Japan yaipatia Tanzania mkopo wa Shilingi bilioni 761.8. Zanzibar yapata mgao wa Tsh bilioni 218

Kuna haja ya kuirudisha Tanganyika, wale wazee wahangaike Tu huko kwenye makaburi Yao, wafurukute Ila hili la Tanganyika halikwepeki!
 
Nini kimeizuia Comoro kuwa kama Dubai?
ZNZ ina nini cha kujivunia? Uchumi gani wa kuwa kama Dubai? Vumbi tupu....Karafuu tungetaka kuilima hapo mikoa ya kusini au hata Mafia tu, msingekuwa na chochote ninyi machoko. Kila kitu mnategemea bara wajinga ninyi, mnachojua ni kuvuta bangi na kuishia kwenye magenge ya uhuni. Hakuna mnachojua...shuleni ni za mwisho kwa matokeo yote yawe ya Form IV au Form VI.
 
Dah, kwenye kulipa twalipa sie watanganyika ndio maana kiongozi wa mpito haoni shida kuweka rehani nchi hii.
 
Hivi kwa nini mnafeli sana mitihani? Tokea nazaliwa hadi Leo zenj shule zenu ndio huwa zonaburuza Mkia
Tunafeli mitihani ila tumefaulu kupata mgao mkubwa kwa mikopo munayokopa ninyi......muungano ukivunjika ndio mutajua division one zenu zimewasaidiaje
 
Tunafeli mitihani ila tumefaulu kupata mgao mkubwa kwa mikopo munayokopa ninyi......muungano ukivunjika ndio mutajua division one zenu zimewasaidiaje
Muendelee kuipata ili umaskini upungue kidogo, nilienda zenj ule umaskinj ulinitisha sana
 
Serikali ya Japan imeipatia Tanzania mkopo wa shillingi billion 761.8 kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbali mbali ya maendeleo nchini!

Katika mkopo huo kisiwa cha Zanziba kimepewa mgao wa Tsh billion 218+

Kazi iendelee...

=====

View attachment 2108391

Serikali ya Tanzania na Japan zimesaini mikataba mitatu ya mkopo na msaada yenye thamani ya Yen za Japan bilioni 37.9 sawa na takriban shilingi bilioni 761.8 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya ukarabati wa Bandari ya Kigoma, uboreshaji wa miundombinu ya maji Zanzibar na Ujenzi wa Barabara ya Arusha-Holili.

Mikataba hiyo imesainiwa jijini Dar es Salaam, kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Emmanuel Tutuba kwa niaba ya Serikali ya Tanzania na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Shinichi Goto pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan, Bw. Naofumi Yamamura, kwa naiaba ya Serikali ya Japan.

Akizungumza katika hafla fupi ya kusaini mikataba hiyo, Bw. Tutuba alisema kuwa Mradi wa ukarabati wa Bandari ya Kigoma utatekelezwa kwa msaada wa Yen za Japan bilioni 2.73 sawa na takriban shilingi bilioni 54.79, ukihusisha Ukarabati wa gati za mashariki na kaskazini mwa Bandari ya Kigoma, ukarabati wa majengo ya kushushia abiria na mizigo, ukarabati wa barabara zilizopo katika Bandari hiyo na ujenzi wa majengo mapya ya abiria na mizigo.

“Bandari ya Kigoma ilijengwa katika kipindi cha mwaka 1912–1927 na imekuwa bandari muhimu katika kusafirisha mizigo na abiria kwenda nchi jirani za Burundi, DR Congo, Zambia na mikoa iliyopakana na Kigoma, hivyo kukamilika kwa utekelezaji wa mradi huo kutachangia kuongeza ufanisi wa Bandari, kutoa fursa za ajira, kupanua wigo wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali, kuchochea shughuli za kiuchumi na kuchochea biashara kati ya Tanzania na nchi hizo jirani” alisema Bw. Tutuba

Alisema kuwa Mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Maji Zanzibar, utatekelezwa kwa mkopo wa masharti nafuu wa kiasi cha Yen za Japan bilioni 10.86 sawa na takriban shilingi bilioni 218.382 ambapo mradi huo utahusisha kujenga na kukarabati miundombinu ya maji Mjini Zanzibar.

Huu upuuzi inabidi ukomeshwe. Huu muungano uangaliwe upya.

Wazinbari karibu nusu wanaishi bara, wanafaidika na kila haki za Mtanganyika, lakini kwa wanapewa haki zaidi ya Mtanganyika yoyote, kwenye ajira, vyuo, teuzi,mgawanyo wa mikopo isiyo na mantiki yoyote.

Utumwa umerudi, Tanganyika na Watanganyika wanatumiwa kuinufaisha visiwa viwili vya Pemba na Unguja kama babu na bibi zao walivyotumika kuvijenga hivi visiwa viwili.
 
Serikali ya Japan imeipatia Tanzania mkopo wa shillingi billion 761.8 kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbali mbali ya maendeleo nchini!

Katika mkopo huo kisiwa cha Zanziba kimepewa mgao wa Tsh billion 218+

Kazi iendelee...

=====

View attachment 2108391

Serikali ya Tanzania na Japan zimesaini mikataba mitatu ya mkopo na msaada yenye thamani ya Yen za Japan bilioni 37.9 sawa na takriban shilingi bilioni 761.8 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya ukarabati wa Bandari ya Kigoma, uboreshaji wa miundombinu ya maji Zanzibar na Ujenzi wa Barabara ya Arusha-Holili.

Mikataba hiyo imesainiwa jijini Dar es Salaam, kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Emmanuel Tutuba kwa niaba ya Serikali ya Tanzania na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Shinichi Goto pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan, Bw. Naofumi Yamamura, kwa naiaba ya Serikali ya Japan.

Akizungumza katika hafla fupi ya kusaini mikataba hiyo, Bw. Tutuba alisema kuwa Mradi wa ukarabati wa Bandari ya Kigoma utatekelezwa kwa msaada wa Yen za Japan bilioni 2.73 sawa na takriban shilingi bilioni 54.79, ukihusisha Ukarabati wa gati za mashariki na kaskazini mwa Bandari ya Kigoma, ukarabati wa majengo ya kushushia abiria na mizigo, ukarabati wa barabara zilizopo katika Bandari hiyo na ujenzi wa majengo mapya ya abiria na mizigo.

“Bandari ya Kigoma ilijengwa katika kipindi cha mwaka 1912–1927 na imekuwa bandari muhimu katika kusafirisha mizigo na abiria kwenda nchi jirani za Burundi, DR Congo, Zambia na mikoa iliyopakana na Kigoma, hivyo kukamilika kwa utekelezaji wa mradi huo kutachangia kuongeza ufanisi wa Bandari, kutoa fursa za ajira, kupanua wigo wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali, kuchochea shughuli za kiuchumi na kuchochea biashara kati ya Tanzania na nchi hizo jirani” alisema Bw. Tutuba

Alisema kuwa Mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Maji Zanzibar, utatekelezwa kwa mkopo wa masharti nafuu wa kiasi cha Yen za Japan bilioni 10.86 sawa na takriban shilingi bilioni 218.382 ambapo mradi huo utahusisha kujenga na kukarabati miundombinu ya maji Mjini Zanzibar.
Kazi indelee
 
Na kwa sasa TBC habari inaanza wanamuweka Hussen Mwinyi kila siku.
Ni Rais ajaye au?
Tumepigwa tikitaka la nguvu.
Huyo maza ni mipasho tu hamna lolote analojua.
 
Serikali ya Japan imeipatia Tanzania mkopo wa shillingi billion 761.8 kwaajili ya utekelezaji wa miradi mbali mbali ya maendeleo nchini!

Katika mkopo huo kisiwa cha Zanziba kimepewa mgao wa Tsh billion 218+

Kazi iendelee...

=====

View attachment 2108391

Serikali ya Tanzania na Japan zimesaini mikataba mitatu ya mkopo na msaada yenye thamani ya Yen za Japan bilioni 37.9 sawa na takriban shilingi bilioni 761.8 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya ukarabati wa Bandari ya Kigoma, uboreshaji wa miundombinu ya maji Zanzibar na Ujenzi wa Barabara ya Arusha-Holili.

Mikataba hiyo imesainiwa jijini Dar es Salaam, kati ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Emmanuel Tutuba kwa niaba ya Serikali ya Tanzania na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Shinichi Goto pamoja na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan, Bw. Naofumi Yamamura, kwa naiaba ya Serikali ya Japan.

Akizungumza katika hafla fupi ya kusaini mikataba hiyo, Bw. Tutuba alisema kuwa Mradi wa ukarabati wa Bandari ya Kigoma utatekelezwa kwa msaada wa Yen za Japan bilioni 2.73 sawa na takriban shilingi bilioni 54.79, ukihusisha Ukarabati wa gati za mashariki na kaskazini mwa Bandari ya Kigoma, ukarabati wa majengo ya kushushia abiria na mizigo, ukarabati wa barabara zilizopo katika Bandari hiyo na ujenzi wa majengo mapya ya abiria na mizigo.

“Bandari ya Kigoma ilijengwa katika kipindi cha mwaka 1912–1927 na imekuwa bandari muhimu katika kusafirisha mizigo na abiria kwenda nchi jirani za Burundi, DR Congo, Zambia na mikoa iliyopakana na Kigoma, hivyo kukamilika kwa utekelezaji wa mradi huo kutachangia kuongeza ufanisi wa Bandari, kutoa fursa za ajira, kupanua wigo wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali, kuchochea shughuli za kiuchumi na kuchochea biashara kati ya Tanzania na nchi hizo jirani” alisema Bw. Tutuba

Alisema kuwa Mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ya Maji Zanzibar, utatekelezwa kwa mkopo wa masharti nafuu wa kiasi cha Yen za Japan bilioni 10.86 sawa na takriban shilingi bilioni 218.382 ambapo mradi huo utahusisha kujenga na kukarabati miundombinu ya maji Mjini Zanzibar.
Hapo ndio shida,aliyetia saini Tanganyika,harafu zenj anapewa mgao!Japan ataidai Tanganyika,Tsngsnyiksa itaidsi Zenj!
Wazenj wametaka mchakato wa mafuta na gesi lisiwe Swala la muungano,ikapita,inabidi na hii mikopo wawe wanakopa direct,!,Tsngsnyika isitumike kama mzamini,kale ka nchi akawezi lipa,
Watu wasiozidi milioni 10 wamepewa asilimia zaidi ya 25ya pesa,harafu watu milioni 55wanabski na asilimia 60!pesa inabidi iwe kwa uwiano wa watu,Zenj ilibidi ipate asilimia 10 tu bilioni 70,sio 200
 
Watu wasiozidi milioni 10 wamepewa asilimia zaidi ya 25ya pesa,harafu watu milioni 55wanabski na asilimia 60!pesa inabidi iwe kwa uwiano wa watu,Zenj ilibidi ipate asilimia 10 tu bilioni 70,sio 200
Kwa Sensa ya 2012 Znz ilikuwa na watu 1,3m..
Huko 10m umeenda mbali mno.
Kinachojiri kwa sasa ni unyang'anyi, maana Tanganyika imegeuka shamba la Bibi
 
Back
Top Bottom