Huntsman
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 648
- 621
Nakuheshimu na nakutakia kila la kheri katika harakati zako lakina kuwa naibua waziri wa wizara ya mawasiliano isiwe sababu ya kusumbua watu wasi hata mashabiki wa chama chako.
Acha mara moja huu mchezo wa kunitumia vi sms vyako kwani sijawahi kukutana na wewe popote pale wala kuwa sehemu ya team yako wala kuhudhuri kikao chako wala kuwa mwanavhama wa chama chako. Unaniudhi sana .....Acha mara moja. Usiwatumie TCRA vibaya.
Acha mara moja huu mchezo wa kunitumia vi sms vyako kwani sijawahi kukutana na wewe popote pale wala kuwa sehemu ya team yako wala kuhudhuri kikao chako wala kuwa mwanavhama wa chama chako. Unaniudhi sana .....Acha mara moja. Usiwatumie TCRA vibaya.