Serikali Kutumia Bilioni 900 Kwaajili ya Ujenzi, Uboreshaji na Ukarabati wa Bandari za Maziwa Nchini.

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,900
944
Serikali Kutumia Bilioni 900 Kwaajili ya Ujenzi, Uboreshaji na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafiri na Usafirishaji kwenye Bandari za Maziwa Nchini.

Serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan kutumia zaidi ya shilingi bilioni 900 kwa ajili ya ujenzi, uboreshaji na ukarabati wa miundombinu mbalimbali ya usafiri na usafirishaji kwenye Bandari za Maziwa Nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Mwakiposa Kihenzile wakati alipotembelea miradi ya maendeleo inayosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na miradi inayotekelezwa na Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) katika Ziwa Tanganyika Mkoani Kigoma.
 

Attachments

  • 406311590_18397463797030793_6555555300857619989_n.jpg
    406311590_18397463797030793_6555555300857619989_n.jpg
    50.1 KB · Views: 5
  • 406275430_18397463851030793_3958921238898809998_n.jpg
    406275430_18397463851030793_3958921238898809998_n.jpg
    84.9 KB · Views: 4
  • 405958358_18397463788030793_748524694220553000_n.jpg
    405958358_18397463788030793_748524694220553000_n.jpg
    26.7 KB · Views: 5
  • 406281640_18397463836030793_6206737328447175808_n.jpg
    406281640_18397463836030793_6206737328447175808_n.jpg
    42.6 KB · Views: 4
  • 406313667_18397463806030793_2483918346751813951_n.jpg
    406313667_18397463806030793_2483918346751813951_n.jpg
    34.9 KB · Views: 2
Serikali Kutumia Bilioni 900 Kwaajili ya Ujenzi, Uboreshaji na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafiri na Usafirishaji kwenye Bandari za Maziwa Nchini.

Serikali ya awamu ya sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Dkt Samia Suluhu Hassan kutumia zaidi ya shilingi bilioni 900 kwa ajili ya ujenzi, uboreshaji na ukarabati wa miundombinu mbalimbali ya usafiri na usafirishaji kwenye Bandari za Maziwa Nchini.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Mwakiposa Kihenzile wakati alipotembelea miradi ya maendeleo inayosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na miradi inayotekelezwa na Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) katika Ziwa Tanganyika Mkoani Kigoma.

Baada ya hapo anakabidhiwa mwarabu bandari.

Ushauri tununue managment sio kubinafsisha bandari kwa wageni
 
Back
Top Bottom