January Makamba acha mchezo huu mara moja

January Makamba acha mchezo huu mara moja

Tatakushitaki kututumia kututumia msg wakati hatujaomba ututumie. Nakumbuka siku hiyo ya kupitisha mswaada ulikomaa sana matokeo yake wewe mwenyewe unaanza kuvunja sheria.

Thats my Point. Halafu anasimama na kusema ana majawabu!! Nchi ya kipekee ambayo walioko serikalini wakivunja sheria wanatetewa na kuonekana hawajavunja sheria. Poor him
 
Huyu jamaa mwenyewe ananiudhi sana toka pasaka ya mwaka jana ananitumia niliwapigia voda nikawaambia staki huu ujinga lakini naona ile siku ya kutangaza nia tena wakanitumia
 
Yaaaaani tatizo letu ni ushabiki usiokuwa na tija sababu kupata taarifa sio kosa hata kidogo sasa mara ngapi unatumiwa sms za nyamachoma festival na mambo mengine kama hayo...nauliza kama umeona taarfa haikuhusu wala huna habari nayo achananayo ipuuze na huu ndouungwana sio kutuletea uzi usiokuwa na maana hapa.....
 
January Makamba mtia nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM leo amesababisha wanachi kutoa machozi katika Wilayani ya Misenye mkoani Kagera, January yuko kwenye harakati ya kutafuta wadhamini.
January ambaye amevunja record ya kupata wadhamini wengi kuliko mgombea yeyote aliyefika katika ardhi ya Kagera, aliufanya umati kububujikwa na machozi pale alipomkumbuka Bibi yake kipenzi aliyefariki mwaka 2010, Machi
Akiongea kwa kuwakumbusha mambo aliyoyafanya akiwa na umri wea miaka tisa akiwa analelewa na Bibi yake kijijini pale, alisema “Tulikuwa tunaishi wawili tu, Bibi amefariki hakuniacha Mbunge wala Waziri…..(akanyamaza kidogo) , amenifundisha mengi jinsi ya kula, nidhamu, heshima na mambo mengi, nafikiri huko aliko anafurahi”
Aidha katika hotuba yake ambayo wanachi walikuwa makini kuisikiliza alibainisha mambo kadhaa lakini kubwa ikiwa kero ya fedha kiduchu wanayopata wakulima wa miwa wa Wilaya ya Misenye na ukosefu wa maji safi na salama
 
Yaaaaani tatizo letu ni ushabiki usiokuwa na tija sababu kupata taarifa sio kosa hata kidogo sasa mara ngapi unatumiwa sms za nyamachoma festival na mambo mengine kama hayo...nauliza kama umeona taarfa haikuhusu wala huna habari nayo achananayo ipuuze na huu ndouungwana sio kutuletea uzi usiokuwa na maana hapa.....

Sijawahi kupata sms ya hayo mambo ya nyamachoma ka wewe kwako ni sawa basi endelea. Lakini kwa mujibu wa sheria ya cybercrime ni kosa ndio maana namtaka aache
 
January Makamba mtia nia ya kugombea Urais kwa tiketi ya CCM leo amesababisha wanachi kutoa machozi katika Wilayani ya Misenye mkoani Kagera, January yuko kwenye harakati ya kutafuta wadhamini.
January ambaye amevunja record ya kupata wadhamini wengi kuliko mgombea yeyote aliyefika katika ardhi ya Kagera, aliufanya umati kububujikwa na machozi pale alipomkumbuka Bibi yake kipenzi aliyefariki mwaka 2010, Machi
Akiongea kwa kuwakumbusha mambo aliyoyafanya akiwa na umri wea miaka tisa akiwa analelewa na Bibi yake kijijini pale, alisema “Tulikuwa tunaishi wawili tu, Bibi amefariki hakuniacha Mbunge wala Waziri…..(akanyamaza kidogo) , amenifundisha mengi jinsi ya kula, nidhamu, heshima na mambo mengi, nafikiri huko aliko anafurahi”
Aidha katika hotuba yake ambayo wanachi walikuwa makini kuisikiliza alibainisha mambo kadhaa lakini kubwa ikiwa kero ya fedha kiduchu wanayopata wakulima wa miwa wa Wilaya ya Misenye na ukosefu wa maji safi na salama

Hapa sio mahala pake tafafhali mkuu
 
Sawa mkuu andaa. Hati ya nyumba inahusikaje sasa?

Hati ya nyumba unanipa kama dhamana, maana sheria haina udugu, akigeuza upande wa pili atakuuonya wewe badala ya wewe kumuonya, hivo ikitokea hiyo mimi nakufa na changu(hati yako)
 
Hati ya nyumba unanipa kama dhamana, maana sheria haina udugu, akigeuza upande wa pili atakuuonya wewe badala ya wewe kumuonya, hivo ikitokea hiyo mimi nakufa na changu(hati yako)

Embu ni PM kwanza
 
Kwanza umenitumia kupost kitu kama hiki, mara ngapi umepata sms kutoka matanagazo ya biashara, kama sheria ya cyber crime, inakataza kumtumia ujumbe mtu usiemjua ni kosa basi tutafungwa wengi, wewe ni team wa mgombea mwingine, Janauary amekuomba hajakulazimisha, hajakutukana, kama hutaki achana nazo, kuandika huku, unaonesha uwezo Wako mdogo wa kufikiri, unaudhika na vitu vidogo, nenda kwa mwana sheria yoyote, ale hela zako kama unazo coz unaonekana choka mbaya, kupata ujumbe kwa simu au mtu kuomba akina jukwaani ni sawa. Acha kule ta thread za kitoto.
 
Sijawahi kupata sms ya hayo mambo ya nyamachoma ka wewe kwako ni sawa basi endelea. Lakini kwa mujibu wa sheria ya cybercrime ni kosa ndio maana namtaka aache
Kunajambo moja nataka nikushauri usiku wa leo samahani lakini kama ntakuwa naingilia mtazamo wako kwa kile unachosimamia..siku zote katika hii dunia hakuna atakayefanya kila jambo na kukupendeza hivyo tuishi ktk kuvumiliana,jus learn to ignore little things coz to be honest i dont see any need of u to post dat thing here,for me its very minor
 
Kunajambo moja nataka nikushauri usiku wa leo samahani lakini kama ntakuwa naingilia mtazamo wako kwa kile unachosimamia..siku zote katika hii dunia hakuna atakayefanya kila jambo na kukupendeza hivyo tuishi ktk kuvumiliana,jus learn to ignore little things coz to be honest i dont see any need of u to post dat thing here,for me its very minor

Asante mkuu nimekupata.
 
Back
Top Bottom