Je, asili ya majini ni ipi?

Je, asili ya majini ni ipi?

Kwa bahati mbaya sana mambo yahusuyo majini katika imani ya Kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Quran na Hadithi za Muhammed, Mtume wa Waislamu, Vinatutaka sisi wakristo tumwamini allah S.W. mungu anayeabudiwa na Waislamu Misitikini.
Katika Suratul Waqia 51:56.
“ Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu” katika Quran Suratul Al- Ankabut (Buibui), 29:46-47) “ Wala msibishane na watu waliopewa kitabu (kabla yenu) ila kwa yale (majadiliano) yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tunaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake”.
Waliopewa kitabu kwa mujibu wa Quran ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmoja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W. wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!.
Muislam yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana katika Suratul Al- Baqarah (Ng’ombe Jike la Njano), 2:1-3.
“ Alif Lam Mym. Hiki ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ni uongozi kwa wamchao mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadaam) yamesemwa na mwenyezi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.
Quran peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Quaran.
Tusomapo katika Quran Suratul al- Ahqaf, (Kichuguu cha mchanga) 46:29
“ Na (wakumbushe) tulipokuletea kundi la majini (kuja kwako) kusikiliza Quran. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana):- “ Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha (Somwa) walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya”.
Na ndani ya Quran kuna sura nzima inayoitwa sura ya majini (Mashetani) hiyo ni sura ya 72. katika sura hiyo inasema 72:1-3, 14. “ Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini liliisikia (Qurani) likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yoyote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana……………………. Nasi wamo miongoni mwetu na wamo miongoni mwetu waliokengeuka waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.
Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Quran ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Quran imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.
Akifafanua asili ya majini Mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdalllah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kisha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “ Maisha ya Nabii Mohammad” ule Uk. 31 anasema “ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu kama inavyoonesha haya katika Suratul Jinn. Majini ni viumbe vyepesi vinavyokaa angani. havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA. Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.
Suala linalohusu malaika linawasumbua sana waislam hata hawana uhakika wake.
Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaoitwa majini lakini tusomapo Quran inatoa maelezo tofauti.
Quran suratul As- Sajdah, (kusujudu) , 32:13 “ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- lililo jema na baya).
Katika ulimwengu wa Kiislamu Malaika wote ni8 wema na wanamwabudu mungu.
Hapa ndiyo tatizo linapoanzia. Quran iliyokuja baadaye inasema malaika wote ni wema wakati biblia kitalu kilichoitangulia Quran kinasema kuna malaika walioasi na wakafukuzwa katika utukufu wa Mungu.
Katika Quran Suratul, al- Kahf, (Pango) 18:50 “ Na (Kumbukeni) tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakamsujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya mola wake……..”
Katika aya hiyo tunaona ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa malaika kumbe kwa mujibu wa Quran Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao malaika yaani na yeye akiwa malaika.
Kwa sababu Quran haina habari kuhusu malaika walioasi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hayo majini ni mashetani, Muilsamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata mwislamu huyu anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika Ibada yake, soma katika (Irshadul Muslimiin, Sheikh Said Musa, Uk. 38).
Katika Tafsiri ya Quran ya Iman Jalalaini Uk. 6:151 anasema kuhusu majini “ Hao ni watoto wa Ibilisi”
Hii ndiyo sababu hata wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi msikitini kwa sababu kuna majini na chakula cha majini ni damu. Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waamini wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani “ (Asili ya majini, Dk. Ahmed H. Sakr Uk. 28) ndiyo maana baadhi ya waislam wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.
Kwa sababu wao waislamu hawajui kupambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale malaika watakatifu wa Mungu Jehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na anamfanyia atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani)
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohamed Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 Hadithi Na. 74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani (Jini) katika sala basi anapuliza (anampuliza) katika matako yake, basi (yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala}) mpaka asikie sauti ( ya kutoka upepo) au anuse harufu ( ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).
Huyo shetani, au jinni anayekuwa karibu sana na huyu mwamini wa kiislamu hamchezei tu mwislamu katika matako yake kama tulivyosoma hapo juu bali pia anapofanya tendo la ndoa .
Katika kitabu kiitwacho Asili ya Majini, cha Sheikh Dr Ahmad H. Sakr Uk. 116 anasema “ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujiviringisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo. Tafakari yetu kuwa hiyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja naye kwa mkewe ametumwa na nani?
Neno shetani linatumika hadi kwa binadamu endapo anafanya maasi au linatumika kwa malaika tu ambaye anafanya maasi?
 
Majini ni mashetan ambayo humwabudu allah na lucifer ndo maana hakuna utofauti kati ya allah na lucifer hata kama upo lakin ni wa kutafuta kwa toch
Ina lusifa ni mungu...?
 
Neno shetani linatumika hadi kwa binadamu endapo anafanya maasi au linatumika kwa malaika tu ambaye anafanya maasi?

Je, Shetani ni kiumbe halisi? Ikiwa ndivyo, alitoka wapi? Je, yeye ndiye nguvu isiyoonekana inayosababisha matatizo ambayo wanadamu wanakabili? Unaweza kuepukaje kuathiriwa na uvutano wake?
Biblia Inasema Nini?
Biblia inamfafanua Shetani kuwa kiumbe halisi ambaye yuko katika makao ya roho. ( ) Inatueleza kuhusu sifa zake za ukatili kutia ndani matendo yake ya uovu. (
) Pia inasimulia mazungumzo kati ya Shetani na Mungu na pia kati yake na Yesu.— .
Kiumbe huyo mwovu alitoka wapi? Muda mrefu kabla ya mwanadamu kuumbwa, Mungu alimuumba Mwana wake “mzaliwa wa kwanza,” ambaye alikuja kuitwa Yesu. ( ) Baada ya muda, ‘wana wengine wa Mungu,’ wanaoitwa malaika, wakaumbwa. ( ) Wote walikuwa wakamilifu na waadilifu. Hata hivyo, mmoja kati ya malaika hao akaja kuwa Shetani.
Malaika huyo hakuitwa Shetani alipoumbwa. Jina hilo ni la kumfafanua, na linamaanisha “Mpinzani; Adui; Mshtaki.” Alikuja kuitwa Shetani kwa sababu alichagua kumpinga Mungu.
Kiumbe huyo wa roho akaanza kukuza hisia za kiburi na za kushindana na Mungu. Alitaka wengine wamwabudu yeye. Mwana mzaliwa wa kwanza wa Mungu alipokuwa hapa duniani, Shetani alimtaka Yesu ‘amfanyie tendo la ibada.’—
.
Shetani “hakusimama imara katika kweli.” ( ) Alidai kwamba Mungu alikuwa mwongo, ilhali kwa kweli, yeye ndiye alikuwa mwongo. Alimwambia Hawa kwamba angekuwa kama Mungu, lakini ni yeye hasa aliyetaka kuwa kama Mungu. Na kupitia mbinu zake za ujanja, alitosheleza tamaa yake yenye ubinafsi. Alimfanya Hawa amwone kuwa mkuu kuliko Mungu. Kwa kumtii Shetani, Hawa alimkubali kuwa mungu wake.—
.
Kwa kuchochea uasi, malaika huyo ambaye awali alikuwa mwenye kuaminika akawa Shetani, yaani, mpinzani na adui ya Mungu na wanadamu. Neno “Ibilisi,” linalomaanisha “Mchongezi,” likawa pia jina la malaika huyo mwovu. Malaika huyo ambaye aliongoza katika kutenda dhambi mwishowe aliwachochea malaika wengine wakose kumtii Mungu na wamwasi kama yeye. (
) Kwa kufanya hivyo malaika hao waliwaongezea wanadamu shida. Kwa sababu ya kuiga njia za Shetani zenye ubinafsi, “
hivyo mwanadamu akiitwa shetani ametukanwa ni sawasawa na mwanadamu akiitwa mnyama si kweli kwamba ni mnyama ila kwasababu ameonyesha tabia za kinyama .
Usidanganywe hakuna jini au pepo safi wote hao ni malaika walio muasi Mungu pamoja na shetani akiwa malaika wa sifa. Soma Biblia Qur ani imesema usome biblia au uniulize mimi niliyepewa kitabu kabla yako ,sasa na kuambia HAKUNA JINI SAFI yote ni mashetani
 
KUHUSU MITUME YA KIJINI, SINA UHAKIKA NALO, NA WALA SIJAWAHI KUSIKIA WALA KUFUNDISHWA, MITUME WALIOLETWA NI WA KIBINADAMU TU, LABDA KM KUNA ANAYEJUA ZAIDI HUMU. ILA NNACHOJUA NI KWAMBA KUNA MAJINI WAOVU NA WEMA, KM TULIVYO BINADAMU, MAJINI WEMA HUPENDA KUINGIA AU KUTEMBELEA NYUMBA ZA WATU WEMA NA WAOVU HUPENDELEA NYUMBA ZA WATU WAOVU AU WAPENDAO ANASA ILI KUKUSHAWISHI ZAIDI KUFANYA MAMBO MABAYA NA ANASA AU DHAMBI BILA YA WEWE KUJIJUA, COZ AMEPEWA UWEZO WA KUKUINGIA.

WALIISHI KM TUNAVYOISHI ILA HAWAJAPEWA AKILI KM YETU YA KUFANYA MAMBO YA KIMAENDELEO KM KUJENGA NYUMBA, NDO MAANA UNASIKIA WAO WANAISHI NDANI Y BAHARI, WANATEMBEA ANGANI, NK.
WANAZAA, WANAOANA, WANA FAMILIA NK.

NA NI NDIO WANAKUFA KM TUNAVYOKUFA, ILA TOFAUTI NI KWAMBA WAO WANAISHI UMRI MREFU ZAIDI YETU, MIAKA 200, 500, 1000 NA KUENDELEA, ILA KILA MMOJA CKU YAKE YA KUFA INAPOFIKA LAZIMA AFE, KWANI MW. MUNGU KISHA SEMA KILA KIUMBE KITAONYA UMAUT, SO SWALA LA KUFA LIKO WAZI.

WANAOJUA ZAIDI WANAWEZA KUNILEKEBISHA.
Mkuu sijawahi ona jini lina mwamuru mtu kufanya mambo maovu majini au mashetan yote huwa amuru wafu kufanya ibada kuwa swala tano na kuongea lugha la allah pamoja na kuvaa kanzu na hijabu na kusilimu dini yaan kuwa mwisilamu hilo jin la mambo maovu sijawahi kuliona kwakweli aisee acha uongo jamaa yangu

majin ni mashetani ambayo baba yao ni lucifer hawana utofaut na allah maana mashetan humwabudu allah na kuwalazimisha watu kwenda kuswali msikitin
 
Je, Shetani ni kiumbe halisi? Ikiwa ndivyo, alitoka wapi? Je, yeye ndiye nguvu isiyoonekana inayosababisha matatizo ambayo wanadamu wanakabili? Unaweza kuepukaje kuathiriwa na uvutano wake?
Biblia Inasema Nini?
Biblia inamfafanua Shetani kuwa kiumbe halisi ambaye yuko katika makao ya roho. ( ) Inatueleza kuhusu sifa zake za ukatili kutia ndani matendo yake ya uovu. (
) Pia inasimulia mazungumzo kati ya Shetani na Mungu na pia kati yake na Yesu.— .
Kiumbe huyo mwovu alitoka wapi? Muda mrefu kabla ya mwanadamu kuumbwa, Mungu alimuumba Mwana wake “mzaliwa wa kwanza,” ambaye alikuja kuitwa Yesu. ( ) Baada ya muda, ‘wana wengine wa Mungu,’ wanaoitwa malaika, wakaumbwa. ( ) Wote walikuwa wakamilifu na waadilifu. Hata hivyo, mmoja kati ya malaika hao akaja kuwa Shetani.
Malaika huyo hakuitwa Shetani alipoumbwa. Jina hilo ni la kumfafanua, na linamaanisha “Mpinzani; Adui; Mshtaki.” Alikuja kuitwa Shetani kwa sababu alichagua kumpinga Mungu.
Kiumbe huyo wa roho akaanza kukuza hisia za kiburi na za kushindana na Mungu. Alitaka wengine wamwabudu yeye. Mwana mzaliwa wa kwanza wa Mungu alipokuwa hapa duniani, Shetani alimtaka Yesu ‘amfanyie tendo la ibada.’—
.
Shetani “hakusimama imara katika kweli.” ( ) Alidai kwamba Mungu alikuwa mwongo, ilhali kwa kweli, yeye ndiye alikuwa mwongo. Alimwambia Hawa kwamba angekuwa kama Mungu, lakini ni yeye hasa aliyetaka kuwa kama Mungu. Na kupitia mbinu zake za ujanja, alitosheleza tamaa yake yenye ubinafsi. Alimfanya Hawa amwone kuwa mkuu kuliko Mungu. Kwa kumtii Shetani, Hawa alimkubali kuwa mungu wake.—
.
Kwa kuchochea uasi, malaika huyo ambaye awali alikuwa mwenye kuaminika akawa Shetani, yaani, mpinzani na adui ya Mungu na wanadamu. Neno “Ibilisi,” linalomaanisha “Mchongezi,” likawa pia jina la malaika huyo mwovu. Malaika huyo ambaye aliongoza katika kutenda dhambi mwishowe aliwachochea malaika wengine wakose kumtii Mungu na wamwasi kama yeye. (
) Kwa kufanya hivyo malaika hao waliwaongezea wanadamu shida. Kwa sababu ya kuiga njia za Shetani zenye ubinafsi, “
hivyo mwanadamu akiitwa shetani ametukanwa ni sawasawa na mwanadamu akiitwa mnyama si kweli kwamba ni mnyama ila kwasababu ameonyesha tabia za kinyama .
Usidanganywe hakuna jini au pepo safi wote hao ni malaika walio muasi Mungu pamoja na shetani akiwa malaika wa sifa. Soma Biblia Qur ani imesema usome biblia au uniulize mimi niliyepewa kitabu kabla yako ,sasa na kuambia HAKUNA JINI SAFI yote ni mashetani
Umeeleza kuwa neno shetani lina maana "mpinzani au adui". Kwa hivyo huyo malaika aliitwa hivyo baada ya kuwa na hiyo sifa maana mwanzo hakuwa na sifa hiyo.

Kwa maana na binadamu ambaye atampinga Mungu naye pia ataitwa shetani kama ilivyofanyika kwa malaika aliyempinga mungu.

Hivyo maelezo yako yanathibitisha kuwa hakuna aliyeumbwa anaitwa shetani bali kuna viumbe vyenye sifa za shetani.
 
Katika Qur'an shetani ni kiumbe?


Kuran yako inajibu kuwa shetani au iblis ni kiumbe aliumbwa kwa Moto wa upepo umoto katika Sura 15:27. "Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto."

Na Allah katika Qur'an anasema huyo kiumbe ambaye ni iblis pia ndiyo huyo huyo miongoni mwa majini katika Sura 18:50 "Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je!......"
Hapo inaonyesha wazi Ibilisi ni mmojawapo wa majini. Kama Ibilisi ni mmoja wa Majini, basi naye atakuwa jini!

Swali zaidi la kujiuliza ni kwamba huyu Ibilisi ni nani? Qur'an inajibu kwa translation ya kiingereza katika al-baqara 2:34. "And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers." Qur'an haisemi kwamba we said to the angels and Satan to bow down, inasema we said to the angels to bow down. Na kama Satan siyo jina maana yake ni ushetani au kupinga, basi itamaanisha angel mmoja alifanya kupinga.

Kwa kiswahili kulingana na tafsiri ya Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani. Sura 2:34 inasema "Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri."
(Qur'ani Tukufu)
Hapo inaonyesha wazi kwamba iblis alikuwa malaika lakini miongoni mwa hao malaika iblis alikataa akawa muasi.

Narudi kwenye swali lako kama shetani ni kiumbe. Ndiyo shetani ni kiumbe kama malaika aliyekataa kumtii Allah akawa kafiri. Shetani, iblis na jini ni kitu kimoja.
 
Kuran yako inajibu kuwa shetani au iblis ni kiumbe aliumbwa kwa Moto wa upepo umoto katika Sura 15:27. "Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto."

Na Allah katika Qur'an anasema huyo kiumbe ambaye ni iblis pia ndiyo huyo huyo miongoni mwa majini katika Sura 18:50 "Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je!......"
Hapo inaonyesha wazi Ibilisi ni mmojawapo wa majini. Kama Ibilisi ni mmoja wa Majini, basi naye atakuwa jini!

Swali zaidi la kujiuliza ni kwamba huyu Ibilisi ni nani? Qur'an inajibu kwa translation ya kiingereza katika al-baqara 2:34. "And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers." Qur'an haisemi kwamba we said to the angels and Satan to bow down, inasema we said to the angels to bow down. Na kama Satan siyo jina maana yake ni ushetani au kupinga, basi itamaanisha angel mmoja alifanya kupinga.

Kwa kiswahili kulingana na tafsiri ya Sheikh Ali Muhsin Al-Barwani. Sura 2:34 inasema "Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri."
(Qur'ani Tukufu)
Hapo inaonyesha wazi kwamba iblis alikuwa malaika lakini miongoni mwa hao malaika iblis alikataa akawa muasi.

Narudi kwenye swali lako kama shetani ni kiumbe. Ndiyo shetani ni kiumbe kama malaika aliyekataa kumtii Allah akawa kafiri. Shetani, iblis na jini ni kitu kimoja.
Hakuna aya uliyotoa inayosema shetani ni kiumbe.
 
Hakuna aya uliyotoa inayosema shetani ni kiumbe.
Kama Jini ni kiumbe aliye umbwa; Na Shetani ni Jini (mkuu); Basi shetani pia kaumbwa! Maandiko yako wazi

Shetani ni Iblis na Iblis ni Jini
Iblis ni Satan, na Satan ni shetani.
Malaika wote walisujudu isipokuwa malaika iblis/shetani

Malaika muasi Iblis
Sura 2:34 inasema "Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri."
Kiingereza Iblis ni Satan
Sura 2:34. And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers.
Jini ni upepo umoto "mapepo"
Jini aliumbwa katika Sura 15:27. "Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto."
 
Kama Jini ni kiumbe aliye umbwa; Na Shetani ni Jini (mkuu); Basi shetani pia kaumbwa! Maandiko yako wazi

Shetani ni Iblisi na Iblii ni Jini
Iblisi ni Satan, na Satan ni shetani.
Malaika wote walisujudu isipokuwa malaika iblis/shetani

Malaika muasi Iblis
Sura 2:34 inasema "Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam, wakamsujudia wote isipo kuwa Iblis, alikataa na akajivuna na akawa katika makafiri."
Kiingereza Iblis ni Satan
Sura 2:34. And We said to the angels, "Bow down to Adam." They bowed down, except for Satan. He refused, was arrogant, and was one of the disbelievers.
Jini ni upepo umoto "mapepo"
Jini aliumbwa katika Sura 15:27. "Na majini tuliwaumba kabla kwa moto wa upepo umoto."
Unatoa maelezo halafu unatoa andiko ambalo halisapoti ulichokieleza.

Lete andiko linalosema Shetani aliumbwa basi.
 
Wewe jamaa acha kuzunguka mbuyu kubali au ukatae majini ambayo ndo mashetan ni maisilamu menzenu na yanamwabudu allah (satan) ambaye ndo lucifer
Mi sipo kwenye kukashifu imani za watu.

Malaika wanaoasi mnawaita majini/mashetani sasa mbona binadamu wanaoasi hamuwaiti majini/mashetani?
 
Mi sipo kwenye kukashifu imani za watu.

Malaika wanaoasi mnawaita majini/mashetani sasa mbona binadamu wanaoasi hamuwaiti majini/mashetani?
binadamu wamepewa nafasi ya kutubu na Mungu je mashetani/majini yamepewa nafasi ya kutubu ? yanasubiri hukumu ndiyo maana yanadanganya watu ili yapate wafuasi wakuingia nayo motoni.
 
Mi sipo kwenye kukashifu imani za watu.

Malaika wanaoasi mnawaita majini/mashetani sasa mbona binadamu wanaoasi hamuwaiti majini/mashetani?
binadamu wamepewa nafasi ya kutubu na Mungu je mashetani/majini yamepewa nafasi ya kutubu ? yanasubiri hukumu ndiyo maana yanadanganya watu ili yapate wafuasi wakuingia nayo motoni.
 
binadamu wamepewa nafasi ya kutubu na Mungu je mashetani/majini yamepewa nafasi ya kutubu ? yanasubiri hukumu ndiyo maana yanadanganya watu ili yapate wafuasi wakuingia nayo motoni.
Hujajibu swali la msingi kwanini binadamu anayeasi hamwiti shetani/jini?
 
Mi sipo kwenye kukashifu imani za watu.

Malaika wanaoasi mnawaita majini/mashetani sasa mbona binadamu wanaoasi hamuwaiti majini/mashetani?
Unaongelea vitu viwili tofauti. Siyo sisi tunao hamua muasi maliaka au mausi binadamu tumwite nani. Anaeamua ni Allah kwenye Quran tukufu au Mungu wa kweli kwenye biblia.
Unatakiwa wewe binafsi ujiulize, je Quran au biblia inamwita binadamu muasi nani? Siyo kulalamika tu, mbona elimu hipo ya bure kutoka kwa Allah!
 
wewe mimi nadhani hata bible ya haswa huisomi, unasikia na wewe unasema bila ya hata kutumia akili yako hata chembe.

Ngoja nikupe shule kidogo.

Mwenyezi Mungu aliumba Malaika, majini na binaadamu. Na wote hawa kawaumba kwa ajili ya kumtumikia yeye.

Malaika waliumbwa kwa nuru, Majini kwa moto na binaadamu kwa udongo.
Katika Malaika hawa ni special wameumbwa na hawamuasi Mwenyezi Mungu kamwe, ni wenye kuabudu tuu.

Binaadamu na Majini sisi ndio tulokuwa na Mitihani maana ndio tupo hapa ulimwenguni,

Tulichoumbiwa ni kumuabudu Mwenyezi Mungu. Na atakaemuasi ikiwa jini au binaadamu basi Mwenyezi Mungu hatamuacha siku ya mwisho atamuingiza motoni, na ikiwa atafuata maarisho ya Mungu ikiwa jini au binaadamu akitaka mwenyewe Mungu atamuingiza peponi.

Sasa ikiwa jini au binaadamu atamuasi Mwenyezi Mungu huyo ndio anakuwa shaytani. Maisha yao ya kuzaliana kama sisi tunavyozaliana ila tumetofautiana na vyakula vyao na makaazi yao wanayoishi.

Na hawana nguvu yoyote ile ya kusema kuwaogopa, Mtume Suleiman yeye alipewa ufalme wa watu, majini, wanyama, ndege, upepo N.k Ni ulfalme ambao alimuomba Mwenyezi Mungu asijempa yoyote badala yake.

Na walikuwa chini ya amri ya Mtume Suleiman aliwadhibiti sawa sawa.
Haya yamo ndani ya Quran tukufu.

binaadamu hutakiwi kuwaogopa kabisa wao ni viumbe wameumba kama sisi, na wengine huwaogopa binaadamu haswa.

Na binaadamu hatakiwi kuyaingilia katika maisha yao na wao hawatakiwi kutuingilia katika maisha yetu. Ila kama utawaingilia na kutaka kujua zaidi na kuwafatilia utaishia katika shirki ambayo itakupeleka kuunguzwa na Mwenyezi Mungu.

TATIZO BAADHI YA WASIOKUWA WAISLAM WANAKURUPUKA SANA NA KUTOA MAJIBU AMBAYO HATA AKILINI HAYAINGII, BINAADAMU SOMA MWENYEWE UELEWE USIKUBALI KUHADITHIWA TUU.

KWA NGUVU ZA NANI KWA NGUVU ZA NANI TOKA HAMNA KITU HICHO NI KIINI MACHO TUU CHA KUCHEZEWA.

MWENYE UWEZO WA KUMTOA JINI AKIKUSIBU NI MWENYEZI MUNGU PEKEE YAKE.

KUNA VISOMO KATIKA QURAN UNASOMA KAMA AKIKUPATA, NA JINI HAMPATI MTU AMBAE AMEJIWEKA MBALI NA MAMBO AMBAYO MWENYEZI MUNGU AMEHARAMISHA.

KAMA MTU ANASEMA SHEIKH ANA MAJINI NI MUONGO, KUNA BAADHI YA WATU HUWAFUTILIA HAWA MAJINI AMBAO KWA MAJINA WANAITWA WAISLAM ILA UNAKUWA USHAJIVUA KATIKA UISLAM IKIWA WEWE KAZI YAKO KUYAFUGA KWA AJILI YA SHIRKI.

HAKUNA USHIRIKA WOWOTE UNAOHUSIANA UISLAM NA MAJINI, NI KUWA ATI WAISLAM WANATUMIA MAJINI, MSIDANGANYWE MKADANGANYIKA.

NI KATIKA QURAN KILA KITU KIMO WATU WAACHE UVIVU WASOME.
Tatizo pia na wewe umetuhadithia hujatuletea ushahid
 
Naombeni kusadiwa kujua kuhusu majini. Nina imani watu wengi huwa tunatishwa sana..

Nina maswali naombeni kupewa msaada..

Nani aliwaumba majini?

Majini wameumbwaje na kwanini waliumbwa kwa kazi gani?

Kwanini hawaonekani nguvu gani au wao wapo ulimwengu gani hasa hadi tunashindwa kuwaona?

Je, vitabu vya dini vinasemaje kuhusu hawa viumbe ni sehemu gan majini watajwa na je mitume wa Mungu wamewahi kuwatumia hawa kwa kazi gani na kwanini?

Kwanini wanaonekana kuwa na nguvu zaid kuliko binadamu, mbinu ipi sahihi ya kuwadhibiti hao viumbe?

Je, maumbile yao halisi ni yapi na utawezaje kuwatambua?

Je, Mungu wanayemwamini ni huyu tunayemwamini sisi na huko watahesabiwa vipi haki siku ya mwisho na adhabu yao itakuwaje kwenye moto wa milele (nasikia wapo kama moto sina uhakika).

Je, wanaliana vip mimba zao hukaa muda gan na huishii miaka mingap tokea azaliwe yaani jin Mzee yupoje.

Mfumo wao wa utawala upoje na je kuna adhabu za kuwapatia endapo wanasumbua binadamu?

Je, wanaweza kuzaa na binadamu na mtoto akizaliwa huwaje?

Yaan dah yapo mengi maswali!
Majini wameumbwa na Mola mlezi,wameumbwa kwa moto.Majini wamepewa uwezo wa kujibadilisha katika maumbile kadha wa kadha,na majini hupenda kujibadili katika umbile la nyoka mweusi au mmbwa mweusi,ila kuna umbile ambalo kwalo majini hawawezi kujibadili kwalo.

Makazi ya majini sansa ni katika mapango,miti na milimani.Huwa wanapendelea sana kujitafutia chaula chao katika majalala,pia huwa wanakula mifupa.
 
Back
Top Bottom