mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
Hili andilo halijasema majini yamebatizwa kuwa makristo, yamemtii Yesu alichoyaamuruAndika nimekupa Luka 10:17-20
Hili andilo halijasema majini yamebatizwa kuwa makristo, yamemtii Yesu alichoyaamuruAndika nimekupa Luka 10:17-20

Lete andiko kwenye bible kuwa majini ni malaika waliyoasi?Acha kukata viuno.leta andiko kutoka katika bible kwamba majini au mashetani tunashirikiana nao kuabudu Mungu mmoja kama waislam.
Kuwepo kwa watu kama Mimi na ndiyo maana nami nikawa ni binadamu maana yake binadamu ana sifa zake hivyo Mimi nina sifa hizo na ndiyo maana nikaitwa binadamu.Wewe unaweza kututhibitishia kama wewe ni binaadam???au umezaliwa ukakuta kwamba kuna watu kama wewe wanaitwa binaadam!!!!??
KUHUSU MITUME YA KIJINI, SINA UHAKIKA NALO, NA WALA SIJAWAHI KUSIKIA WALA KUFUNDISHWA, MITUME WALIOLETWA NI WA KIBINADAMU TU, LABDA KM KUNA ANAYEJUA ZAIDI HUMU. ILA NNACHOJUA NI KWAMBA KUNA MAJINI WAOVU NA WEMA, KM TULIVYO BINADAMU, MAJINI WEMA HUPENDA KUINGIA AU KUTEMBELEA NYUMBA ZA WATU WEMA NA WAOVU HUPENDELEA NYUMBA ZA WATU WAOVU AU WAPENDAO ANASA ILI KUKUSHAWISHI ZAIDI KUFANYA MAMBO MABAYA NA ANASA AU DHAMBI BILA YA WEWE KUJIJUA, COZ AMEPEWA UWEZO WA KUKUINGIA.Hivi kuna mitume ya kijini kulingana na mafundisho ya Quran mkuu? Umesema majini yaliishi duniani kabla yetu, yaliishije? Una uhakika kuwa hufa?
1.Jambo la kuzikana sio dogo ni kubwa,mpaka mtu aliyefariki,hapo si padogo.Kubaguana mpaka kwa mtu akiyekufa.Hawaelewani sababu ya mahali pa kuzikia!!!!au una mfano tofauti na huu maana huo hauthibitishi chuki kati yao.
Uislam ni mfumo wa maisha ya kila siku, maisha gani yataje hapa maana kila mtu anao mfumo wake.
Halafu nikuulize kitu huko kwenu huwa mnaweka kila kitu hadharani kwa waumini, wanawake wa kiislam wameahidiwa nini peponi, huwa mnawaambia????
Hivi hao sabiini waliofurahi kutiiwa na mapepo,walibatizwa?Au waliteuliwa tu?Hili andilo halijasema majini yamebatizwa kuwa makristo, yamemtii Yesu alichoyaamuru
Soma Luka 10:17-20Acha kukata viuno.leta andiko kutoka katika bible kwamba majini au mashetani tunashirikiana nao kuabudu Mungu mmoja kama waislam.
Hamna neno jini au majini kwenye biblia! Neno hilo labda linapatikana kwenye Qur'an! Kwenye biblia utapata neno Shetani, ibilisi, pepo na Beelzebuli.Lete andiko kwenye bible kuwa majini ni malaika waliyoasi?
jinn /dʒɪn/ (also djinn)Soma Luka 10:17-20
noun (pl. same or jinns) (in Arabian and Muslim mythology) an intelligent spirit of lower rank than the angels, able to appear in human and animal forms and to possess humans. Compare with genie.Sasa mbona wakristo wanasema majini ndiyo malaika waliyoasi na ndiyo maana wanasema hakuna majini wazuri wakati kumbe biblia haijawazungumzia majini?Hamna neno jini au majini kwenye biblia! Neno hilo labda linapatikana kwenye Qur'an! Kwenye biblia utapata neno Shetani, ibilisi, pepo na Beelzebuli.
Matayo:12.24
Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo.
Jinni ni neno la kiarabu ambalo maana yake ni demon au pepo.Sasa mbona wakristo wanasema majini ndiyo malaika waliyoasi na ndiyo maana wanasema hakuna majini wazuri wakati kumbe biblia haijawazungumzia majini?
Chanzo cha haya maelezo yako ni kipi?Jinni ni neno la kiarabu ambalo maana yake ni demon au pepo.
Mkuu wa majini ni Satan/Shetan/Ibilisi alafu wanafuatia Demons/Majini/Mapepo
Majini au Pepo ni viumbe visivyo onekana na vinatesa na kudanganya wanadamu. Kwa waislamu wengi wanamajini na kwa wakristo wengi wanamapepo yanawapata lakini ni kitu kimoja.
Tofauti ni kwamba Majini yamekubalika katika uislamu, wakati katika ukristo hayajakubalika kwa kuwa yamemuasi Mungu na yako mbioni kudanganya wanadamu wasimuabudu Mungu.
Leta andiko linalomtaja jini kwanza katika bible.Lete andiko kwenye bible kuwa majini ni malaika waliyoasi?
Asante kwa kunielewa.Kuwepo kwa watu kama Mimi na ndiyo maana nami nikawa ni binadamu maana yake binadamu ana sifa zake hivyo Mimi nina sifa hizo na ndiyo maana nikaitwa binadamu.
Sasa je hayo majina unayoita ni ya kikristo sifa zake ni zipi?
Naona wakristo wameshindwa kuthibitisha kuwa Majini ndiyo Malaika waliyoasi waliyoelezwa kwenye biblia ila wanalazimisha kuwa majini ni malaika waliyoasi.
Yani malaika akiasi anakuwa jini ila ukimuuliza ni nini maana neno jini hajui.
mmeanza kugombania majini tena!!!!Kwahiyo upendo unadhihirika kwa kuzikana pamoja!!!!1.Jambo la kuzikana sio dogo ni kubwa,mpaka mtu aliyefariki,hapo si padogo.Kubaguana mpaka kwa mtu akiyekufa.
2.Malipo ya wanawake,kwa walichoahidiwa wakiwa peponi:
Qur'an 56:35-38
"Hakika sisi Tunawaanzisha uanzishaji.Tunawafanya mabikira.Wenye mahaba kwa waume zao,hirimu moja.Kwa ajili ya watu wa kuliani".
Umbile la wanawake wa duniani ambao ni waumini litafanywa kuwa na uzuri usuokuwa na kifani peponi.
Na kama unavyojuwa wanawake hakuna kitu wanachokipenda kana kuwa mzuri wa sura na umbo.Hawatoki kwa wapambaji,waliofunguwa naduka ya upambaji.
umekuja nilipopataka, wanafanywa wazuri ili wakagawanywe 70 kwa kila mwanaume
hivi hii ni tuzo kweli hii??au mimi nafikiri zaidi????Soma Luka 10:17-20,jinsi mapepo yanavyotii kwa Yesu.Kiumbe hakiwezi kutii kama hakijakufuata unavyotaka.![]()
![]()
mmeanza kugombania majini tena!!!!
Kweli waislam ni vichaa, haya wakristo hatuna majini hata kwenye bible hayajatajwa.majini yametajwa katika quran na yanamwabudu mungu mmoja na waislam, sio wakristo.