Jana shetani alirudi na flight ya jioni.

Jana shetani alirudi na flight ya jioni.

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
3,185
Reaction score
12,332
Hehehehee

Mida ya saa kumi na mbili hivi kuelekea saa moja kamili si ndo ile ndege ikatua, jamaa kashuka zake baada ya kuwa break mwezi mzima.

Aisee sio kwa ufuska nilioona jana, ngoja niishie hapo ila kabla sijaishia hapo walau niseme kisa kimoja.

Nilikua club moja hapahapa mjini baada ya kutoka club X sababu palikua pamejazana machoko. Kule sasa sijatulia ikaingia team ya kanga moko, aisee hii kufuru ni hatari hata sijui niisimulie vipi.
 
Hehehehee

Mida ya saa kumi na mbili hivi kuelekea saa moja kamili si ndo ile ndege ikatua, jamaa kashuka zake baada ya kuwa break mwezi mzima.

Aisee sio kwa ufuska nilioona jana, ngoja niishie hapo ila kabla sijaishia hapo walau niseme kisa kimoja.

Nilikua club moja hapahapa mjini baada ya kutoka club X sababu palikua pamejazana machoko. Kule sasa sijatulia ikaingia team ya kanga moko, aisee hii kufuru ni hatari hata sijui niisimulie vipi.
Watu wengi ni wanafiki.
 
Hao ni vijana wa mudi huacha ufusika kwa mwezi mzima utawakuta Hadi makahaba yamevaa ushungi kipindi Cha mfungo ila baada ya mwezi huo kupita wanarudi kwenye uhalisia wao. Kwa kifupi wao huabudu mungu mwezi na sio Mungu muumba mbingu na Dunia huyo hupaswa kuabudiwa kwa matendo mema siku zote na sio kipindi Cha Ramadan TU.
 
Jana hata gest zilijaa vibao sehemu nyingi vilikuwa vinasomeka "vyumba vimeisha".

Kuna gest moja haijawai kujaza ila jana kimasikhara nikamuuliza yule dada baada ya kumkuta kakaa nje ilikuwa saa 12 jioni akaniambia vyumba vyote vimejaa ndio maana nimekuja huku hata changu cha kulala nimekiuza nipate hela 😂

Shetwani anaupiga mwingi
 
Jana hata gest zilijaa vibao sehemu nyingi vilikuwa vinasomeka "vyumba vimeisha".

Kuna gest moja haijawai kujaza ila jana kimasikhara nikamuuliza yule dada baada ya kumkuta kakaa nje ilikuwa saa 12 jioni akaniambia vyumba vyote vimejaa ndio maana nimekuja huku hata changu cha kulala nimekiuza nipate hela 😂

Shetwani anaupiga mwingi
Shetani anasingiziwa sana.
 
Hehehehee

Mida ya saa kumi na mbili hivi kuelekea saa moja kamili si ndo ile ndege ikatua, jamaa kashuka zake baada ya kuwa break mwezi mzima.

Aisee sio kwa ufuska nilioona jana, ngoja niishie hapo ila kabla sijaishia hapo walau niseme kisa kimoja.

Nilikua club moja hapahapa mjini baada ya kutoka club X sababu palikua pamejazana machoko. Kule sasa sijatulia ikaingia team ya kanga moko, aisee hii kufuru ni hatari hata sijui niisimulie vipi.
Kwa hiyo kumbe baada ya shetani kurudi na flight ya jioni alishukia night club akiwa na kanga moko.Huwa sikukuu yeyote kama sina sababu inayonilazimu kutoka home kuingia road ni bora ni lale ama nizuke viwanja tulivu vya mitaa ya homu tu.
 
Hao ni vijana wa mudi huacha ufusika kwa mwezi mzima utawakuta Hadi makahaba yamevaa ushungi kipindi Cha mfungo ila baada ya mwezi huo kupita wanarudi kwenye uhalisia wao. Kwa kifupi wao huabudu mungu mwezi na sio Mungu muumba mbingu na Dunia huyo hupaswa kuabudiwa kwa matendo mema siku zote na sio kipindi Cha Ramadan TU.
nilienda massage wiki 2 zimepita eti hadi yale mamalaya ya mule yamevaa ushugi na dela refu halafu ndani hayajavaa hata chupi, unaona hadi mashavu ya k kabisa ukiwa umelala pale. Wanakufuru sana hawa ndugu zetu
 
Jana hata gest zilijaa vibao sehemu nyingi vilikuwa vinasomeka "vyumba vimeisha".

Kuna gest moja haijawai kujaza ila jana kimasikhara nikamuuliza yule dada baada ya kumkuta kakaa nje ilikuwa saa 12 jioni akaniambia vyumba vyote vimejaa ndio maana nimekuja huku hata changu cha kulala nimekiuza nipate hela 😂

Shetwani anaupiga mwingi
Hahahaha, balaa sana
 
Kwa hiyo kumbe baada ya shetani kurudi na flight ya jioni alishukia night club akiwa na kanga moko.Huwa sikukuu yeyote kama sina sababu inayonilazimu kutoka homo kuingia road ni bora ni lale ama nizuke viwanja tulivu vya mitaa ya homu tu.
Hata mimi, na jan nilijilaumu sana kutoka. Mie siku za sikukuu na tarehe za mwisho wa mwezi zile za mishahara ya serikali huwa siendi kabisa viwanja, kunajazanaga sana watu wa hovyo hadi kero
 
Back
Top Bottom