Malisa Mpanda
Member
- Jul 17, 2015
- 11
- 2
Alafu lengo la kuumbwa ni kimwabudu mungu kwahiyo wapo wachamungu nna kinyume chake kama wafanyavyo binadamu, hawana nguvu kuliko binadamu ila binadamu huwafanya wao waonekane kama wananguvuNtajaribu kijibu, =Majini ni viumbe kma ss na hawaonekani ila ukiwataka kwa sababu zako mwenyewe utawaona na wala hawna nguvu yoyote ukijisimamia,pia wanaishi maisha kama haya ya kwetu wanaona na wanazaana na wapo kikoo na wana dini zao tofauti na hizi wanatawala zao kama serikali pia wapo matajiri na maskini kama sisi na mavazi yao ni kama muundo Wa joho(kanzu) kwa wanaume na wanawake uvaa juba(baibui) hayo ni mavazi ya watu Wa kale waliokua wakitumia Ila rangi za mavazi utofautiana,wameubwa kwa miale ya moto ,,niishie hapo.
Niishie hapo na mm