Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Majini ni malaika walio muasi Mungu pamoja na Shetani ,Majini yanatumiwa na shetani kutumikisha watu. wakrito wanayaita mapepo .Hakuna ushirika wowote kati ya ukristo na majini au mapepo ,kiufupi hayataki jina la Yesu. Ila kuna ushirika mkubwa kati ya uislamu na Majini ,wanaswali nayo wanasema ni maislamu .Mimi hapo ndio napata mashaka makubwa juu ya Dini hii.
Kwa bahati mbaya sana mambo yahusuyo majini katika imani ya Kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Quran na Hadithi za Muhammed, Mtume wa Waislamu, Vinatutaka sisi wakristo tumwamini allah S.W. mungu anayeabudiwa na Waislamu Misitikini.
Katika Suratul Waqia 51:56.
“ Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” katika Quran Suratul Al- Ankabut (Buibui), 29:46-47) “ Wala msibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake”.
Waliopewa kitabu kwa mujibu wa Quran ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmoja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W. wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!.
Muislam yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana katika Suratul Al- Baqarah (Ng’ombe Jike la Njano), 2:1-3.
“ Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam) yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.
Quran peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Quaran.
Tusomapo katika Quran Suratul al- Ahqaf, (Kichuguu cha mchanga) 46:29
“ Na (wakumbushe) tulipokuletea kundi la majini (kuja kwako) kusikiliza Quran. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana):- “ Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha (Somwa) walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya”.
Na ndani ya Quran kuna sura nzima inayoitwa sura ya majini (Mashetani) hiyo ni sura ya 72. katika sura hiyo inasema 72:1-3, 14. “ Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini liliisikia (Qurani) likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yoyote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana……………………. Nasi wamo miongoni mwetu na wamo miongoni mwetu waliokengeuka waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.
Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.
Akifafanua asili ya majini Mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdalllah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kisha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “ Maisha ya Nabii Mohammad” ule Uk. 31 anasema “ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu kama inavyoonesha haya katika Suratul Jinn. Majini ni viumbe vyepesi vinavyokaa angani. havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA. Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.
Suala linalohusu malaika linawasumbua sana waislam hata hawana uhakika wake.
Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaoitwa majini lakini tusomapo Quran inatoa maelezo tofauti.
Quran suratul As- Sajdah, (kusujudu) , 32:13 “ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- lililo jema na baya).
Katika ulimwengu wa Kiislamu Malaika wote ni8 wema na wanamwabudu mungu.
Hapa ndiyo tatizo linapoanzia. Quran iliyokuja baadaye inasema malaika wote ni wema wakati biblia kitalu kilichoitangulia Quran kinasema kuna malaika walioasi na wakafukuzwa katika utukufu wa Mungu.
Katika Quran Suratul, al- Kahf, (Pango) 18:50 “ Na (Kumbukeni) tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakamsujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya mola wake……..”
Katika aya hiyo tunaona ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa malaika kumbe kwa mujibu wa Quran Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao malaika yaani na yeye akiwa malaika.
Kwa sababu Quran haina habari kuhusu malaika walioasi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hayo majini ni mashetani, Muilsamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata mwislamu huyu anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika Ibada yake, soma katika (Irshadul Muslimiin, Sheikh Said Musa, Uk. 38).
Katika Tafsiri ya Quran ya Iman Jalalaini Uk. 6:151 anasema kuhusu majini “ Hao ni watoto wa Ibilisi”
Hii ndiyo sababu hata wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi msikitini kwa sababu kuna majini na chakula cha majini ni damu. Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waamini wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani “ (Asili ya majini, Dk. Ahmed H. Sakr Uk. 28) ndiyo maana baadhi ya waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.
Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani)
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani (Jini) katika sala basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi (yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Katika kitabu kiitwacho Asili ya Majini, cha Sheikh Dr Ahmad H. Sakr Uk. 116 anasema “ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujiviringisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo. Tafakari yetu kuwa hiyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja naye kwa mkewe ametumwa na nani?
Kaka nimeisoma vizuri sana makala,ila nimehitimisha ya kuwa unaelimu ndogo sana juu ya viumbe hao japokuwa umejaribu kunukuu katika baadhi ya vitabu vya waandishi wa kiislamu.Kaka kwanza kabisa umeogea uongo uliopetuka mipaka.Majini hawajawahi kuwa malaika.na huwezi kulithibitisha hilo popote uendapo.Majini ni viumbe walioumbwa kwa moto na malaika ni viumbe walioumbwa kwa nuru.

Malaika hawamuasi Mola mlezi,sasa unavyosema ya kuwa majini ni malaika walio muasi Mola mlezi,inabidi utuambie ya kuwa maneno haya umeyapata wapi ?

Naona maneno majini na mashetani yanakuchanganya sana katika kuyatumia,hii inatokana na wewe kutokuyajua vyema maneno hayo,nakupa faida,tamko shetani ni sifa,kwayo anaweza kuwa nayo binadamu au majini vile vile.Kwahiyo hapa tunahitimisha ya kuwa kuna shetani wa kijini na kuna shetani ya kibinadamu.Sasa unaposema "Majini yanatumiwa na shetani kuwatumiksha watu",unakuwa unamaanisha nini ?

Unaposema hakuna ushirika kati ya majini na ukiristo huu unaoleta ni ushabiki mahali ambapo si pake.Thibitisha kielimu madai yako hayo.
 
Majini ni malaika walio muasi Mungu pamoja na Shetani ,Majini yanatumiwa na shetani kutumikisha watu. wakrito wanayaita mapepo .Hakuna ushirika wowote kati ya ukristo na majini au mapepo ,kiufupi hayataki jina la Yesu. Ila kuna ushirika mkubwa kati ya uislamu na Majini ,wanaswali nayo wanasema ni maislamu .Mimi hapo ndio napata mashaka makubwa juu ya Dini hii.
Kwa bahati mbaya sana mambo yahusuyo majini katika imani ya Kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Quran na Hadithi za Muhammed, Mtume wa Waislamu, Vinatutaka sisi wakristo tumwamini allah S.W. mungu anayeabudiwa na Waislamu Misitikini.
Katika Suratul Waqia 51:56.
“ Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” katika Quran Suratul Al- Ankabut (Buibui), 29:46-47) “ Wala msibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake”.
Waliopewa kitabu kwa mujibu wa Quran ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmoja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W. wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!.
Muislam yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana katika Suratul Al- Baqarah (Ng’ombe Jike la Njano), 2:1-3.
“ Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam) yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.
Quran peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Quaran.
Tusomapo katika Quran Suratul al- Ahqaf, (Kichuguu cha mchanga) 46:29
“ Na (wakumbushe) tulipokuletea kundi la majini (kuja kwako) kusikiliza Quran. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana):- “ Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha (Somwa) walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya”.
Na ndani ya Quran kuna sura nzima inayoitwa sura ya majini (Mashetani) hiyo ni sura ya 72. katika sura hiyo inasema 72:1-3, 14. “ Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini liliisikia (Qurani) likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yoyote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana……………………. Nasi wamo miongoni mwetu na wamo miongoni mwetu waliokengeuka waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.
Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.
Akifafanua asili ya majini Mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdalllah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kisha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “ Maisha ya Nabii Mohammad” ule Uk. 31 anasema “ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu kama inavyoonesha haya katika Suratul Jinn. Majini ni viumbe vyepesi vinavyokaa angani. havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA. Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.
Suala linalohusu malaika linawasumbua sana waislam hata hawana uhakika wake.
Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaoitwa majini lakini tusomapo Quran inatoa maelezo tofauti.
Quran suratul As- Sajdah, (kusujudu) , 32:13 “ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- lililo jema na baya).
Katika ulimwengu wa Kiislamu Malaika wote ni8 wema na wanamwabudu mungu.
Hapa ndiyo tatizo linapoanzia. Quran iliyokuja baadaye inasema malaika wote ni wema wakati biblia kitalu kilichoitangulia Quran kinasema kuna malaika walioasi na wakafukuzwa katika utukufu wa Mungu.
Katika Quran Suratul, al- Kahf, (Pango) 18:50 “ Na (Kumbukeni) tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakamsujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya mola wake……..”
Katika aya hiyo tunaona ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa malaika kumbe kwa mujibu wa Quran Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao malaika yaani na yeye akiwa malaika.
Kwa sababu Quran haina habari kuhusu malaika walioasi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hayo majini ni mashetani, Muilsamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata mwislamu huyu anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika Ibada yake, soma katika (Irshadul Muslimiin, Sheikh Said Musa, Uk. 38).
Katika Tafsiri ya Quran ya Iman Jalalaini Uk. 6:151 anasema kuhusu majini “ Hao ni watoto wa Ibilisi”
Hii ndiyo sababu hata wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi msikitini kwa sababu kuna majini na chakula cha majini ni damu. Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waamini wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani “ (Asili ya majini, Dk. Ahmed H. Sakr Uk. 28) ndiyo maana baadhi ya waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.
Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani)
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani (Jini) katika sala basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi (yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Katika kitabu kiitwacho Asili ya Majini, cha Sheikh Dr Ahmad H. Sakr Uk. 116 anasema “ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujiviringisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo. Tafakari yetu kuwa hiyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja naye kwa mkewe ametumwa na nani?
Kaka naona umeamua kuubeba mzigo ambao huwezi kuubeba kamwe.Qur'an ina elimu yake,tena elimu yake hasa,Qur'an ina misingi yake ya kuitafsiri si kubabadua kama unavyofanya wewe,japokuwa umenukuu aya katika Qur'an na aya iko iwazi kabisa tena haihitaji akili nyingi kuielewa aya hiyo,Qur'an haisemi kama ibilisi alikuwa ni malaika,kama ulivyojitutumua kwa kuhitmisha kwa kusema ya kuwa kisa ibilisi alikuwa pamoja na malaika,kwahiyo ibilisi alikuwa ni malaika,bila shaka umeamua kupotosha ukweli ulio wazi kabisa.

Kisa cha ibilisi,kwa ufupi kipo hivi,Wao walivyokuwa wanaishi ulimwengu ilifikia kipindi wakafanya ufisadi na uharibifu mkubwa.Kipindi hicho ibilisi aliyelaaniwa alikuwa ni mwingi wa kuabudu,mpaka akapewa lakabu ya Aba Sajida (Yaani baba wa kusujudu) huku jina halisi likiwa ni Azaziri,kwa rehma zake Allah aliyejuu,akamchukua kiumbe wake huyo,kutokana wingi wake wa kufanya ibada akamuweka pamoja na kundi la majini wakawa wanaishi.Pindi Allah alipomuumba Adamu,na kutoa amri kwa malaika na ibilisi wampe heshima Adamu.Ibilisi aliyelaaniwa akakaidi amri,huku akisema haiwezekani mimi niliyeumbwa kwa moto nimsujudie kiumbe dhaifu kilichoumbwa kwa udongo.Kisa ni kirefu,kwa ufupi huo tunaona ya kuwa eidha ni kwa uchache wako wa elimu au kwa makusudi umeamua kuisemea uongo Qur'an,eti kwa mujibu wa Qur'an ibilisi ni malaika ? ! Wapi na wapi kasi na kusi ?

Ukiamua kusoma soma kweli kweli mzee.Ila kusoma ni jambo kando na kuelewa ni jambo lingine.
 
Majini ni malaika walio muasi Mungu pamoja na Shetani ,Majini yanatumiwa na shetani kutumikisha watu. wakrito wanayaita mapepo .Hakuna ushirika wowote kati ya ukristo na majini au mapepo ,kiufupi hayataki jina la Yesu. Ila kuna ushirika mkubwa kati ya uislamu na Majini ,wanaswali nayo wanasema ni maislamu .Mimi hapo ndio napata mashaka makubwa juu ya Dini hii.
Kwa bahati mbaya sana mambo yahusuyo majini katika imani ya Kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Quran na Hadithi za Muhammed, Mtume wa Waislamu, Vinatutaka sisi wakristo tumwamini allah S.W. mungu anayeabudiwa na Waislamu Misitikini.
Katika Suratul Waqia 51:56.
“ Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” katika Quran Suratul Al- Ankabut (Buibui), 29:46-47) “ Wala msibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake”.
Waliopewa kitabu kwa mujibu wa Quran ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmoja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W. wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!.
Muislam yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana katika Suratul Al- Baqarah (Ng’ombe Jike la Njano), 2:1-3.
“ Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam) yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.
Quran peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Quaran.
Tusomapo katika Quran Suratul al- Ahqaf, (Kichuguu cha mchanga) 46:29
“ Na (wakumbushe) tulipokuletea kundi la majini (kuja kwako) kusikiliza Quran. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana):- “ Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha (Somwa) walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya”.
Na ndani ya Quran kuna sura nzima inayoitwa sura ya majini (Mashetani) hiyo ni sura ya 72. katika sura hiyo inasema 72:1-3, 14. “ Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini liliisikia (Qurani) likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yoyote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana……………………. Nasi wamo miongoni mwetu na wamo miongoni mwetu waliokengeuka waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.
Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.
Akifafanua asili ya majini Mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdalllah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kisha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “ Maisha ya Nabii Mohammad” ule Uk. 31 anasema “ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu kama inavyoonesha haya katika Suratul Jinn. Majini ni viumbe vyepesi vinavyokaa angani. havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA. Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.
Suala linalohusu malaika linawasumbua sana waislam hata hawana uhakika wake.
Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaoitwa majini lakini tusomapo Quran inatoa maelezo tofauti.
Quran suratul As- Sajdah, (kusujudu) , 32:13 “ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- lililo jema na baya).
Katika ulimwengu wa Kiislamu Malaika wote ni8 wema na wanamwabudu mungu.
Hapa ndiyo tatizo linapoanzia. Quran iliyokuja baadaye inasema malaika wote ni wema wakati biblia kitalu kilichoitangulia Quran kinasema kuna malaika walioasi na wakafukuzwa katika utukufu wa Mungu.
Katika Quran Suratul, al- Kahf, (Pango) 18:50 “ Na (Kumbukeni) tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakamsujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya mola wake……..”
Katika aya hiyo tunaona ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa malaika kumbe kwa mujibu wa Quran Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao malaika yaani na yeye akiwa malaika.
Kwa sababu Quran haina habari kuhusu malaika walioasi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hayo majini ni mashetani, Muilsamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata mwislamu huyu anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika Ibada yake, soma katika (Irshadul Muslimiin, Sheikh Said Musa, Uk. 38).
Katika Tafsiri ya Quran ya Iman Jalalaini Uk. 6:151 anasema kuhusu majini “ Hao ni watoto wa Ibilisi”
Hii ndiyo sababu hata wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi msikitini kwa sababu kuna majini na chakula cha majini ni damu. Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waamini wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani “ (Asili ya majini, Dk. Ahmed H. Sakr Uk. 28) ndiyo maana baadhi ya waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.
Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani)
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani (Jini) katika sala basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi (yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Katika kitabu kiitwacho Asili ya Majini, cha Sheikh Dr Ahmad H. Sakr Uk. 116 anasema “ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujiviringisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo. Tafakari yetu kuwa hiyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja naye kwa mkewe ametumwa na nani?
Waislamu hawajawahi kupata tabu juu ya malaika hata kwa bahati mbaya.Allah ametufunza kila kitu na hajacha kitu.
 
Majini hawawezi kuzaa na binadamu wala kuona bali wala kumuingilia binadamu.
 
Kuran yako inajibu kuwa shetani au iblis ni kiumbe aliumbwa kwa Moto wa upepo umoto katika Sura 15:27. "Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto."

Na Allah katika Qur'an anasema huyo kiumbe ambaye ni iblis pia ndiyo huyo huyo miongoni mwa majini katika Sura 18:50 "Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je!......"
Hapo inaonyesha wazi Ibilisi ni mmojawapo wa majini. Kama Ibilisi ni mmoja wa Majini, basi naye atakuwa jini!

Swali zaidi la kujiuliza ni kwamba huyu Ibilisi ni nani? Qur'an inajibu kwa translation ya kiingereza katika al-baqara 2:34. "And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers." Qur'an haisemi kwamba we said to the angels and Satan to bow down, inasema we said to the angels to bow down. Na kama Satan siyo jina maana yake ni ushetani au kupinga, basi itamaanisha angel mmoja alifanya kupinga.

Kwa kiswahili kulingana na tafsiri ya Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani. Sura 2:34 inasema "Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri."
(Qur'ani Tukufu)
Hapo inaonyesha wazi kwamba iblis alikuwa malaika lakini miongoni mwa hao malaika iblis alikataa akawa muasi.

Narudi kwenye swali lako kama shetani ni kiumbe. Ndiyo shetani ni kiumbe kama malaika aliyekataa kumtii Allah akawa kafiri. Shetani, iblis na jini ni kitu kimoja.
Kaka umeanza vizuri sana kwa kunukuu aya kwazo zinathibitisha ya kuwa ibilisi ni jini,lakini nashangaa mwisho unanukuu aya na kuhitimisha ya kuwa ibilisi ni malaika.Nasikitika sana kwamba jambo dogo sana namna hii unashindwa kuling'amua.Msicho kijua nyinyi wakiristo ni kwamba Qur'an ni kitabu ambacho ndani yake kimetaja habari za watu wa kale na viumbe wa kale,yaani kimesimulia matukioa ya kihistoria,nawashangaa inakuwaje mnashindwa kuunganisha habari na matukio yake,umeshanukuu ya ibilisi ni jini,lakini ibilisi huyo huyo alikwa katika kundi la malaika,hapa hauthitaji hata kuwa bingwa katika lugha,laiti ibilisi angekuwa ni malaika,basi tamko la kundi la malaika lisingekuwepo,kilichofanyika hapo,katika ulimwengu wa lugha tunasema "Tamayyiz" yaani kutofautisha na kuvua.

Usiwe msahaulifu kiasi hicho mzee.
 
Uislamu kuna uongo na ukweli sio hoja yangu Mkuu, sina haja ya kuingilia hayo mm. Mi nko naitafuta tu kweli iniweke huru na kimsingi nimeshaipata. Wala haiko ktk dini zenu hizi, ila nabii Issa aka Yesu au Masiya, kanuni zake kama zilivyoainishwa na Bible ni bora sana. Nazikubali,binadamu wote tungezishi maisha duniani yangekuwa na maana saana.

Mwingine ni Buddha,, huyu na Yesu tofauti zao utazitafuta kwa tochi mkuu. Unapata logic ya mengi ktk falsafa zao. Niko naendelea na Quran, ila hadi nilipofikia Muhammad alikuwa mtu mwema kwa ndugu zake tu...... Ana mafundisho tata mengi sana, labda bado sijamjua sana, na hapa duniani hana wafuasi kwa siku hizi.

Kama ulifuatilia post zote kwa makini, kuna post nilikwambia hata wanyama mawe na mimea pia wana chembe za ukristu. Ukristu ni yote yaliyo fundishwa na Kristu, na si vinginevyo. Si haya madhehebu haya tuyaonayo. Ingawa hata huko atakaye yashika mafundisho vyema, atakuwa mzuri. Mungu ni UPENDO, dini ni UPENDO, kanuni kuu ni UPENDO, sheria kuu ni UPENDO,,,, ili kufikia hapa, mtendee jirani yako vile upendavyo wewe kutendewa. Jirani hapa si mkristu mwenzako au mtanzania, au binadamu au mammals mwenzako, bali ni chochote chenye KUTHIRIKA na matendo yako.

Mfano we ni dereva, uko barabarani unadrive, mbwa anakatisha. Yesu anakwambia umtendee huyo mbwa kama vile we ungependa kutendewa. Kanuni ni fupi saaaana, badilishaneni viatu tu, we vaa vya mbwa na mbwa mpe vyako, then jiulize ungependa binadamu akufanyiaje we mbwa ukiwa unakatisha barabara? Jibu lako ndo ukipaswacho kumtendea mbwa.

Huu ndo ukristu, ndo Ukweli wa maisha na ndo maana ya kuishi na dhima ya kuishi. Mungu alitaka maisha yawe hivyo, maisha ya viumbe yanategemeana, binadamu anategemea mimea, anamtegemea hata nzi na mbu ktk kuishi kwake. Viumbe vyote ni bora, UPENDO kwa vyote.

Tatzo hapa, kanuni za kiislamu. Jinsi mtu anavyoubobea ndivyo uso wake unavyopoteza nuru ya UPENDO. Wenye akili hujiuliza kwanini? Majibu ya maswali hayo ndo yamefikisha hapa ktk mjadala huu wa leo tangu asubuhi.
Kaka unaweza kuniorodheshea tata na uongo upatikanao katika uislamu ?
Kiutendaji kauli yako ipo tofauti na matendo,umesema upo katika safari ya kuitafuta kweli ili ikuweke huru,wakati huo huo kwamba unaupigia chapuo ukiristo kwa ndio wa kweli,hivi unafikri utaifikia ile safari yako ya kuipata hiyo kweli unayoitafuta mzee ? Kwa ufupi huwezi kuifikia,utaishia kuwa mshabiki mpaka mauti yanakufika.
 
Kuna baadhi ya waislamu wanadai eti ndani ya dini ya kiislamu hupo ukweli na uwongo. Nachojua wewe kama muislamu unaamini uislamu una ukweli mtupu kwa kuwa ni dini ya mwenyewe Mungu Allah. Sasa labda utanisaidia je ni uwongo hupi huo ambao hupo?
Embu jaribu kuwauliza hao waislamu wanao dai ya kuwa ndani ya uislamu kuna uongo na ukweli,wakisha kupa jibu tutakupa jibu la swali ulilouliza.
 
Okay! Ni kwamba ukristu hautegemei mapungufu ya uislamu ktk kujisimamia. Yenyewe inajitosheleza. Hivyo muhubiri wa Kikristu hana haja ya kuitaja imani ya kiislamu ili mahubiri yake yawe na mashiko. Nilikuwa nikijibu hoja kwamba makanisa yanaongea propaganda juu ya uislamu.

Hili liko wazi, kuanzia Quran yenyewe na uislamu, kuwa hauwezi kujisimamisha wenyewe pasi na kuongelea kinyume cha yafungamanayo na Ukristu. Umenipata?
Wakiristo muwe waoga na haya mnayoyazusha wazee.Vipi hamna mbawa na mnataka kupaa ? Ipitie tena na tena kauli yako ya mwisho.Hivi unaijua Qur'an mzee au unaiskia ? Je unaujua uislamu wewe au unausikia ? Allha aliyetukuka ana sema katika surat al-Maida "Leo hii nimewakamilishieni dini yenu,na nimetimilza neema zangu kwenu na nimeuridhia uislamu kuwa dini yenu" au kama alivyosema Allah.
 
Acheni kudangnya nyie waislamu eti majini nao waliumbwa na mngu naomba muelwe kua majini kma walvo mashetsni wengne ni malaika wachafu walioasi na waliotupwa katoka ufalme wa mngu na kuwekwa ktka hukumu ya moto wore walkua malaika zaman ila wakaasi kwa kumtii lusifer nackutupwa wte kuzmu HVO majin hyskuumbwa moja kwa moja ni majini Ila ndo HVO ni pepo wachafu tu kma wengne ndo mana wanaliogopa xna Nina LA yesu Kristo kwani huadhbu pale. Wamshkliapo bnadamu ,pia majini ni asili ileile tuvya wapepo wachafu pmoja na mizimu yote
Hapa kazi ipo.
 
Embu jaribu kuwauliza hao waislamu wanao dai ya kuwa ndani ya uislamu kuna uongo na ukweli,wakisha kupa jibu tutakupa jibu la swali ulilouliza.
Muislamu mwenzenu ndiye alidai hivyo na yuko humu humu na siitaji kumjadili zaidi sababu alikuwa na lugha mbaya na alikosa adabu. Hatahivyo, yeye huyo nafikiri ni muislamu koko maana alikuwa more interested na kulemba Kiingereza chake zaidi ya maandiko yenye ushaidi wa kimaandiko. Yeye alidai kwa lugha ya Kiingereza kwamba "In Islam there's truth and untruth." sasa sijui je hiyo untruth ni hipi, maana waislamu wote wana amini uislamu ni dini ya mienyezi Mungu Allah. Na Allah hawezi kuwa na dini ya uwongo au hisiyo kweli.
I hope utaweza jibu hilo swali maana muhusika alishindwa jibu!
 
Kaka umeanza vizuri sana kwa kunukuu aya kwazo zinathibitisha ya kuwa ibilisi ni jini,lakini nashangaa mwisho unanukuu aya na kuhitimisha ya kuwa ibilisi ni malaika.Nasikitika sana kwamba jambo dogo sana namna hii unashindwa kuling'amua.Msicho kijua nyinyi wakiristo ni kwamba Qur'an ni kitabu ambacho ndani yake kimetaja habari za watu wa kale na viumbe wa kale,yaani kimesimulia matukioa ya kihistoria,nawashangaa inakuwaje mnashindwa kuunganisha habari na matukio yake,umeshanukuu ya ibilisi ni jini,lakini ibilisi huyo huyo alikwa katika kundi la malaika,hapa hauthitaji hata kuwa bingwa katika lugha,laiti ibilisi angekuwa ni malaika,basi tamko la kundi la malaika lisingekuwepo,kilichofanyika hapo,katika ulimwengu wa lugha tunasema "Tamayyiz" yaani kutofautisha na kuvua.

Usiwe msahaulifu kiasi hicho mzee.
Kwahiyo umekubali kulingana na aya za quran kuwa ibilisi ni jini? Kama umekubali ni vizuri waislamu wenzako kwenye uzi huu wawe na taarifa. Na pia ingekuwa vizuri waislamu wakaelewa kuwa neno Jini, Ibilis, Pepo na Shetani/Satan ni kiumbe huyo huyo. Yeye ana majina mengi tu! Kwahiyo naomba uwaelimisha waislamu wenzako.

Mimi siko interested na watu wa kale, matukio, viumbe wa kale au historia. Mimi nilitaka kuthibitisha Shetani ni nani kulingana na Qur'an. Na kwa bahati nzuri Qur'an hiyohiyo ikatupa jibu ingawa siyo direct answer, lakini jibu lilikuwa la kuridhisha.
Qur'an ilitupa jibu kwamba kulikuwa na mmojawapo miongoni mwa malaika aliyekataa kusujudu, na malaika huyo alikuwa anaitwa iblis.
Wacha Qur'an itupe jibu katika Sura 2:34 ikisema " Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri."
Hapo ni wazi kabisa kwamba "Malaika waliambiwa." Siyo malaika na iblis waliambiwa! Kama malaika waliambiwa basi iblis alikuwa miongoni mwa malaika sijui ubishi wako wa kutoelewa unatoka wapi! Hamna obscurity wala confusion yeyote. Wala simuitaji imam, Sheik au scholar anisaidiye kwa hilo.

Na zaidi katika tafsiri ya Qur'an ya kiingereza pale kwenye iblis imeandika Satan. Tusome tena Al-baqara 2:34. "And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers."
Mimi kwa hilo andiko niko satisfied kwamba Shetani alikuwa mmoja wa malaika aliyekatwa satan au iblis. Na kwa taarifa yako nina akili zangu timamu na wala siyo Mzee.
 
Muislamu mwenzenu ndiye alidai hivyo na yuko humu humu na siitaji kumjadili zaidi sababu alikuwa na lugha mbaya na alikosa adabu. Hatahivyo, yeye huyo nafikiri ni muislamu koko maana alikuwa more interested na kulemba Kiingereza chake zaidi ya maandiko yenye ushaidi wa kimaandiko. Yeye alidai kwa lugha ya Kiingereza kwamba "In Islam there's truth and untruth." sasa sijui je hiyo untruth ni hipi, maana waislamu wote wana amini uislamu ni dini ya mienyezi Mungu Allah. Na Allah hawezi kuwa na dini ya uwongo au hisiyo kweli.
I hope utaweza jibu hilo swali maana muhusika alishindwa jibu!
Uislamu ni mkweli mtupu....
 
Hujajibu swali la msingi kwanini binadamu anayeasi hamwiti shetani/jini?
Embu tumia akili sasa.

Binadamu ni malaika!!!, binaadam akikosa anapewa nafasi ya kutubu kwa gharama yoyote.

Malaika muasi hana nafasi hiyo, na kwa kujua hilo akaahidi kupoteza binaadam.
 
Kwahiyo umekubali kulingana na aya za quran kuwa ibilisi ni jini? Kama umekubali ni vizuri waislamu wenzako kwenye uzi huu wawe na taarifa. Na pia ingekuwa vizuri waislamu wakaelewa kuwa neno Jini, Ibilis, Pepo na Shetani/Satan ni kiumbe huyo huyo. Yeye ana majina mengi tu! Kwahiyo naomba uwaelimisha waislamu wenzako.

Mimi siko interested na watu wa kale, matukio, viumbe wa kale au historia. Mimi nilitaka kuthibitisha Shetani ni nani kulingana na Qur'an. Na kwa bahati nzuri Qur'an hiyohiyo ikatupa jibu ingawa siyo direct answer, lakini jibu lilikuwa la kuridhisha.
Qur'an ilitupa jibu kwamba kulikuwa na mmojawapo miongoni mwa malaika aliyekataa kusujudu, na malaika huyo alikuwa anaitwa iblis.
Wacha Qur'an itupe jibu katika Sura 2:34 ikisema " Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri."
Hapo ni wazi kabisa kwamba "Malaika waliambiwa." Siyo malaika na iblis waliambiwa! Kama malaika waliambiwa basi iblis alikuwa miongoni mwa malaika sijui ubishi wako wa kutoelewa unatoka wapi! Hamna obscurity wala confusion yeyote. Wala simuitaji imam, Sheik au scholar anisaidiye kwa hilo.

Na zaidi katika tafsiri ya Qur'an ya kiingereza pale kwenye iblis imeandika Satan. Tusome tena Al-baqara 2:34. "And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers."
Mimi kwa hilo andiko niko satisfied kwamba Shetani alikuwa mmoja wa malaika aliyekatwa satan au iblis. Na kwa taarifa yako nina akili zangu timamu na wala siyo Mzee.
Unaposema Qur'an imesema kulikuwa na mmoja wapo miongoni mwa malaika,kauli hii si sahihi.Na si sawa kusema kusema shetani tu,kusema hivyo haitoshi,pambanua ya kuwa shetani wa kijini au shetani wa kibinadamu.Ibilisi ni shetani wa kijini.

Halafu sina uhakika ya kuwa jini,shetani ni mapepo.Kama unaweza kulithibitisha hilo kielimu itakuwa bora zaidi ili tupate faida.Nithibitishie ya kuwa pepo ni jini mzee.

Pia mimi sio kwamba nakubali tu ya kuwa ibilisi ndio jini,bali mimi naamini kabisa ibilisi ni jini na huo ndio ukweli wenyewe,kwahiyo kushukuru kwako hakuna maana katika hili,kwani nimekutangulia katika hili kwa umbali mrefu sana.
 
Kaka unaweza kuniorodheshea tata na uongo upatikanao katika uislamu ?
Kiutendaji kauli yako ipo tofauti na matendo,umesema upo katika safari ya kuitafuta kweli ili ikuweke huru,wakati huo huo kwamba unaupigia chapuo ukiristo kwa ndio wa kweli,hivi unafikri utaifikia ile safari yako ya kuipata hiyo kweli unayoitafuta mzee ? Kwa ufupi huwezi kuifikia,utaishia kuwa mshabiki mpaka mauti yanakufika.
Umekosea, umesoma post yangu tu pasi na ya yule niliyemjibu au hukuzifatilia za nyuma. Nimesema " swala la uongo na ukweli ktk uislamu mm silizungumzii " Kaka uhuru nilionao naujua mm, na Kweli ninayoizungumza naijua mm pia, Kweli hii wala haitegemei kabisa hivyo imported Books zenu.

Mi naamini kweli iko wazi hata ndani ya nyoka unaiona, kwa simba, miti mawe nk. Sa ushabiki wangu juu ya Ukristu umeuona wapi hapo? Unajua naishije kiuhalisia? Ila logic ya Ukristu juu ya majini (mapepo waovu) ina mantiki sana kuliko hiyo ya kiislamu kuhusiana na majini, haieleweki. Iko tu kinadharia na kihadithi.

Swali kuu linaloumiza kichwa,ni kwanini uyahudi na ukristu uhubiri (vitangulizi vya uislamu) zihubiri tofauti kuhusiana na hivi viumbe ukilinganisha na uislamu?

Huoni hofu hapo hata kidogo kweli? Haya jumuisha na kauli za mtume alipotoka jabal hira kwa mkewe, bado tu huoni wenye hofu wanafikiri sana?

Ukristu na Uyahudi ungekuwa na hila gani ya kuvichukia viumbe vyema vilivyoumbwa na Mungu wao ili kwa pamoja vimuabudu? Haya maswali huwa hamjiulizi mnamezeshwa tu?

Vuta picha, kama kweli jini ni malaika muhasi, na ndiye aliyempa maelekezo Muhammad kule Jabal hira, unadhani angemwambiaje kuhusu race ya majini? Kweli hapo hamfiki ktk kufikiri?

Uwezi kufikia hapo kwakuwa hauko huru, una vifungo, funguka. Na ili ukamatike vizuri, kufunguka ni dhambi ktk uislamu, hata kuitafutatafuta kweli juu ya Mungu ni dhambi, tena mnaambiwa kuna mambo binadamu msijisumbie nayo, lock.

Haya, matendo si ya waumini mi si mdogo kihivyo, nazungumzia ya kidini. Yale yaliyohalalishwa na dini, yanalingana na mafundisho mengi juu ya wale malaika waovu aka majini. Mfano, mavazi, siku za ibada, manukato, vyakula na vinywaji, lugha kimaandishi, sherehe, nyakati na masaa, mauaji nk.

Najua unajua kuwa uislamu unatambua kuwa siku ya saba ya juma ni jumamosi, je unajua mantiki ya namba saba? Vipi kuhusu sita nayo? Kwanini ya kiislamu yatokee siku ya sita ktk maana ya hiyo namba?

Ashikwae na uislamu huwa mkatili sana, ready to Kill, unahisi wafuasi wa Yesu na wa mtume wapi walibananishwa pabaya sana? Yesu hakuwa tayari kuua, ndo mafundisho aliyokuja nayo, vipi Mungu kaona alikosea akabadili itikadi miaka mia sita baadae? Yapo mafundisho mengi aliyoyaleta nabii Issa ambayo mtume Muhammad amekwenda nayo kinyume, mfano adhabu na hukumu, je hawa ingewezekanaje wautoe ujumbe wao toka kwa Mola mmoja ktk mfululizo mmoja ulionyooka?

Ktk imani zote, hata ubuntu, ubudha nk unaonesha Mungu no Bwana wa UPENDO, hivyo Yesu (wa kibiblia) na mafundisho yake yanamuwakilisha Mungu zaidi.... hili haliwezi kupingwa na yeyote labda na mpinzani wa Mungu, nani huyu?

Kuna la uongo nimelinena hapo? Nisaidie niikaribie KWELI.
 
Kwahiyo umekubali kulingana na aya za quran kuwa ibilisi ni jini? Kama umekubali ni vizuri waislamu wenzako kwenye uzi huu wawe na taarifa. Na pia ingekuwa vizuri waislamu wakaelewa kuwa neno Jini, Ibilis, Pepo na Shetani/Satan ni kiumbe huyo huyo. Yeye ana majina mengi tu! Kwahiyo naomba uwaelimisha waislamu wenzako.

Mimi siko interested na watu wa kale, matukio, viumbe wa kale au historia. Mimi nilitaka kuthibitisha Shetani ni nani kulingana na Qur'an. Na kwa bahati nzuri Qur'an hiyohiyo ikatupa jibu ingawa siyo direct answer, lakini jibu lilikuwa la kuridhisha.
Qur'an ilitupa jibu kwamba kulikuwa na mmojawapo miongoni mwa malaika aliyekataa kusujudu, na malaika huyo alikuwa anaitwa iblis.
Wacha Qur'an itupe jibu katika Sura 2:34 ikisema " Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri."
Hapo ni wazi kabisa kwamba "Malaika waliambiwa." Siyo malaika na iblis waliambiwa! Kama malaika waliambiwa basi iblis alikuwa miongoni mwa malaika sijui ubishi wako wa kutoelewa unatoka wapi! Hamna obscurity wala confusion yeyote. Wala simuitaji imam, Sheik au scholar anisaidiye kwa hilo.

Na zaidi katika tafsiri ya Qur'an ya kiingereza pale kwenye iblis imeandika Satan. Tusome tena Al-baqara 2:34. "And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers."
Mimi kwa hilo andiko niko satisfied kwamba Shetani alikuwa mmoja wa malaika aliyekatwa satan au iblis. Na kwa taarifa yako nina akili zangu timamu na wala siyo Mzee.
Nionyeshe wapi Qur'an imesema ibilisi ni Malaika ? Kusoma maandishi hakutoshi kuelewa ndio kitu cha msingi.Umetuthibitishia kabisa katika uislamu ibilisi ni jini na huku unatuambia ibilisi ni malaika.Muwe mnaelewa mambo jamaa.
 
Kwahiyo umekubali kulingana na aya za quran kuwa ibilisi ni jini? Kama umekubali ni vizuri waislamu wenzako kwenye uzi huu wawe na taarifa. Na pia ingekuwa vizuri waislamu wakaelewa kuwa neno Jini, Ibilis, Pepo na Shetani/Satan ni kiumbe huyo huyo. Yeye ana majina mengi tu! Kwahiyo naomba uwaelimisha waislamu wenzako.

Mimi siko interested na watu wa kale, matukio, viumbe wa kale au historia. Mimi nilitaka kuthibitisha Shetani ni nani kulingana na Qur'an. Na kwa bahati nzuri Qur'an hiyohiyo ikatupa jibu ingawa siyo direct answer, lakini jibu lilikuwa la kuridhisha.
Qur'an ilitupa jibu kwamba kulikuwa na mmojawapo miongoni mwa malaika aliyekataa kusujudu, na malaika huyo alikuwa anaitwa iblis.
Wacha Qur'an itupe jibu katika Sura 2:34 ikisema " Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri."
Hapo ni wazi kabisa kwamba "Malaika waliambiwa." Siyo malaika na iblis waliambiwa! Kama malaika waliambiwa basi iblis alikuwa miongoni mwa malaika sijui ubishi wako wa kutoelewa unatoka wapi! Hamna obscurity wala confusion yeyote. Wala simuitaji imam, Sheik au scholar anisaidiye kwa hilo.

Na zaidi katika tafsiri ya Qur'an ya kiingereza pale kwenye iblis imeandika Satan. Tusome tena Al-baqara 2:34. "And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers."
Mimi kwa hilo andiko niko satisfied kwamba Shetani alikuwa mmoja wa malaika aliyekatwa satan au iblis. Na kwa taarifa yako nina akili zangu timamu na wala siyo Mzee.
Ingekuwa ni ibilisi ni malaika basi asingepambanuliwa kwa jina.Lakini ametajwa kwa jina ili atu wapambanukiwe ya kuwa ibilisi alikuwa katika kundi la malaika,yaani katika lile kundi la malaika naye ibilisi alikuwemo.Mfano sahali,ukiambiwa katika msafara wa mamba na kenge wamo,hii haimaanishi kenge nao ni mamba,bali umefafanuliwa tu ili upate kumakinika na kupata ujumbe uliokusudiwa.Mfano mwingine ni kuwa,chukulia ya kuwa kuna mbuzi anaitwa mkono,katika malezi mbuzi yule alikuwa pamoja na kondoo kadhaa,siku nilipowaswaga kwenda malishoni kondoo wote walienda kula isipokuwa mkono.Hapa katu huwezi kusema mkono naye ni kondoo kisa alikuwemo katika kundi la kondoo,achilia mbali hapo kabla ulishapewa habari ya kuwa mkono ni mbuzi.Sasa ukija kutuambia tena mbuzi huyo kaja kuwa kondoo,bila shaka wewe una elimu ya ziada juu ya mabadiliko hayo,na unatakiwa utueleze vipi mbuzi kawa kondoo.Ukishindwa kutuonyesha lazima utakuwa na ususuavu wa moyo na ufikiriaji wa kitoto.Wakiristo mjifunze kuweka kila kitu mahala pake.
 
Kwahiyo umekubali kulingana na aya za quran kuwa ibilisi ni jini? Kama umekubali ni vizuri waislamu wenzako kwenye uzi huu wawe na taarifa. Na pia ingekuwa vizuri waislamu wakaelewa kuwa neno Jini, Ibilis, Pepo na Shetani/Satan ni kiumbe huyo huyo. Yeye ana majina mengi tu! Kwahiyo naomba uwaelimisha waislamu wenzako.

Mimi siko interested na watu wa kale, matukio, viumbe wa kale au historia. Mimi nilitaka kuthibitisha Shetani ni nani kulingana na Qur'an. Na kwa bahati nzuri Qur'an hiyohiyo ikatupa jibu ingawa siyo direct answer, lakini jibu lilikuwa la kuridhisha.
Qur'an ilitupa jibu kwamba kulikuwa na mmojawapo miongoni mwa malaika aliyekataa kusujudu, na malaika huyo alikuwa anaitwa iblis.
Wacha Qur'an itupe jibu katika Sura 2:34 ikisema " Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri."
Hapo ni wazi kabisa kwamba "Malaika waliambiwa." Siyo malaika na iblis waliambiwa! Kama malaika waliambiwa basi iblis alikuwa miongoni mwa malaika sijui ubishi wako wa kutoelewa unatoka wapi! Hamna obscurity wala confusion yeyote. Wala simuitaji imam, Sheik au scholar anisaidiye kwa hilo.

Na zaidi katika tafsiri ya Qur'an ya kiingereza pale kwenye iblis imeandika Satan. Tusome tena Al-baqara 2:34. "And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers."
Mimi kwa hilo andiko niko satisfied kwamba Shetani alikuwa mmoja wa malaika aliyekatwa satan au iblis. Na kwa taarifa yako nina akili zangu timamu na wala siyo Mzee.
Kuwa na akili timamu sio sababu ya kukufanya wewe uweze kung'amua mambo ya kielimu kama haya,na kuwa na akili timamu kwako ndio kumefanya uangukie pua katika jambo rahisi kama hili.Cha msingi ni kuwa na AKILI SALAMA sio AKILI TIMAMU mzee.Halafu ulivyopata mghafala eti "mimi ni akili timamu siyo mzee" kwa hiyo wazee hawana akili timamu wala akili iliyo salama.
 
Wakiristo muwe waoga na haya mnayoyazusha wazee.Vipi hamna mbawa na mnataka kupaa ? Ipitie tena na tena kauli yako ya mwisho.Hivi unaijua Qur'an mzee au unaiskia ? Je unaujua uislamu wewe au unausikia ? Allha aliyetukuka ana sema katika surat al-Maida "Leo hii nimewakamilishieni dini yenu,na nimetimilza neema zangu kwenu na nimeuridhia uislamu kuwa dini yenu" au kama alivyosema Allah.
Nakuambia kitu Mkuu! Hakuna mkristu anaeamini kwamba Mungu ameshawahi zaa mtoto biologically, bali yeyote amwaminie hufanywa kuwa mwana wa Mungu. Viumbe wote waaminifu kwake ni wana aka waja wa Mungu. Haya fananisha logic hiyo na mafundisho au upingaji ulioko kwenye Quran, ni Mungu huyo mwenye kuweza kupingana na hilo?
 
Back
Top Bottom