SAWA,watoto wa kishua kama nyie sio wakuwasumbua kabisa,unaeza kosa michongo mjini hapasawa tresor
unanitafuta eeeh😅,,, tresor ujue mi sina hata kazi inayo eleweka hapa mjini nipe mchongo basiSAWA,watoto wa kishua kama nyie sio wakuwasumbua kabisa,unaeza kosa michongo mjini hapa
nenda kwa sele bonge upate japo kiepe yaisasa hii njaa ya saa 6 kutapambazuka kweli😪
wakishua unapiga simu moja, nafasi inapatikanaunanitafuta eeeh😅,,, tresor ujue mi sina hata kazi inayo eleweka hapa mjini nipe mchongo basi
siwezi kutoka usiku ni mkubwa acha nikazenenda kwa sele bonge upate japo kiepe yai
napiga wapi sasa?wakishua unapiga simu moja, nafasi inapatikana
ofisi unayoitakanapiga wapi sasa?
ndio maana nakuambia we wa kishua saa 0035 ndio usiku mkubwa?siwezi kutoka usiku ni mkubwa acha nikaze
nimechoka kujieleza bwana, kijijin kwetu mtoto wa kike mwisho kutembea ni saa 11 jioni, tofauti na hapo uwe umetoka kwa ruhusa/sababu maalumu kwahiyo natembelea huo upepo mpka saivindio maana nakuambia we wa kishua saa 0035 ndio usiku mkubwa?
nipo serious ujueofisi unayoitaka
dah kweli wa kishuanimechoka kujieleza bwana, kijijin kwetu mtoto wa kike mwisho kutembea ni saa 11 jioni, tofauti na hapo uwe umetoka kwa ruhusa/sababu maalumu kwahiyo natembelea huo upepo mpka saivi
kuna kazi ya medianipo serious ujue
Namsikilizia wife anakoroma tu hapa pembeni yangu...mie tangu saa tatu usiku tumbo linanipigisha marktime kadhaa za maliwatoni...mpaka dakika hii nshagonga safari za toileti kama 4 hivi