GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,240
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohammad Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 hadith Na 74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani (jinni) katika sala basi anapuliza katika matako yake, basi (Yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala) mpaka asikie sauti (ya kutoka upepo) au anuse harufu (ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).
“ Anamwijia mmoja wenu shetani (jinni) katika sala basi anapuliza katika matako yake, basi (Yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala) mpaka asikie sauti (ya kutoka upepo) au anuse harufu (ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).