HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,328
- 1,666
Kivipi mkuu? Sijakuelewa vyema hapo.Umeukana uislamu hapo, Quran tukufu inasema ndugu wa muislamu ni muislamu mwenzake, kiaje sasa waislamu wasiwe na ushirikiano na mafungamano mkuu?
Kivipi mkuu? Sijakuelewa vyema hapo.Umeukana uislamu hapo, Quran tukufu inasema ndugu wa muislamu ni muislamu mwenzake, kiaje sasa waislamu wasiwe na ushirikiano na mafungamano mkuu?
Alimsahaulisha kula au AlifungaYesu alibebwa juu kwa juu na shetani.Na alimsahaulisha kula Siku 40,akamuweka na njaa jangwani.Soma biblia.Soma Matayo 4(1-11).
Mlitakiwa mseme hamna mafungamano na majini waovu tu si yale mema, haiingii akilini kwa kondoo wa kundi moja na mchungaji mmoja wasiwe na mafungamano. Hata mkijitetea hivyo, ni nini tofauti ya jini jema na ovu? Yote yanaamrisha swala na yote yalioko ktk uislamu, tofauti ni ipi hapo?Swadaktaaaaaaaaaaaaa!!
Kuna watu wanajifanyisha wana majini,au wamevamiwa na jini.Huwa wana lengo lao fulani.Wapo wanaojifanya wana jini au majini,kwa kujifanya jini anataka pete ya dhahabu au jini ataka niolewe na fulani au jini anataka pombe.Hawa si wa kweli,wanatunga wao wenyewe kwa maslahi yao.Hapa ndo nilipokuwa nataka ufike, umefika. Jambo moja tu nakuomba, kuwa mwerevu na punguza munkari tufundishane jambo hapa.
Mi ni mwenyeji wa mikoa ya pwani ya Tz. Kuna vitu tusibishane kwakuwa nimeishi navyo na kuvishuhudia kwa macho tena hata kwa baadhi ya wana ukoo wangu.
Uislamu unafundisha ukristu ni upotofu,, walopotea. Kundi la ushetani. Dhambi ni zao la shetani mkuu.
Majini maovu tu ndo humuingia mwanadamu, ni kauli yako na ya uislamu, na ya waislamu wengi wala we si wa kwanza kunena hivyi.
Swali, kwanini kila jini limuingialo mwanadamu, humtumikisha kuutii uislamu kwa kutimiza yote ya uislamu wakati lenyewe ni ovu la kishetani? Kila mwenye majini lazima aitii ijumaa, ramadhani afunge, akae mbali na pombe, asile nguruwe, aswali swala tano, awashe udi, anene kiarabu (watetezi wanasema si kiarabu bali lugha ya kijini, lakini mashehe na si mapadri wanayoielewa) avae kama wavaavyo waislamu, mida yao ni mida ya swala ktk uislamu, why?
Mi nilitarajia kwakuwa ni maovu na ukristu ni uovu yangefungamana na yakikristu why? Hapa ndipo wakristo wanapodhani Allah ni Lucifer ujuwe? Nifundishe mkuu wangu, nko mweupe kabisa, huru kujifunza kitu kipya, na ntakutumia kwa mengi. Hope sijakukwaza.
Ni mbinu za kutafuta ugali,kila mtu ana mbinu yake yakutafuta ugali,Shehe sharif Majini unamjua wewe? Sasa yeye anayafuga hayo majini kama ngombe mpaka mwenyewe akjiita shehe majini
Kaka hapa swali ni kwanini haya majini maovu yafungamane na uislamu na si ukristo waovu wenzao? Yafurahie unywaji pombe, yawaamrishe wale wanaobamba kwenda kanisani, wasali ibada za Kikristu nk, uhalisia ni kinyume na haya, why?Jini mwema hamvamii mtu,anayemvamia mtu ni jini muovu.Katika kila viumbe wapo wema na wabaya.Kama binadamu wapo wema na wabaya.Binadamu mbaya,ndiye anayefanya vitendo vibaya,kama ujambazi,wizi,uporaji nk.Hata wanyama wapo wema na wabaya.Wanyama wabaya ndio wanaoshambulia wengine,na wapo wanyama hawashambulii wengine.
Sio kila mtumishi ana roho MTAKATIFU, wengine wanatumia hilo jina kudanganya waumini na nadhani wanaonekana kwa matendo yaoWatu wanalishwa majani kama mbuzi kisa roho mtakatifu,watu watu wana nyweshwa hadi sumu kisa roho mtakatifu,wengine wanaambiwa wafanye masturbation kisa roho mtakatifu.
Ebwana huyu roho mtakatifu sasa balaa,maana hapo ndipo mkristo alipokamatwa hana ujanja chochote utakacho mwambia atafanya kwa sababu ya roho mtakatifu.
Si ajabu hata hizi ndoa za jinsia moja akawa ni yeye aliyeruhusu.
Tatizo ni kwamba kuwa muislamu na kuishi kiislamu ni mambo mawili tofauti;iwe kwa majini au wanadamu.Mlitakiwa mseme hamna mafungamano na majini waovu tu si yale mema, haiingii akilini kwa kondoo wa kundi moja na mchungaji mmoja wasiwe na mafungamano. Hata mkijitetea hivyo, ni nini tofauti ya jini jema na ovu? Yote yanaamrisha swala na yote yalioko ktk uislamu, tofauti ni ipi hapo?
Kwa post hii umemaanisha wanaonizidi akili ni waislamu, hawa ndo walotuambia yote yawahusuyo majini. Kinyume na hapo, hakuna majini bali malaika waovu (waasi) na elimu ya Kikristu i prevail. Elimu yote kuhusiana na majini hivi tuijuavyo, wema na wabaya ni ya kiislamu. Uislamu ndo unaotangaza kuwa Suleiman aliyatawala hayo, Ukristu hata hauyajui majini.Elimu yako inakusaidia nini mkuu maana unasema majini hayaonekani wakati huo huo unadai Waislamu wanaswali na Majini,
Je waislam pia ni majini? mpaka waswali na majini
Je wewe uliyaona vipi hayo majini Kama sio uzushi na kushikiwa akili na wanaokuzidi uwezo wa kufikiri?
Ni kweli! Ila mi nawe tufe pasi kuujua ukweli pia? Hapana, lazima tuijue KWELI ituweke huru.Sawasawa mkuu.Nadhani hapa tuna mtazamo tofauti katika suala hili kiimani.
Umesema majini hayana uhusiano na uislamu wakati ni dini yao, mola wa kiislamu ni mola wao pia, kanuni za kiislamu ni zao pia.Kivipi mkuu? Sijakuelewa vyema hapo.