Arudi tu ila tunamkumbusha siku ya maandamano yasiyokoma hatukumuona wakati ndo aliyaitisha.Tukamuona Yuko ubalozi wa Germany.Na Tundu Lissu nae arudi.. aje kupambana na hawa majaji wa serikali.
Nakumbuka Lissu ndio alitushauri Watanzania tusikubali kupimwa Mkojo