January Makamba akataa bahasha za milioni moja za "Lunch"

Jamani samahani kama nakosea.
Sasa hii 1M ni lunch ya siku moja au ndo fedha za kujikimu kwenye safari hiyo? Kama ni kama ninavyoelewa mimi wabunge watutake radhi kwa kweli.
 
Bado,bado,tena bado sana.Hatuwezi kumuamini simply like this,mtoto wa nyoka ni nyoka,babaye(mropokaji)was frontline kuhakikisha mafisadi wanarudi bungen,au tumesahau jamani?ni kwel kabisa JM anatafuta huruma ya watz akubalike countrywide na hizi ni mbinu azitumiazo.JM anasaka umaarufu kwa udi na uvumba lkn sis si mataahira as he thinks,I believ hilo si wazo lake kuna mtu nyuma yake.Na ikitokea dingi yake akaaga mashindano(kafa)umaarufu utakuwa umepotea,nan asiyejua dogo kapita kwa hila za dingi yake akisaidiana na mkwere?Simwamini mbunge wa ccm,never.
 
anasema hayo yote kwa kuwa aliyekuwa mwenyekiti wa kamati hiyo ni shelukindo ambaye ni hasimu wake baada ya kumchakachua jimboni na pia kuchukua kamati alokuwa akiiongoza,sasa anataka na yy amchafue kikwelikweli,km January ni msafi kwa nini alitaifisha mradi wa malaria haikubaliki toka kwa Mr II?
 
Lakini wakuu tukumbuke sakata la wabunge na PCCB kuhusu double payments!! Hawa jamaa wanalipwa na ofisi za bunge lakini wakitembelea mashirika, halmashauri n.k. pia wanavuta posho na gharama za malazi wanalipiwa...
 
anasema hayo yote kwa kuwa aliyekuwa mwenyekiti wa kamati hiyo ni shelukindo ambaye ni hasimu wake baada ya kumchakachua jimboni na pia kuchukua kamati alokuwa akiiongoza,sasa anataka na yy amchafue kikwelikweli,km January ni msafi kwa nini alitaifisha mradi wa malaria haikubaliki toka kwa Mr II?
Hapo umesema ukweli haswa tuwe makini
 




“Baada ya kupitia taarifa zile tumeona kuwa wajumbe wa kamati walikuwa wakienda kwenye ziara kama hivyo hupewa bahasha za ‘lunch’ ambazo ndani yake kunakuwa na sh milioni moja sasa nimewaomba wajumbe wenzangu tusizikubali… safari hii tutagharamiwa na Ofisi ya Bunge,” alisema January.




aaaaah Januari, Januaari , Januari

sikuamini January.

Ni Januari mwingine au ni yule wa +3588976578?

Januari, aaa Januari!!!

Hili suala la lunch ya 1m nimelisikia kwako tangu nianze kusikiliza Bunge la JMT

Kuna kitu unakitafuta Januari, siyo bure.

na leo nasema tena: sikuamini.
 
anasema hayo yote kwa kuwa aliyekuwa mwenyekiti wa kamati hiyo ni shelukindo ambaye ni hasimu wake baada ya kumchakachua jimboni na pia kuchukua kamati alokuwa akiiongoza,sasa anataka na yy amchafue kikwelikweli,km January ni msafi kwa nini alitaifisha mradi wa malaria haikubaliki toka kwa Mr II?

noted!!!
 
nina mashaka na haya aliyoyasema huyu kijana january... Tusiamini sana ndugu zangu, huyu jamaa anatafuta huruma na umaarufu kutoka kwa wananchi!!! Aondoe kwanza boriti kwenye jicho lake ndio ahangaike na kibanzi jicho la mwenzake.


scientist nakuomba tumpe mtu benefit of a doubt, huyu kijana jamani yuko makini jamani sijatumwa naye bali ningeomba jamani tuhold judgement na sisi kama vijana wenzie tumtie moyo jamani. Kuna msemo unasema kwamba donot trust anybody but sometimes there is a need to have a little trust. Plse guys lets see what he is going to do, he is very capable i am telling you guys. Narudia tena mimi sijatumwa bali najaribu tu kushauri tu kwani kwa kijana mdogo kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa KAMATI YA BUNGE wizara ya nishati na madini ni hatua kubwa sana.
 
Jamani samahani kama nakosea.
Sasa hii 1M ni lunch ya siku moja au ndo fedha za kujikimu kwenye safari hiyo? Kama ni kama ninavyoelewa mimi wabunge watutake radhi kwa kweli.
ndio ujue kwanini akina hamad rshid mohammed wamepigana kufa na kupona kupata kamati
 
Zitto si alikuwa memba wa hii kamati? Basik kwa sababu yeye ni memba humu angetupa details zaidi za hgii habari!!!!!
 
Kama ameliona hilo na amewashauri wabunge wakatae ni wajibu wake. Hakuna sababu ya kumuamini au kutokumuamini kwenye masuala mengine.

Wajibu wake mkubwa zaidi ni kuhakikisha anahoji na hizo kamati nyingine wanalipwaje. Asiishie kwenye ushauri pekee.
 
hapa kuna mawili ...januari anaweza kukataa kuchukua mlungula na vilevile asiweze kutekeleze majukumu ya kamati inavyotakiwa kama vile kuhoji mikataba mbalai mbali ya sector husika ...pili kama januari anautashi halisi wa kuwatumikia watanzania anaweza kuchukua huo mlungula na still akafanya utekelezaji wa majukumu ya kamati in favour ya watanzania ..... hapo ndipo patakuwa patamu kwani sisi wananchi tutasubiri kuona siku moja mtu au watu wakihoji kwamba walitoa mlungula na maamuzi yakafanywa tofauti na matakwa yake

mimi nadhani ... huyu Januari anataka kutumia preemptive tactic .... tuje tusahau baadae alafu aanze kulimbikiza milungula.... inawezekana kabisa anataka kuanza kuonyesha yeye ni mchapa kazi sana
 
Mnyonge munyonge lakini haki yake umpe, kufikia sasa mh.January Makamba kwa maoni yangu ni mbunge pekee aliyejipambanua kuwa na vipau mbele vinavyogusa mambo ya msingi kwa wakati tulio nao,kwa hilo nazidi kumpongeza. Pamoja na hayo hili suala la wajumbe wa kanati iliyopita kupewa lunchi ya shs1 milioni ni rushwa, TAKUKURU inapashwa ifuatilie suala hilo na wananchi tujulishwe.:msela:

Wasiwasi wangu ni kuwa hivi kweli Makamba hajui sababu ya matatizo ya umeme na vyanzo vyake mpaka waende Mtera? Nadhani kunahitajika uwajibikaji zaidi kuliko ziara! Wakae waangalie makabrasha ya wenzao waliopita waya study vizuri waje na solution na sio net group! Tumechoka na huu mgao usio na mwisho! Ngoja niishie hapa nisije nikaandika. Kisambaa. Kwa hasira nilizokuwa nazo.
 
Mimi naona hapa watu wanajipanga kuchukua nchi 2015. January, anajaribu kutuaminisha kuwa yeye si fisadi baba wala fisadi toto. Mwisho wa siku, hatuitaki CCM na huo ndo msimamo wangu. Wanaonea watu sana kwa kuwanyima huduma bora, kuwafanya majuha.
 
hivi ni lini watz tutaichukia rushwa kwa dhati , na CAG anapokagua hesabu za tanesco haoni wamewalipa wabunge kwa nini asiweke qs mark za nini kwani ni waajiriwa au ni kwa kazi gani? Na zitto ukiwa mkiti wa kamati ya kusimamia mashirika ya umma hili haulijui au na wewe ulipatiwa ukaona mjilie vya wajinga kilaini halafu mkifika bungeni mnaaza maigizo
Watz tuamke hakuna aliyesafi hata mmoja tuzinduke tukatae haya kwa vitendo ni haki yetu kupatiwa taarifa , ngeleja sema fedha hizi walikuwa wakipewa za nini?
 
scientist nakuomba tumpe mtu benefit of a doubt, huyu kijana jamani yuko makini jamani sijatumwa naye bali ningeomba jamani tuhold judgement na sisi kama vijana wenzie tumtie moyo jamani. Kuna msemo unasema kwamba donot trust anybody but sometimes there is a need to have a little trust. Plse guys lets see what he is going to do, he is very capable i am telling you guys. Narudia tena mimi sijatumwa bali najaribu tu kushauri tu kwani kwa kijana mdogo kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa KAMATI YA BUNGE wizara ya nishati na madini ni hatua kubwa sana.
Kikolo kumbe na wewe ni FAILURE,huwezi kuona hila kweupe,jm ni failure kama ccm yenyewe,hiyo kamati kapewa kwasababu yeye ni mtoto wa makamba kama alivyopewa upersonal assistant to the president of JMT,ndg mwambona hii ni hesabu ya mbali yenye malengo ya muda mrefu inayoendelezwa kwa style hizi,january ni team member muhimu sana anayetumia uozo uliopo kuinukia lakini akipata madaraka haitakuwa kwa ajili ya kutokomeza uozo huo bali kulinda memba wenzake,kina ra,el,jk nk.Tz yenye neema haiwezi kuja au kuletwa na watu wa jamii hii wanaotumia ujinga na kukosa werevu kwa watawaliwa ili kujinufaisha.Ndo maana january ni failure tu ambaye bahati ya network na connection inambeba na yote hii si kwa manufaa ya common mwananchi bali kwa manufaa ya wajanja wachache walio kwenye hiyo network wanaokula keki ya taifa,yeyote anayeona mabadiliko kupitia huyu jamaa amechagua kufeli mapema.Huyu january ni pimbi na corrupt wa kutupa.Kwa lugha rahisi ni FAILURE.
















e na si vinginevyo
 
Wabongo bwana. Statement moja tushaanza kumshabikia. Hebu someni taarifa vizuri. JM amewaomba wakatae 'lunch' ya mil 1 kwasbabu ni kubwa au kwasbabu inatoka bungeni na si tanesco.
 
Aah,saa ingine naonaga bora litote tugawane fito.hawa jamaa wanastahili shaba tu.HIVI NANI ALIKUA MWENYEKITI ALIYEPITA WA KAMATI HIYO?
 
Naomba niulize,Iv kuna Mbunge yoyote wa Chadema ambae alikuwa mjumbe wa hii Kamati bunge lililopita?kwakweli hili halivumiliki what about other Kamatis!!Kumbe chanzo cha Umaskini wetu ni hili Bunge ni wanafiki,wapo kwa maslahi yao binafsi bora hii Nchi itawaliwe kidicteta bunge lisiwepo hizo fedha za kifisadi wanazolipwa ziende kwenye miradi ya maendeleo na Umma ndo uhusike kuzisimamia,Otherwise kamwe hatutaendelea Bungeni watu wanapeleka maneno tu kujikosha.
 
Back
Top Bottom