Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Hata huko ambapo sheria hiyo ipo, sio kila nyaraka automatically inaikuwa chini ya sheria hiyo.
Ndio maana hadi sasa kuna nyaraka za wakati wa JFK hazijawekwa wazi.
Ni kweli ila nadhani kuna tatizo kidogo kwenye usimamiaji wa sheria hii!