Kumbe ninazua!!!!Kabisa tena lakini hutoweza kuyaonesha hayo unayozua. Uwanja ni wako.
Kwa upande mwengine, hii ni dini au kitabu kipi kinachoamrisha haya? ...
1 Samueli 5:
3: Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda
Hapo naona mpaka mtoto mchanga asibakishwe, hata ng'ombe na kondoo basi?
Nikuongeze?
Hapo sasa!
Tulia kwanza bibi usilete mjadala mpya mpaka tumalizane.
Rudi kwenye nilichokuuliza. Uislam ambao ni dini ya haki Unaelekeza kuwafanya nini wale wasiokubaliana nao(Wale wanaoupinga)?
Sent using Jamii Forums mobile app