Jana nilimwota mwana JF wakati nalala

Jana nilimwota mwana JF wakati nalala

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,369
Aisee jana niliota nipo na binti moja maarufu humu MMU tuna-do,sijawahi kuona hata sura yake,sijawahi kumtumia hata pm,sijawahi kumsalimia hata kwenye thread,ila huyu mrembo alikuwa mtamu kwenye ndoto yangu, baada ya kuamka nilijikuta nimejichafua.

Huyo mrembo sijawahi kum-pm jamani,huwa namwona kwenye threads nyingi,hasa yupo kwenye siasa na MMU,majukwaa mengine anabip,ila nilivyokuwa naye ndotoni nakumbuka sura yake,sijui ndo yake halisi au vipi,amesuka nywele,black beauty,si mwembamba kivile.

Wadau huyu mrembo amenifanya nipoteze protini zangu bure,heri hata tungekuwa na mazoea,hatuna hata mazoea maana kwenye threads iwe Hukwaa la Siasa,MMU au wapi namwona mbishi.

Wakuu huyu ndo ubavu wangu au ndoto tu?

Roho inauma kupoteza proteni zangu bure.
 
Ninong'oneze id yake atii nimwambie kwanini anachezea protein zako hivyo na aache hiyo tabia mara moja
 
eeeh jini mahaba huyo.....wahi maombi.....
 
Mimi ni hizo protein kupotea ndicho kinacho niuma..........kwa nini zimwagikie chini bure bure tu.........
hata mi naumia sana acha tu
 
Umemfanya kishenzi, hongera mkuu, kuja kuna nimtilie nia nikumuaota atanikoma
 
Ninong'oneze id yake atii nimwambie kwanini anachezea protein zako hivyo na aache hiyo tabia mara moja
sijawahi hata kum-pm yaani nina sura yake ya kwenye ndoto kabisa aliyonifanyia siyo kabisa
 
Umemfanya kishenzi, hongera mkuu, kuja kuna nimtilie nia nikumuaota atanikoma
mkuu ndo nini sasa kuenjoy na id ndotoni wakati hata huja-pm
 
This is rubbish. Mtu humjui kwa sura. Hujawahi kufanya any kind of communication. Alafu ndotoni .. unamuona ameduka and al bluh blum .. Nikuambie ukweli. ? You have been involved with a DEVIL .. huyo ni jini mkuu ... sahau ksbisa habari ya mrembo wa jf.
 
Back
Top Bottom