Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Soma Luka 10:17-20,jinsi mapepo yanavyotii kwa Yesu.Kiumbe hakiwezi kutii kama hakijakufuata unavyotaka.
Kwa uelewa wako yakawa mafuasi yake si ndio????

Sasa kama yalikuwa mafuasi ya yesu ambaye mmengangania alikuwa muislam, mbona yakaja kusilimu tena kwa muhamad???uislam wa yesu uko wapi hapo????
 
Kwahiyo upendo unadhihirika kwa kuzikana pamoja!!!!

umekuja nilipopataka, wanafanywa wazuri ili wakagawanywe 70 kwa kila mwanaume hivi hii ni tuzo kweli hii??au mimi nafikiri zaidi????
Wewe fikiria katika akili yako,ni bora mwanamke kufanya kazi ya uke.Au bora mwanamme kupakatwa, ni kama Lazaro wa ndani ya Biblia alivyopakatwa na Ibrahim.Utachaguwa ukapakatwe na Ibrahimu?
Luka 16:19-31
 
Kwa uelewa wako yakawa mafuasi yake si ndio????

Sasa kama yalikuwa mafuasi ya yesu ambaye mmengangania alikuwa muislam, mbona yakaja kusilimu tena kwa muhamad???uislam wa yesu uko wapi hapo????
Wanazaliwa wengine,unafikiri miaka ya kutoka Yesu mpaka Mtume Muhammad ni padogo.
 
Naona wakristo wameshindwa kuthibitisha kuwa Majini ndiyo Malaika waliyoasi waliyoelezwa kwenye biblia ila wanalazimisha kuwa majini ni malaika waliyoasi.

Yani malaika akiasi anakuwa jini ila ukimuuliza ni nini maana neno jini hajui.
Hili swala la jini lilishafanyiwa uchunguzi na wasomi na likapatiwa jibu kabla hujazaliwa.

Swali la wewe kujiuliza ni kwamba, kama Quran inasema viumbe fulani wasio onekana waliwai kumuasi Mungu na viumbe hao ni Sheitwan na Majini; na biblia inasema viumbe fulani waliwai kumuasi Mungu na viumbe hao ni Shetan kiongozi na Mapepo; Ni wazi hao viumbe waasi ni haohao, vitabu vkimanisha Majini ni Mapepo waliohasi Mungu. Ni simple logic tu sijui kwanini uelewi!
 
Hawa majini miongoni mwao,si ndio yule aliyemzidi Yesu nguvu,akambeba juu kwa juu.Na kumuweka na njaa siku arubaini.
Yaonyesha wana nguvu kuliko Yesu,kwa maana mmoja tu,alimpelekesha sana Yesu.
Hujui ulichoandika! Yesu kamwe hakuzidiwa nguvu na haitatokea abadani! Yesu alijaribiwa na shetani ili maandiko yatimie. Yesu ana nguvu kubwa sana usipime, ndiyo maana yu hai leo!
 
Wewe fikiria katika akili yako,ni bora mwanamke kufanya kazi ya uke.Au bora mwanamme kupakatwa, ni kama Lazaro wa ndani ya Biblia alivyopakatwa na Ibrahim.Utachaguwa ukapakatwe na Ibrahimu?
Luka 16:19-31
Allah na mtume wao watachukua wangapi wangapi
Au pasu pasu hakuna mtu kumzidi mwingine
 
Wanazaliwa wengine,unafikiri miaka ya kutoka Yesu mpaka Mtume Muhammad ni padogo.
Kwahiyo tukubaliane kwamba majini ni waislam na ni wafuasi wa allah na waislam ni ndugu zao katika imaam si ndio???
 
Kwahiyo kuanzia hapa wakawa wafuasi wa yesu si ndio????
Wafikiri aliposema,mhubiri injili kwa kila kiumbe(jini pia kiumbe),hujui kama jini pia yumo katika kuhubiriwa
Marko 16:15 na Yohana 13:35
Akawaambia enendeni ulimwenguni mwote mkaihubiri injili kwa kila KIUMBE....
 
Kwahiyo tukubaliane kwamba majini ni waislam na ni wafuasi wa allah na waislam ni ndugu zao katika imaam si ndio???
Soma Luka 10:17-20
Halafu unambie hicho kitabu kilichoandikwa hayo ni cha dini gani.Ndio jibu hilo.
 
Hujui ulichoandika! Yesu kamwe hakuzidiwa nguvu na haitatokea abadani! Yesu alijaribiwa na shetani ili maandiko yatimie. Yesu ana nguvu kubwa sana usipime, ndiyo maana yu hai leo!
Hata Elia pia yuko hai,alichukuliwa mbinguni na upepo wa kisuli suli,na yeye ndiye wa kwanza kwenda mbinguni na kuwa hai,yeye atakuwa na nguvu zaidi:
2 Wafalme 2:1-18
 
Hujui ulichoandika! Yesu kamwe hakuzidiwa nguvu na haitatokea abadani! Yesu alijaribiwa na shetani ili maandiko yatimie. Yesu ana nguvu kubwa sana usipime, ndiyo maana yu hai leo!
Hata Elia pia yuko hai,alichukuliwa mbinguni na upepo wa kisuli suli,na yeye ndiye wa kwanza kwenda mbinguni na kuwa hai,yeye atakuwa na nguvu zaidi:
2 Wafalme 2:1-18
 
Tulia ni kupeni SOMO ,naona munadanganyana tu.jinni ni viumbe walikuwepo miaka Mingi sana hata b4 ya kuumbwa mwanadamu,Allah akahitaji aumbe mwanadamu duniani ndio akateremsha Malaika kuja kuwaangamiza na wengine wakauwawa wengi sana na wengine wakakimbia ktk majabali,baharini ,na maeneo mengine mafichoni,then Ndio wakamchukua Mtoto wa jinni wakampeleka mbinguni na akakulia huko lakn baadae akawa very genius kuliko malaika na. Hapo ndio akapewa cheo jina lake ni Azazil au Iblis na aliasi kwa Mungu baada ya kuasi akashushwa duniani na akabandikwa jina la Shetani baada ya kuasi.
Hawa majini asili yao wameumbwa kwa miale ya moto ,ushahidi huu unaopatikana baada ya Iblis kuasi kwa kutaaa kumpa heshima Nabii Adam baada ya kuumbwa.Iblis alisema siwezi kumsujudia kiumbe aliyeumbwa kwa udongo wakati mimi (Iblis)nimeumbwa kwa moto.
Kwa hiyo Iblis au Shetani ni jinni mkuu aliyemuasi Allah,na ameahidi kuwapotosha watu ili akaulingie nao motoni siku ya kiama,isipokuwa wale wanaomcha Mungu (Allah)sio miungu mengine ,
Iblis anashirikiana na majini wengine ktk kusudio Lao hilo la kupotosha watu ,na ameshatengeneza mtandao mkubwa sana hapa duniani anaingia mpk ktk baadhi ya dini hapa duniani lengo ni upotoshaji,(tafakari kwa kina acha ushabiki wingi wa diini zinazozuka kila siku)
Kwa hiyo kuna majini wema na wabaya km ilivyo kwa binaadam kwani lengo La viumbe woote ni kumcha Mungu (Allah)sio miungu wengineo.
Nalogoff ,nitarudi
 
Naona wakristo wameshindwa kuthibitisha kuwa Majini ndiyo Malaika waliyoasi waliyoelezwa kwenye biblia ila wanalazimisha kuwa majini ni malaika waliyoasi.

Yani malaika akiasi anakuwa jini ila ukimuuliza ni nini maana neno jini hajui.
Habari za majini makutoka Qur'an tukufu hizo hapo. Jini ameumbwa kwa upepo wa umoto, ndiyo maana kwa wakristo tunaita majini Pepo!

15:27.
Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto.

18:50.
Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu.

55:56.
Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.

46:29.
Na wakati tulipo waleta kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qur'ani. Basi walipo ihudhuria walisema: Sikilizeni! Na ilipo kwisha somwa, walirudi kwa kaumu yao kwenda kuwaonya.

6:112.
Na kadhaalika tumemfanyia kila Nabii maadui mashet'ani wa kiwatu, na kijini, wakifundishana wao kwa wao maneno ya kupamba-pamba, kwa udanganyifu. Na angeli penda Mola wako Mlezi wasingeli fanya hayo. Basi waache na wanayo yazua.

37:158.
Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa(Watashitakiwa.)
 
Jini ni jini na Shetani ni uovu tu haijalishi ni binaadamu au lah...Hata ww unaweza kuwa shetani na ndio maana YESU alimuita Petro shetani au unadhani alimshau jina lake?
 
Soma Luka 10:17-20
Halafu unambie hicho kitabu kilichoandikwa hayo ni cha dini gani.Ndio jibu hilo.
unajifanya kichaa, majini ni ndugu zenu bana.muhamad kayasilimisha yakamkiri kuwa mtume wao, halafu wewe unaleta mambo ya uzushi.

Yaani yakakiri kabisa allah na mtume wake.
 
Hata Elia pia yuko hai,alichukuliwa mbinguni na upepo wa kisuli suli,na yeye ndiye wa kwanza kwenda mbinguni na kuwa hai,yeye atakuwa na nguvu zaidi:
2 Wafalme 2:1-18
Sasa huoni kwamba huko kwenu hamna kitu.

Yaani si allah wala mtume wake wote chali.

Sio eliya tu hata bikra maria naye hakufa, una lingine????
 
Wafikiri aliposema,mhubiri injili kwa kila kiumbe(jini pia kiumbe),hujui kama jini pia yumo katika kuhubiriwa
Marko 16:15 na Yohana 13:35
Akawaambia enendeni ulimwenguni mwote mkaihubiri injili kwa kila KIUMBE....
Ni jukumu letu kama tulivyoagizwa.

Ila marko 16:16 inazuungumza nini kwa watakaokataa.???yaani waislam majini\watu na mtume wao.wasubiri balaa.
 
Back
Top Bottom