Huyu Makamba sijawahi kuwa na Imani nae hata kidogo. Na kwa hili la meseji hata mimi nimetumiwa na hapo ndipo nikazidi kukosa imani na kiongozi huyu kijana kwani hana tofauti hao wengine ni HYPOCRITE na CORRUPT kama wengine. Nakumbuka ile siku walopitisha lile Li sheria lao la CYBER crime jamaa alikuwa anakataa mapendekezo ya Akina Lisu na Leo anatuma msg bila ridhaa yetu. Anakula matapishi yake mwenyewe. SHAME ON YOU!