JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

dosho12

Ebwana leo nilianza safari yangu kuangalia zile video ulizo niambia aisee unaweza kudata

Huu ulimwengu ni mkubwa sana,tunaambiwa kile tunachokiona sio hali halisi ilivyo

Just imagine, jua ni kubwa kwa dunia mara 1,300,000 ,halafu unaambiwa kuna nyota bilioni 200 ambazo zina ukubwa sawa sawa na jua

Na hiyo ni galaxy moja tu ambayo ipo kwenye solar system yetu,na inasemwa kuna mamilioni ya galaxy
 
dosho12

Ebwana leo nilianza safari yangu kuangalia zile video ulizo niambia aisee unaweza kudata

Huu ulimwengu ni mkubwa sana,tunaambiwa kile tunachokiona sio hali halisi ilivyo

Just imagine, jua ni kubwa kwa dunia mara 1,300,000 ,halafu unaambiwa kuna nyota bilioni 200 ambazo zina ukubwa sawa sawa na jua

Na hiyo ni galaxy moja tu ambayo ipo kwenye solar system yetu,na inasemwa kuna mamilioni ya galaxy
Mi nilishamaliza season 1 na 2, sijui kama watatoa season 3 ila wanachukua almost miezi 6 mpaka 7 kutengeneza episode moja tu, nasubiri nione episode inayofata sijui wata zungumzia nini
 
Back
Top Bottom