Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
masai dada kwema? Mbona umechungulia na kutoweka
Last edited by a moderator:
Mie nilikwambia Mkuu Viol, avatar ya huyo mrembo uache kuangalia kipindi kirefu kiasi kile au itakutia wazimu. Sasa umemuota na katika ndoto mrembo amekuwa mtamu kupita maelezo. Kazi kwako ya kuanza mchakato na huyo mrembo nanihii 🙂🙂
Aisee jana niliota nipo na binti moja maarufu humu MMU tuna-do,sijawahi kuona hata sura yake,sijawahi kumtumia hata pm,sijawahi kumsalimia hata kwenye thread,ila huyu mrembo alikuwa mtamu kwenye ndoto yangu,,...baada ya kuamka nilijikuta nimejichafua.
Huyo mrembo sijawahi kum-pm jamani,huwa namwona kwenye threads nyingi,hasa yupo kwenye siasa na MMU,majukwaa mengine anabip,ila nilivyokuwa naye ndotoni nakumbuka sura yake,sijui ndo yake halisi au vipi,amesuka nywele,black beauty,si mwembamba wala si mwembamba kivile.
Wadau huyu mrembo amenifanya nipoteze protini zangu bure,heri hata tungekuwa na mazoea,hatuna hata mazoea maana kwenye threads iwe siasa,mmu au wapi namwona mbishi.
Wakuu huyu ndo ubavu wangu au ndoto tu?
Roho inaumwa kupoteza proteni zangu bure.
mkuu hiyo id jina la kike ila tunajua humu watu wanatuimia id za kike au kiume,but sidhani bhana kufikia huko maana hata sikumtaja na hajulikani ni nani!ni jini mahaba. huwa wanatumia sura tofauti tofauti...stimes hata sura za ndugu au watu unaowaheshimu. is very dangerous.. wanaleta bahati mbaya sana kwenye maisha. kama hautachukua hatua mapema, mambo yako yataanza kwenda vibaya taratibu taratibu! na kama uko kwenye mahusiano yanaweza kuharibika au kuvunjika kabisa. inshort ni ndoto mbaya
we kweli haja kubwaThis is rubbish. Mtu humjui kwa sura. Hujawahi kufanya any kind of communication. Alafu ndotoni .. unamuona ameduka and al bluh blum .. Nikuambie ukweli. ? You have been involved with a DEVIL .. huyo ni jini mkuu ... sahau ksbisa habari ya mrembo wa jf.
Mimi ni hizo protein kupotea ndicho kinacho niuma..........kwa nini zimwagikie chini bure bure tu.........
nishasema herufi inaanza na N anapenda jukwaa la siasa,na mmu zingine anabip,mkuu nisimtaje,watu wengine kuwataja mpaka ridhaa yao
Siasani pengine ni FF umesahau herufi zake.