Haya yamo ndani ya Quran tukufu.

binaadamu hutakiwi kuwaogopa kabisa wao ni viumbe wameumba kama sisi, na wengine huwaogopa binaadamu haswa.

Na binaadamu hatakiwi kuyaingilia katika maisha yao na wao hawatakiwi kutuingilia katika maisha yetu. Ila kama utawaingilia na kutaka kujua zaidi na kuwafatilia utaishia katika shirki ambayo itakupeleka kuunguzwa na Mwenyezi Mungu.

TATIZO BAADHI YA WASIOKUWA WAISLAM WANAKURUPUKA SANA NA KUTOA MAJIBU AMBAYO HATA AKILINI HAYAINGII, BINAADAMU SOMA MWENYEWE UELEWE USIKUBALI KUHADITHIWA TUU.

KWA NGUVU ZA NANI KWA NGUVU ZA NANI TOKA HAMNA KITU HICHO NI KIINI MACHO TUU CHA KUCHEZEWA.

MWENYE UWEZO WA KUMTOA JINI AKIKUSIBU NI MWENYEZI MUNGU PEKEE YAKE.

KUNA VISOMO KATIKA QURAN UNASOMA KAMA AKIKUPATA, NA JINI HAMPATI MTU AMBAE AMEJIWEKA MBALI NA MAMBO AMBAYO MWENYEZI MUNGU AMEHARAMISHA.

KAMA MTU ANASEMA SHEIKH ANA MAJINI NI MUONGO, KUNA BAADHI YA WATU HUWAFUTILIA HAWA MAJINI AMBAO KWA MAJINA WANAITWA WAISLAM ILA UNAKUWA USHAJIVUA KATIKA UISLAM IKIWA WEWE KAZI YAKO KUYAFUGA KWA AJILI YA SHIRKI.

HAKUNA USHIRIKA WOWOTE UNAOHUSIANA UISLAM NA MAJINI, NI KUWA ATI WAISLAM WANATUMIA MAJINI, MSIDANGANYWE MKADANGANYIKA.

NI KATIKA QURAN KILA KITU KIMO WATU WAACHE UVIVU WASOME.
 
Lazima uchanganyikiwe maana wewe ni muabudu mizimu

Q 6:41 makafiri wa zama hizo walikua afadhali katika itikad zao kuliko waisilamu wa sasa wanaoabudu mizimu na makaburi na majini

Ndugu yangu hakuna uisilamu pasibo kuabudu majin na kuyatolea sadaka uisilamu ni kuabudu mizimu na makabuli

Kila siku tunawaambia kuwa ALLAH NI LUCIFER na huo ndo ukweli uisilamu ni ushetan

Q12:106 japo tunafata uisilamu lakini tunatia ushirikina
Kwahiyo bas uisilamu hauwez kukamilika bila uchawi wa lucifer akishilikiana na allah

Hayo sio maneno yangu mimi msinitukane Hayo ni maneno ya kitabu chenu mlichoshushiwa na ibilis mnayemuitaga allah

Mkristu safi naomba uniambie maana ya ALALUYAH kama msemavyo kanisani.
 
mtu wa kwanza kuingia ktk uislam alikua ni mke wa mtume wa kwanza, bi Khadija, na majini waliumbwa kabla ya binadamu, binadamu ni kiumbe wa mwisho kuumbwa ktk viumbe vyote unavyovijua ww, na majini ndo walianza kuishi ktk dunia hii, baada ya kumuasi Mw. Mungu ndo wakaondolewa nakuletwa binadamu na tunaishi nao lakini hatujapewa uwezo wa kuwaona, ila wao wanatuona na wana wamepewa uwezo wa kutuingia mwilini mwetu kupitia mishipa ya damu.
hapo umekosea ndugu yng, tunarekebishana c nia mbaya,
Mtu wa kwanza kuingia ktk uislam ni Adam
 
Shetani kawafanya baadhi ya wajinga fulani kudhani Mungu hana uwezo wa kuwa binaadam.
Toa authority yyte ktk vitabu vya Mungu ambapo yesu ametamka kwa maneno yake mwnyew kuwa yeye ni mungu. Km huna shetani anakuhusu. Na unafaham hakuna, uungu wa Yesu mmempa nyinyi yeye.
 
wewe mimi nadhani hata bible ya haswa huisomi, unasikia na wewe unasema bila ya hata kutumia akili yako hata chembe.

Ngoja nikupe shule kidogo.

Mwenyezi Mungu aliumba Malaika, majini na binaadamu. Na wote hawa kawaumba kwa ajili ya kumtumikia yeye.

Malaika waliumbwa kwa nuru, Majini kwa moto na binaadamu kwa udongo.
Katika Malaika hawa ni special wameumbwa na hawamuasi Mwenyezi Mungu kamwe, ni wenye kuabudu tuu.

Binaadamu na Majini sisi ndio tulokuwa na Mitihani maana ndio tupo hapa ulimwenguni,

Tulichoumbiwa ni kumuabudu Mwenyezi Mungu. Na atakaemuasi ikiwa jini au binaadamu basi Mwenyezi Mungu hatamuacha siku ya mwisho atamuingiza motoni, na ikiwa atafuata maarisho ya Mungu ikiwa jini au binaadamu akitaka mwenyewe Mungu atamuingiza peponi.

Sasa ikiwa jini au binaadamu atamuasi Mwenyezi Mungu huyo ndio anakuwa shaytani. Maisha yao ya kuzaliana kama sisi tunavyozaliana ila tumetofautiana na vyakula vyao na makaazi yao wanayoishi.

Na hawana nguvu yoyote ile ya kusema kuwaogopa, Mtume Suleiman yeye alipewa ufalme wa watu, majini, wanyama, ndege, upepo N.k Ni ulfalme ambao alimuomba Mwenyezi Mungu asijempa yoyote badala yake.

Na walikuwa chini ya amri ya Mtume Suleiman aliwadhibiti sawa sawa.
Haya yamo ndani ya Quran tukufu.

binaadamu hutakiwi kuwaogopa kabisa wao ni viumbe wameumba kama sisi, na wengine huwaogopa binaadamu haswa.

Na binaadamu hatakiwi kuyaingilia katika maisha yao na wao hawatakiwi kutuingilia katika maisha yetu. Ila kama utawaingilia na kutaka kujua zaidi na kuwafatilia utaishia katika shirki ambayo itakupeleka kuunguzwa na Mwenyezi Mungu.

TATIZO BAADHI YA WASIOKUWA WAISLAM WANAKURUPUKA SANA NA KUTOA MAJIBU AMBAYO HATA AKILINI HAYAINGII, BINAADAMU SOMA MWENYEWE UELEWE USIKUBALI KUHADITHIWA TUU.

KWA NGUVU ZA NANI KWA NGUVU ZA NANI TOKA HAMNA KITU HICHO NI KIINI MACHO TUU CHA KUCHEZEWA.

MWENYE UWEZO WA KUMTOA JINI AKIKUSIBU NI MWENYEZI MUNGU PEKEE YAKE.

KUNA VISOMO KATIKA QURAN UNASOMA KAMA AKIKUPATA, NA JINI HAMPATI MTU AMBAE AMEJIWEKA MBALI NA MAMBO AMBAYO MWENYEZI MUNGU AMEHARAMISHA.

KAMA MTU ANASEMA SHEIKH ANA MAJINI NI MUONGO, KUNA BAADHI YA WATU HUWAFUTILIA HAWA MAJINI AMBAO KWA MAJINA WANAITWA WAISLAM ILA UNAKUWA USHAJIVUA KATIKA UISLAM IKIWA WEWE KAZI YAKO KUYAFUGA KWA AJILI YA SHIRKI.

HAKUNA USHIRIKA WOWOTE UNAOHUSIANA UISLAM NA MAJINI, NI KUWA ATI WAISLAM WANATUMIA MAJINI, MSIDANGANYWE MKADANGANYIKA.

NI KATIKA QURAN KILA KITU KIMO WATU WAACHE UVIVU WASOME.
Wao na mashetani wana asili moja
Nadhani yafaaukapitia upya juu ya uumbaji
Yule alieasi kutoka mbinguni pamoja na malaika zake wakatupwa duniani na mahala pao hapakuonekana tena ....
Na amelaaniwa tangu apo awali ...
Bilble says ole wa nchi na bahari maana ibisi ama shetani au jini au joka la zamani ameshuka kwenu.
 
Haleluya ni neno la kiebrania ...liliotumika israel lenye kama salamu na lenye kusifu ...yaani UTUKUFU JUU MBINGUNI NA DUNIANI IWE AMANI KWA WATU WOTE.....
Hapo utaikia AMEN. Maana yake IMESHAKUA UMA NA IWE IVYO ....Sasa sijui utakua unataka maana gani hao
 
Mtu wa kwanza kuingia ktk uislam ni Adam
Sasa hapo unachanganya watu kama
Kwa tarifa sahii uislamu uliingia mwaka 600 baada ya injili. Ambapo kabla ya injil kulikuako na nabii tofauti zilizo tawala sasa huo uislamu ulikuja kwa adamu kwa mujibu upi
 
Toa authority yyte ktk vitabu vya Mungu ambapo yesu ametamka kwa maneno yake mwnyew kuwa yeye ni mungu. Km huna shetani anakuhusu. Na unafaham hakuna, uungu wa Yesu mmempa nyinyi yeye.
Uungu tumempa sisi ndio, ulitaka aitwe Mungu na nani????
 
Sasa hapo unachanganya watu kama
Kwa tarifa sahii uislamu uliingia mwaka 600 baada ya injili. Ambapo kabla ya injil kulikuako na nabii tofauti zilizo tawala sasa huo uislamu ulikuja kwa adamu kwa mujibu upi
Take it from me, hyo uliyo nayo ni misconception. Uislam ulikuwepo toka Adam(a.s) na Mtume Muhammad(s.a.w) ni mtume tu wa mwisho ambaye ameukamilisha.
Kila Mtume akiwepo Yesu(a.s) aliujenga mpk maelekezo ya Mungu yalipoishia, ndipo Muhammad akaja kumalizia.
Kifupi uislam ulikuwa unajengwa taratibu kulingana na uwezo wa mapokeo au uelewa wa binadamu.
 
Take it from me, hyo uliyo nayo ni misconception. Uislam ulikuwepo toka Adam(a.s) na Mtume Muhammad(s.a.w) ni mtume tu wa mwisho ambaye ameukamilisha.
Kila Mtume akiwepo Yesu(a.s) aliujenga mpk maelekezo ya Mungu yalipoishia, ndipo Muhammad akaja kumalizia.
Kifupi uislam ulikuwa unajengwa taratibu kulingana na uwezo wa mapokeo au uelewa wa binadamu.
Halafu uwe unaacha kumtaja taja Yesu kwenye mambo ya kijinga.

Uwe unataja issa kama ulivyofundishwa.
 
Take it from me, hyo uliyo nayo ni misconception. Uislam ulikuwepo toka Adam(a.s) na Mtume Muhammad(s.a.w) ni mtume tu wa mwisho ambaye ameukamilisha.
Kila Mtume akiwepo Yesu(a.s) aliujenga mpk maelekezo ya Mungu yalipoishia, ndipo Muhammad akaja kumalizia.
Kifupi uislam ulikuwa unajengwa taratibu kulingana na uwezo wa mapokeo au uelewa wa binadamu.

Kama uislamu ulikuwapo tangu Adam, kulikuwa na haja gani Allah kushusha Qur'an na kumwambia mwamedi kwamba yeye niwa kwanza kujitiisha katika uislamu?
 
Halafu uwe unaacha kumtaja taja Yesu kwenye mambo ya kijinga.

Uwe unataja issa kama ulivyofundishwa.
Afu hawa watu sijui huwa wanataka nini tu yaan nabii wao anaitwa issa lakin kila saa yesu jaman wafuas wa lucifer nyie nabii wenu ni issa bin mariam yesu ni mungu achaneni naye hawahusu nyie bakini na issa wenu kwan shida iko wapi arifu
 
Afu hawa watu sijui huwa wanataka nini tu yaan nabii wao anaitwa issa lakin kila saa yesu jaman wafuas wa lucifer nyie nabii wenu ni issa bin mariam yesu ni mungu achaneni naye hawahusu nyie bakini na issa wenu kwan shida iko wapi arifu
Allah alipokuwa anamshushia maneno ya Qur'an mwamedi. Hakuna hata mtu mmoja aliye pewa taarifa na Allah kuwa mwamedi atakuwa mtume na maneno atakayo ambiwa wamsikilizeni ni yaukweli.

Waislamu wanajaribu kila njia kutumia maneno ya biblia ili kuthibitisha kwamba Qur'an ni maneno ya kweli, wakati wanasema biblia imekuwa corrupted, wakati huo huo wanachagua maandiko ya biblia to suit their belief. Huwezi sema biblia corrupted alafu ukalinganisha Issa bin Mariam kuwa ni Yesu kristo.
Ndiyo maana biblia inasema watu wanajuhudi kwa ajili ya Mungu lakini si katika maarifa sahihi. Sawa kabisa na hawa waislamu juhudi nyingi lakini upupu tu.
 
Naombeni kusadiwa kujua kuhusu majini. Nina imani watu wengi huwa tunatishwa sana..

Nina maswali naombeni kupewa msaada..

Nani aliwaumba majini?

Majini wameumbwaje na kwanini waliumbwa kwa kazi gani?

Kwanini hawaonekani nguvu gani au wao wapo ulimwengu gani hasa hadi tunashindwa kuwaona?

Je, vitabu vya dini vinasemaje kuhusu hawa viumbe ni sehemu gan majini watajwa na je mitume wa Mungu wamewahi kuwatumia hawa kwa kazi gani na kwanini?

Kwanini wanaonekana kuwa na nguvu zaid kuliko binadamu, mbinu ipi sahihi ya kuwadhibiti hao viumbe?

Je, maumbile yao halisi ni yapi na utawezaje kuwatambua?

Je, Mungu wanayemwamini ni huyu tunayemwamini sisi na huko watahesabiwa vipi haki siku ya mwisho na adhabu yao itakuwaje kwenye moto wa milele (nasikia wapo kama moto sina uhakika).

Je, wanaliana vip mimba zao hukaa muda gan na huishii miaka mingap tokea azaliwe yaani jin Mzee yupoje.

Mfumo wao wa utawala upoje na je kuna adhabu za kuwapatia endapo wanasumbua binadamu?

Je, wanaweza kuzaa na binadamu na mtoto akizaliwa huwaje?

Yaan dah yapo mengi maswali!
Chato
 
mtu wa kwanza kuingia ktk uislam alikua ni mke wa mtume wa kwanza, bi Khadija, na majini waliumbwa kabla ya binadamu, binadamu ni kiumbe wa mwisho kuumbwa ktk viumbe vyote unavyovijua ww, na majini ndo walianza kuishi ktk dunia hii, baada ya kumuasi Mw. Mungu ndo wakaondolewa nakuletwa binadamu na tunaishi nao lakini hatujapewa uwezo wa kuwaona, ila wao wanatuona na wana wamepewa uwezo wa kutuingia mwilini mwetu kupitia mishipa ya damu.
hapo umekosea ndugu yng, tunarekebishana c nia mbaya,
OK nimekupata mkuu lakini pale kwenye waumini wa kwanza kuingia katika dini niandika kwa context ya jinsia kwa wanaume na wanawake ila in general natambua kuwa ni bi Aisha in concerning to majini sikumaanisha kuumbwa nilimaanisha kusilimu walisilimu baadae sana baada ya binadam kusilim hicho ndicho nilichomaanisha
 
Back
Top Bottom