Japo Godbless Lema ametangaza nia ya kurudi nyumbani, na kwamba yuko tayari kwa lolote, naamini Mbowe atamtaka asirudi nyumbani

Akiongea kupitia MariaSpaces, Godbless Lema amesema:

"Nafikiri niko tayari kurudi nyumbani. Nafikiri natakiwa kuwa on the ground kuliko wakati wowote.Nafikiri natakiwa kumuona Mwenyekiti jela au mahakamani kumtia nguvu..Nafikiri I am ready now, I am ready for any consequences."

My opinion:
Habari hii ikimfikia Mbowe, Mbowe atamshauri/atamtaka Lema asirudi nyumbani kwani namuona Mbowe ni mtu wa kuhurumia wengine kuliko hata anavyojihurumia.

Hata hivyo, Lema atarudi tu hasa ikitokea Mwenyekiti anafungwa jela ingawa nae pia anaweza kupata upinzani kutoka kwa ndugu zake wakimsihi asirudi.
Huyu ndio mwanaume sio Tundu lissu na propaganda zake na maria sarungi kila siku youtube mara DW haina impact yoyote kwa nchi kama Tanzania.,

Maalim seif akipambana na hawa ccm ana kwa ana sio woga woga woga., nadhan ataweza kuipa Chadema uhai kidogo kuliko ilivyokufa fofofo sasa.
 
Alikimbia nini na kinachomrudisha ni nini.

Anasema iwe isiwe lazima arudi, kwanini hakusema iwe isiwe hawezi kukimbia nchi yake.
 
Mwanasiasa atabaki kuwa Maalim Seif Shariff ( mwenyezi Mungu amrehemu huko aliko).. mpaka sasa bado sijaona mwanasiasa zaidi ya wacheza sinema tu labda kama hamjui kusoma viashiria vya kuwa mcheza sinema.
 
Ili Mbowe aachiwe n mhimu kati ya miamba miwili Lisu na Lema mmoja arudi au wote warudi. Kwanini hawa watafanya mambo yao bila bugza kwani mama ataogopa wasikamatwe kuhofia misaada kukatwa na kuonekana yeye na Magu ni kitu kimoja kwenye approach ya kiutawala. Lkn pia hawa jamaa wana wafuasi wengi na wanaweza kumobilize watu. Sugu naona he is tired na ameamua kumind his own business!!
 
Akiongea kupitia MariaSpaces, Godbless Lema amesema:

"Nafikiri niko tayari kurudi nyumbani. Nafikiri natakiwa kuwa on the ground kuliko wakati wowote.Nafikiri natakiwa kumuona Mwenyekiti jela au mahakamani kumtia nguvu..Nafikiri I am ready now, I am ready for any consequences."

My opinion:
Habari hii ikimfikia Mbowe, Mbowe atamshauri/atamtaka Lema asirudi nyumbani kwani namuona Mbowe ni mtu wa kuhurumia wengine kuliko hata anavyojihurumia.

Hata hivyo, Lema atarudi tu hasa ikitokea Mwenyekiti anafungwa jela ingawa nae pia anaweza kupata upinzani kutoka kwa ndugu zake wakimsihi asirudi.
Kesi huwa haziozi. Kama alikimbia kesi ataikuta tu. Umuulize Manji alizikuta na ameteleza tena atazikuta tu
 
Asirudi, mbali ya hujuma,mateso na unafiki anaoweza kufanyiwa akirejea, anafanya jukumu muhimu kulisemea taifa akiwa huko.
Kina Lema walitaka kuanzisha vuguvugu fulani la kuichafua serikali ya Jiwe baada ya uchaguzi. Alianza Lissu, akaja Lema, akataka kuunga na Nyalandu bahati akadhibitiwa.

Pengine angefuatia msigwa, sugu, heche na wengine. Baada ya kuona serikali imewashtukia mpango wao ikabidi watulie tu lakini hata sasa hakuna hata mmoja aliyetishiwa kuuawa au kuuliwa kama lema alivyosema baada ya kuondoka.

Siasa za bongo huwa tamu ukiwa uwanjani yaani bongo. Ukishakuwa mbali hata ukitoa maoni watu wanakupuuza sababu wanaamini kama ungekuwa unamaanisha basi ungekuwepo ama nchini au kwenye battle field.

Lema amenusa hiyo kitu na amegundua fimbo ya mbali haiui nyoka. Jana kaona kina sugu na kina msigwa wapo mahakamani. Ametamani kuwa sehemu ya kusanyiko. Sasa anataka kurudi ila tatizo ni namna ya kurudi. Maana aliondoka kwa kelele. Anasema yupo tayari ku face any consequence..ipi? Kutoka kwa nani na kwa ajili gani? Hiyo ni njia tu ya kutaka kurudi. Ye arudi maana ameshaona muda unakaribia wa uchaguzi.
 
Anarudi na Lisu kukalia kiti,
Ccm watajua hawajui wameruka mkojo wamekanyaga nini sijui au wamempiga chura teke wameongeza spidi

Ccm haijawahi kuwa na akili wanazima moto kwa petrol

Lisu alimfanya Magufuli akawa mgonjwa akashindwa hata kufanya kampeni alikuja
Anajiamini na anakubalika na wananchi
Mzee baba akawa kapagawa anahisi mabeberu wanataka wampe Lisu nchi
Kawa mgonjwa kashindwa kampeni
kaja kapata nafuu baada ya kutangazwa kibabe
Hajakaa sawa chawa wake wanaanguka mmoja mmoja
Mvurugiko wa moyo kupanda na kushuka ukarudi kwa kasi zaidi mara ..namba imerudi kwa mwenyewe

Hata hivyo Mbowe amewalea sana ccm apumzike kidogo watu wafanye kazi
 
Akiongea kupitia MariaSpaces, Godbless Lema amesema:

"Nafikiri niko tayari kurudi nyumbani. Nafikiri natakiwa kuwa on the ground kuliko wakati wowote.Nafikiri natakiwa kumuona Mwenyekiti jela au mahakamani kumtia nguvu..Nafikiri I am ready now, I am ready for any consequences."

My opinion:
Habari hii ikimfikia Mbowe, Mbowe atamshauri/atamtaka Lema asirudi nyumbani kwani namuona Mbowe ni mtu wa kuhurumia wengine kuliko hata anavyojihurumia.

Hata hivyo, Lema atarudi tu hasa ikitokea Mwenyekiti anafungwa jela ingawa nae pia anaweza kupata upinzani kutoka kwa ndugu zake wakimsihi asirudi.
Nivizuri akaheshimu mawazo yake ili arudi nyumbani.

Kwa wasivyo kuwa na akili wale wasiyo julikana watataka kumuua na hapo ndiyo madhambi yetu yatajulikana kimataifa.
 
Lema akitaka kuwa mwanasiasa zaidi ni muhimu arudi nyumbani.

Akitaka kuwa mkimbizi zaidi ni muhimu akae nje.
Wakati huo huo walio mshambulia mh lissu hadi sasa hawajajulikana na upelelezi bado haujakamilika
 
Wakati huo huo walio mshambulia mh lissu hadi sasa hawajajulikana na upelelezi bado haujakamilika
Hiyo ni sababu zaidi ya kumfanya Lema arudi nyumbani kama anataka kuwa mwanasiasa zaidi.

Na kumfanya abaki nje kama anataka kuwa mkimbizi zaidi.

Mwanasiasa hatakiwi kuogopa changamoto, anatakiwa kuzifanyia kazi changamoto.
 
Akiongea kupitia MariaSpaces, Godbless Lema amesema:

"Nafikiri niko tayari kurudi nyumbani. Nafikiri natakiwa kuwa on the ground kuliko wakati wowote.Nafikiri natakiwa kumuona Mwenyekiti jela au mahakamani kumtia nguvu..Nafikiri I am ready now, I am ready for any consequences."

My opinion:
Habari hii ikimfikia Mbowe, Mbowe atamshauri/atamtaka Lema asirudi nyumbani kwani namuona Mbowe ni mtu wa kuhurumia wengine kuliko hata anavyojihurumia.

Hata hivyo, Lema atarudi tu hasa ikitokea Mwenyekiti anafungwa jela ingawa nae pia anaweza kupata upinzani kutoka kwa ndugu zake wakimsihi asirudi.
atafungwa Kwa kosa gani? Kwa haya ya kuchonga ya kupanga magogo barabarani na kuchoma vituo Vya mafuta?
 
Akiongea kupitia MariaSpaces, Godbless Lema amesema:

"Nafikiri niko tayari kurudi nyumbani. Nafikiri natakiwa kuwa on the ground kuliko wakati wowote.Nafikiri natakiwa kumuona Mwenyekiti jela au mahakamani kumtia nguvu..Nafikiri I am ready now, I am ready for any consequences."

My opinion:
Habari hii ikimfikia Mbowe, Mbowe atamshauri/atamtaka Lema asirudi nyumbani kwani namuona Mbowe ni mtu wa kuhurumia wengine kuliko hata anavyojihurumia.

Hata hivyo, Lema atarudi tu hasa ikitokea Mwenyekiti anafungwa jela ingawa nae pia anaweza kupata upinzani kutoka kwa ndugu zake wakimsihi asirudi.
Imefika wakati ambao uoga utabaki historia
 
Back
Top Bottom