voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Maisha ya kuishi ukimbizini hayajawahi mpa mtu raha ya rohoni,acha kujifariji.Maisha yako yakiwa magumu usifikirie na wengine wote wana maisha kama yako.
Lema hakuwa na sifa za ukimbizi na hivyo kwa kiasi kikubwa anaishi kwa kutegemea mfuko wake binafsi.
Lema pia hana kiwango chochote cha elimu kuweza kumruhusu kufanya kazi nchini Canada.
Hii imebuma yeye arudi asote mtaani kama kina Heche na wenzake kina Msigwa na kampuni yote.
CHAGGA DEVELOPMENT MANIFESTO.