Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,369
- Thread starter
- #61
nani agombane mkuu,mi nikiota nimerusha bao usingizini basi nimeridhika kiroho safi,halafu mi siyo dogo nina ndevu kama ya panyasasa wewe dogo jifanye unajua kuota ota wasichana wa humu..nakwambia kitu kimoja na unisikilize sababu I have no habit of repeating myself..and I can be nasty if need arises...ota unavyoota, waote wooote lakini siku ukijichanganya eti unakuja humu nimeota nimeota na ukajichanganya ukamtaja "Chumvi" wallah nakuapia sitosita kuipopotoa shingo yako kama kuku wanavyochinjwa pale vingunguti. Mi nimemaliza, ila jiangalie dogo, nshakuonya!!! usijesema brathaa oooh nisamehe!!