zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
sija assume sheria kama hiyo ipo Tanzania.
Sikuwa nazungumzia Marekani nilikuwa nazungumzia Tanzania; kwa Tanzania nyingi ni miaka 30.
sikudai kuwa kila nyaraka hata kama muda umepita inatolewa automatically; japo kwa wenzetu Marekani, taasisi zinafanya hivyo kama kutimiza matakwa ya sheria. Ndio maana kwetu nilidokeza haja ya wasomi wetu kudai nyaraka hizo zitolewe. Sijui utaratibu wa kwetu kutoa ukoje itabidi nipitie hiyo sheria tena.
Nadhani tuko ukurasa mmoja, naam.
Kipofu aliyeona Punda.