Ibra Mo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 793
- 101
Huna lolote lakuchangia kuhusu wajumbe wa Kamati ya nishati na Madini kupewa posho yaBado,bado,tena bado sana.Hatuwezi kumuamini simply like this,mtoto wa nyoka ni nyoka,babaye(mropokaji)was frontline kuhakikisha mafisadi wanarudi bungen,au tumesahau jamani?ni kwel kabisa JM anatafuta huruma ya watz akubalike countrywide na hizi ni mbinu azitumiazo.JM anasaka umaarufu kwa udi na uvumba lkn sis si mataahira as he thinks,I believ hilo si wazo lake kuna mtu nyuma yake.Na ikitokea dingi yake akaaga mashindano(kafa)umaarufu utakuwa umepotea,nan asiyejua dogo kapita kwa hila za dingi yake akisaidiana na mkwere?Simwamini mbunge wa ccm,never.
1M tena na Tanesco leo Tanesco inashindwa kuwahudumia Watanzania kwakuwapa umeme wa uhakika,Bili ya umeme imepanda kwa asilimia 18,Tanesco inajiendesha kwa Hasara ya Bil30 kwa mwaka.We unafikiri haya yote chanzo chake nin kama sio huu upuuzi.Hapa Ishu ni 1M ya Posho huo umbea mwingine cjui JM what an what sio ishu,tumtumie JM kama source ya hii newz ya 1M kwaajili ya posho ya Wajumbe.