January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

Mh Waziri jifunze kuwa mtulivu unapoaddress technical issues in public.... sio lazima pia kuaddress dip technical issues na company plans kwenye mitandao....

Wananchi wanapaswa kuelezwa tu, tupo kwenye crisis ya umeme kwa sababu za kiufundi, na tuko kwenye maintenance ya mitambo, maintenance itafanya kwa muda fulani na katika kipindi hiki kirescue situation tutakuwa na abcd.

Hayo mambo mengine ya dip technical issues ni ya kujadili na mameneja wako huko Tanesco na serikalini.. bila shaka huko Tanesco mna planning dpt kwa ajili ya maintenance na budgeting, mna finance office, mna maintenance and operation department...Jaribuni kuwa na proper coordination and management mambo yaende na sio huu utoto utoto..
 
Kwani Tanzania ndiyo inchi ya kwanza kutumia umeme tofauti na nchi nyingine? Kwani preventive maintenance lazima kuzima umeme nchi nzima? Je mbona walikuwa wakitutangazia kuwa kutakuwa na upungu wa umeme kwa ajili ya matengenezo. Acheni upuuzi
Wapuuzi ni wale ambao hawakudhamini maintenance na kushinikiza kutokuzima ndio kulipopelekea haya yote wa kulaumu sii hawa wa sasa. The problem is historical luckily the error has passed thanks to God. The Country was directed into the muds. Rais please please change direction and lead the Country prosperous destinations. Wavivu wa kufikiri.
 
Mh Waziri jifunze kuwa mtulivu unapoaddress technical issues in public.... sio lazima pia kuaddress dip technical issues na company plans kwenye mitandao....

Wananchi wanapaswa kuelezwa tu, tupo kwenye crisis ya umeme kwa sababu za kiufundi, na tuko kwenye maintenance ya mitambo, maintenance itafanya kwa muda fulani na katika kipindi hiki kirescue situation tutakuwa na abcd.

Hayo mambo mengine ya dip technical issues ni ya kujadili na mameneja wako huko Tanesco na serikalini.. bila shaka huko Tanesco mna planning dpt kwa ajili ya maintenance na budgeting, mna finance office, mna maintenance and operation department...Jaribuni kuwa na proper coordination and management mambo yaende na sio huu utoto utoto..
Yaani January ana mlima mkubwa sana wa kupanda ili kujenga imani kwa watanzania.
Nimekuja kugundua watz tunaogopa sana watu waliotuzidi uelewa wa mambo na shida kubwa ipo kwenye elimu yetu. January anatakiwa kujifunza kuongea kwa level ya watanzania wa kawaida na aepuke kuwa techinical kwenye maelezo yake maana hivyo ni vitu rahisi kupotoshwa na watu wengi hutumia kuzidisha confirmation bias.
 
Tuna viongozi vimeo balaa, hivi kuna mitambo ani ifanyike miaka 5 bila kufanyiwa repair? hii awamu ndo mtajiona viloja, utendaji wote umezikwa kilichobaki kila mtu anafanya atakalo, tumerudi kule kule hadi aibu!, utendaji mbovu, huduma mbovu, hakuna maamuzi.
 
Walakini uko wapi, wakati unapewa jibu la kisomi...mlikuwa mnaongopewa huku mfumo mzima wa umeme unaharibika... Huwa nafikiria Hayati alikuwa na dhumuni gani na hii Nchi.
Pole pole alitoa maelezo tosha kabisa.
 
Walakini uko wapi, wakati unapewa jibu la kisomi...mlikuwa mnaongopewa huku mfumo mzima wa umeme unaharibika... Huwa nafikiria Hayati alikuwa na dhumuni gani na hii Nchi.
Mkuu unampenda sana KIGOGO. Slogan ya ubovu wa mitambo imepotelea wapo? Make slogan iliyopo sasa ni tatizo la ukame.
 
Walakini uko wapi, wakati unapewa jibu la kisomi...mlikuwa mnaongopewa huku mfumo mzima wa umeme unaharibika... Huwa nafikiria Hayati alikuwa na dhumuni gani na hii Nchi.
Mkuu zile siku 10 za mgao pamoja na mabwa kupungua maji.

Bado unaendelea? Yaani bado zile siku 10 hazijaisha?

Na maji bado yamepungua kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme?

Kwann umeme bado unakatika ovyo ovyo? Leo toka asubuhi hatuna umeme na hatujui unarudi muda gani?
 
Walakini uko wapi, wakati unapewa jibu la kisomi...mlikuwa mnaongopewa huku mfumo mzima wa umeme unaharibika... Huwa nafikiria Hayati alikuwa na dhumuni gani na hii Nchi.
Aisee,watanzania kama wewe ndio mnaofanya Taifa hili kuendelea kuwa maskini kwa kutetea viongozi wa hovyo.
Swala la R&M alihitaji mpaka miundombinu ichakae,ni mwendawazimu tu ndio anaweza kuafiki sababu za kipuuzi kama hizo.
 
Leo Mh. Makamba kupitia account yake alikuwa akijibu suala la umeme kukatika. Lakini majibu yake yamejaa walakini.

Makamba anasema umeme zamani ulikuwa haukatiki kwa sababu watu walikuwa na hofu ya kufukuzwa hivyo walihakikisha umeme haukatiki, hali iliyopelekea kutofanya rapair.

Sasa hivi mfumo wa ugavi umechoka na ndio maana umeme unakatika Sana. Hivyo wanafanya rapair ili kuondoa huo uchakavu wa mfumo.

Bado hajasema utachukua muda gani hadi hizo repair kuisha na umeme kuacha kukatika.
Makamba ameonyesha kwamba kukatika umeme ni sawa kabisa na ni haki yetu, ndio maana anasema tulishangilia umeme ulipokuwa haukatiki huku mfumo ukiwa umechoka.

Lakini pia mheshimiwa unataka kusema huo mfumo kipindi chote cha jiwe mwendazake uliacha kuchoka ukawa unakusubiri wewe kuwa waziri ili uanze kuchoka?

Mheshimiwa wewe ukiwa kama binadamu wengine una tabia ya kusahau, Ila internet haisahau.
Mwezi uliopita September 17, ulikuwa na kikao na Tanesco na ukawapa wiki mbili umeme kuacha kukatika la sivyo utawafukuza.

Leo umesahau? Wiki mbili zimepita na sasa ni zaidi ya mwezi, bado tatizo lipo na wewe umekiri mwenyewe.

Mh. Makamba watu wanachotaka umeme uwepo muda wote ili shughuli zao ziende, hizo sababu zingine haziwahusu sana maana zipo ndani ya uwezo wenu.

View attachment 2017632


View attachment 1990620
hekaya
 
Back
Top Bottom